Tuwati - Real estate agent

Tuwati - Real estate agent Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Tuwati - Real estate agent, Real Estate, Ubungo, Dar es Salaam.

Tunauza viwanja vilivyopimwa, Tunatoa ushauri katika masuala yote yahusuyo Ardhi, Tunafuatilia vibali vya Ujenzi na Hati Miliki ya Ardhi kwaniaba ya mteja, Tunafanya udhamini wa Majengo na ardhi

12/08/2023

Fursa ya kumiliki Ardhi:
1. Viwanja viwili njia ya Goba Mtaa wa Muhimbili na Kwa ribati vina ukubwa sqm 800 Kila kimoja Bei ni 45M maongezi yapo
2. Viwanja vitatu vipo Mivumoni vina ukubwa tofauti 465sqm, 407 sqm na 567sqm Bei ni 50,000/sqm
3.Kiwanja kimoja kipo Msakuzi center kina zaidi ya 1000sqm Bei ni 36 Maongezi yapo

Wahi Chap
Mawasiliano 0620242629

Inauzwa na Bank (Mnada wa hadhara)-Unaweza kupata Kwa kupiga Simu na kubid-Ipo Chanika Zingiziwa-Ina vyumba zaid ya Vinn...
28/07/2023

Inauzwa na Bank (Mnada wa hadhara)
-Unaweza kupata Kwa kupiga Simu na kubid
-Ipo Chanika Zingiziwa
-Ina vyumba zaid ya Vinne na seble kubwa
- Inafaa kuishi au kupangisha
- Ni ya kumalizia (Finishing)

Miradi ya Bagamoyo1. Kiromo 9000/sqm  * Huduma zote za kijamii zipo  * Umbali toka lami ni 2Km  * Unaanza na malipo ya 4...
18/07/2022

Miradi ya Bagamoyo
1. Kiromo 9000/sqm
* Huduma zote za kijamii zipo
* Umbali toka lami ni 2Km
* Unaanza na malipo ya 40%
* Utalipa kidogo kidogo kwa mwaka

2. Fukayosi 2500/sqm
* Mradi upo 3km toka lami
* Huduma za kijamii zinapatikana
* Utaanza na 200K k**a down payment
* Kiasi kilichobaki utalipa kwa miezi 6

nb: - Huduma ya saiti Ni Jumamos na gharama ni sh. 10,000/- Kwenda na kurudi.
- Ukileta mteja kwetu na akanunua unapata 10% K**a ahsante
**Karibuni sana**

24/06/2022

Twende saiti Weeknd hii ukachague kiwanja chako, Bagamoyo (Fukayosi, Makurunge na Kiromo), Kibaha (Bokotimiza), mbezi Msumi au Wazo (Boko dovya)
Note: Viwanja vyetu ni Bei poa na utalipa kidogo kidogo kwa kuanza na 200,000/- au 500,000/-

Jipatie viwanja vilivyopimwa (surveyed Plots) *Bagamoyo - kiromo Kwa 10,000/sqm*Boko-dovya - Wazo kwa 25,000/sqm*Bokotim...
22/06/2022

Jipatie viwanja vilivyopimwa (surveyed Plots)
*Bagamoyo - kiromo Kwa 10,000/sqm
*Boko-dovya - Wazo kwa 25,000/sqm
*Bokotimiza - Kibaha kwa 9,000/sqm
*Fukayosi - Bagamoyo kwa 2,500/sqm

Note: -Miradi yetu yote umepimwa
-Huduma za kijamii zinapatikana ndani ya eneo la mradi.
-Anza na 200,000 kwa mradi wa fukayose na Kiasi kinachobaki utalipa kwa miezi mitatu Hadi sita.
- Kwa miradi ya Kibaha na kiromo utaaza na sh. 500,000 Kiasi kinachobaki utalipa kwa miezi 6 Hadi 12
- Kwa Mradi wa Wazo utanza na 2M kiasi kilichobaki utalipa ndani ya miezi 6 Hadi 12.

Address

Ubungo
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00

Telephone

+255620242629

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tuwati - Real estate agent posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category