25/03/2026
“Kwa watu wachache wanaotafuta ubora…
hii ni fursa ya kipekee Dar es Salaam.”
Hii ni nyumba ya kifahari…
iliyopo Kijichi, Dar es Salaam…
kwenye mazingira tulivu na yenye hadhi.
Imejengwa kwa ubora wa kisasa…
ikiwa na vyumba vitano vikubwa…
na bathrooms tano… zenye finishing ya premium.
Lakini kinachoitofautisha zaidi…
ni ukubwa wa eneo lake.
Mita za mraba elfu mbili mia tatu tisini na tano…
nafasi kubwa… kwa maisha ya kifahari… au matumizi ya uwekezaji.
Hii si nyumba ya kuishi tu…
ni asset yenye thamani inayokua kadri muda unavyokwenda.
Inafaa kwa watu wanaoelewa…
uwekezaji mkubwa…
na maisha yenye hadhi.
Title deed ipo tayari…
kwa transfer salama na ya haraka.
Bei ni shilingi bilioni moja pointi mbili.
Kwa wanunuzi serious pekee…
tunaandaa viewing binafsi kwa appointment.
Wasiliana nasi sasa…
kupata maelezo zaidi… au kupanga muda wa kuja kuona.
+255 718 769 664.”