PWANI Creatives Network

PWANI Creatives Network Entertain/ Inform/Learn/Experience/Discover

03/06/2026

Washukiwa WA ufisadi katika county ya Kilifi wahukumiwa kifungo cha Miaka 75 gerezani

01/06/2026

Kina mama wauzaji WA pombe ya mnazi mjini malindi kilifi county wanalalamikia kitendo cha hao kuhangaishwa na idara ya usalama wakiwa katika shuhuli zao za biashara.

BREAKING NEWS Juma Moyo, afisa wa polisi aliyejitolea kwa dhati katika kulitumikia taifa letu hadi pumzi yake ya mwisho ...
01/06/2026

BREAKING NEWS
Juma Moyo, afisa wa polisi aliyejitolea kwa dhati katika kulitumikia taifa letu hadi pumzi yake ya mwisho alipofariki ghafla akiwa kazini wakati wa sherehe za kitaifa za Madaraka Day katika Uwanja wa Wajir.
Rest in peace legend.

01/06/2026

Kilichojiri Kashinani. Tukio La ajabu

YANAYOJIRI Baraka chula kutoka Marafa mzinduzi wa kadi ya ki digital almaarufu k**a Mcard aliyetembea kutoka Malindi had...
01/06/2026

YANAYOJIRI
Baraka chula kutoka Marafa mzinduzi wa kadi ya ki digital almaarufu k**a Mcard aliyetembea kutoka Malindi hadi Nairobi kwa uhamasishaji wa kadi hiyo leo amepata kichapo cha fedheha baada ya kutatiza sherehe za madaraka kwa kumkimbilia gavana Mng'aro aliyekua akihutubia sherehe hizo za madaraka.
Inasemekana Baraka Chula alikua na ajenda zake za kumueleza Gavana kuhusu uzinduzi wake ila lengo hilo limeambulia patupu baada yakujikuta mikononi mwa walinzi wa Gavana na kupata kichapo kikali.

It's confirmed
11/04/2026

It's confirmed

Nipeni mauwa yangu ningali hai. Japo kuwa mazishi yaligeuka na kuwa uwanja wa kumpiga vita Mama Aisha Jumwa ila wananchi...
10/04/2026

Nipeni mauwa yangu ningali hai. Japo kuwa mazishi yaligeuka na kuwa uwanja wa kumpiga vita Mama Aisha Jumwa ila wananchi wa kilifi tafadhalini naomba mumuangalie Gavana kwa jicho la ndani zaidi.
Yani namaanisha kulingana na Marehemu Manucho ile kazi aliomfanyia Gavana k**a kijana wake na maisha yalioonekana pale kwao na hata mazingira havifanani ata robo.Hii namaanisha nini...? Gavana Mung'aro ni mtu asiyekuwa na fadhla wala utambuzi wa vijana wake wa mkono....bali hueka interest zake na marafiki wake wa karibu mbele zaidi.Hata umpiganie na kumtetea vipi,roho yake tayari niya gundu hawezi na hatawai kuenue vijana wake wa mkono tafauti na Gavana kingi...angalau vijana wake wako na vitu vya kuonyesha ama maisha yao sio K**a yalivyokuwa apo awali kabla walipo mkuta kingi.
Kwa kweli nimesikitishwa sana na mazishi ya Manucho kwa yale Mazingira alafu badae utaskia mazishi yaligarimu milioni 5 na marehemu hakua na hata kajumba ka kuonekana.Viongozi wacheni kutumia vijana vibaya.Enough is enough!
Rest in peace Manucho🙏💯

Address

Kilifi
Watamu
2080

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when PWANI Creatives Network posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category