23/06/2022
VIWANJA VILIVYOPIMWA MAPINGA - BAGAMOYO
-Umbali ni 300m kutoka barabara ya lami Bagamoyo road. Mandhari ni nzuri mnoooo.
-Huduma za kijamii k**a maji,umeme,shule zinapatikana kwa karibu sana, majirani wa kutosha wapo!
-Viwanja vimepimwa na barabara za mtaa zimechongwa.
-Bei Sh.30,000/= kwa square meter. Malipo miezi 6 ( mazungumzo yapo)
- Kuona mradi safari ni kila siku.
- Hati ni siku 90 baada ya malipo husika.
0656277525