02/06/2026
Eneo zuri sana linauzwa Ulongoni B, lipo kona na limetazama barabara ya kutoka Gongo la Mboto kwenda Kinyerezi. Ukubwa wa eneo ni Sqm 2600, linafaa kwa uwekezaji wa biashara, maghorofa, godown, vituo vya huduma au makazi ya kisasa.
✅ Eneo la kona
✅ Limetazama barabara kuu
✅ Ukubwa Sqm 2600
✅ Fursa kubwa ya uwekezaji
💰 Bei: Milioni 650
📞 Maongezi yapo kwa mnunuzi mwenye nia ya dhati.
0763 022 841 / O654963944