28/08/2023
Kibaha Soga km 12 toka Kongowe bei ni 500,000/ kwa 800,000/ ukubwa kuanzia 15×20 (300 SQM).
Ukichukua cha 500,000/ utaanza na 300,000/ kisha inayobak utalipa ndani ya Miezi 2 na ukichukua cha 800,000/ utaanza na 500,000 inayobak utalipa ndani ya Miezi 3.
Huku hakuna hati ya Wizara ila uhakika ni 100% kabisa.
Ntafute kwa namba 0622 368 818 kwaajil ya kukupeleka site.