Stunner Viwanja

Stunner Viwanja WAUZAJI WA VIWANJA NA MASHAMBA
💥Miliki Viwanja Vilivyo Pimwa
💥Miliki Mashamba Yaliopimwa
☎️ Tupigie simu 0659491608

13/05/2026

💥NEW PROJECT 🔥 MRADI MPYA WA VIWANJA VYA MAKAZI NA BIASHARA BAGAMOYO KIROMO

🔸ukubwa wa viwanja Sqm 500,600,700,800,900,1000
🔸umbali km 4 kutoka main road (Bagamoyo road)
🔸Umeme na maji vimefika
🔸Bei kwa Sqm moja Tsh 12,000
🔸malipo kidogo kidogo kwa miezi 15
🔸Anza na laki Nne umiliki kiwanja 🔥
🔸viwanja vimepimwa , vina hati miliki
🔸Ardhii Tambarare, mazingira mazuri
🔸Viwanja vinapakana na shule ya st Lawrence primary school, potential Area kwa uwekezaji
🔸Nunua leo , jenga leo pameshachangamka majirani wapo

✅Site visitation ni siku ya jumamosi, Karibu uwekeze . Safari zitaanzia mwenge sheli ya puma saa 2 na nusu Asubuhi

☎️0659491608

💥 Viwanja Vyetu vya makazi Bagamoyo kiromo Vinaangaliana na shule ya St lawyrence Primary Scool , Njoo uwekeze kijanja V...
13/05/2026

💥 Viwanja Vyetu vya makazi Bagamoyo kiromo Vinaangaliana na shule ya St lawyrence Primary Scool , Njoo uwekeze kijanja Viwanja ni potential sana

🔸distance 3km kutoka bagamoyo road
🔸Site ipo Tambarare kabisaa
🔸majirani wapo , umeme umeshafika
🔸malipo kitonga paka miezi 15
🔸Anza na laki 4 Tu umiliki kiwanja Bagamoyo kiromo

👇Contact us kwaajili ya Ramani ya viwanja

☎️0659491608

🍀 Ardhii ipo Huku 🍀 Wekeza nasi Fukayosi Bagamoyo , Ardhii nzuri yenye Rutuba , uoto wa kutosha na pia Tambarare🍀karibu ...
12/05/2026

🍀 Ardhii ipo Huku

🍀 Wekeza nasi Fukayosi Bagamoyo , Ardhii nzuri yenye Rutuba , uoto wa kutosha na pia Tambarare

🍀karibu ulime , ufuge na pia wekeza kwaajili ya makazi

🍀mashamba yapo umbali wa km 6 Tu kutoka barabara ya lami ya Msata Road

🍀ukubwa wa mashamba ni kuanzia Ekari moja ( 70 kwa 70)

🍀Malipo ni kitonga 🔥 Utalipia shamba lako kidogo kidogo kwa muda wa miezi 20

🍀Anza na kianzio cha laki moja umiliki shamba lako Fukayosi Bagamoyo

🍀Mashamba yamepimwa , unapata na hati ya shamba lako

✅ Karibu Jumamosi hii katika safari ya kutembelea mashamba , safari zinaanzia mwenge sheli ya puma saa 2 na nusu Asubuhi. Nauli ya site Elf 12 Tu

☎️0659491608

💥UWEKEZAJI WA KWELI UNAANZIA ARDHINI , TIMIZA LENGO KIBABE KWA KUMILIKI SHAMBA FUKAYOSI BAGAMOYO 🔸Mashamba Yamepimwa uku...
12/05/2026

💥UWEKEZAJI WA KWELI UNAANZIA ARDHINI , TIMIZA LENGO KIBABE KWA KUMILIKI SHAMBA FUKAYOSI BAGAMOYO

🔸Mashamba Yamepimwa ukubwa kuanzia Ekari moja (70 kwa 70)

🔸Mradi Wetu Wa Mashamba Upo Km 6 Pekee Kutoka Barabara Kuu Ya Lami ya Msata Road

🔸Huduma Zote Za Kijamii K**a Maji,Umeme,Shule ,hospaitali ,usafiri Na Masoko Zipo Jirani Na Mashamba , Center imechangamkaaa sana

🔸Bei Kwa Ekari Moja ni 2,000,000 Tu Lipia kidogo kidogo kwa miezi 20 , Anza na Laki Moja tu kwa Ekari moja

Mfano: Eka 1 Utalipia laki moja kila mwezi kwa miezi 20
Eka 2 Utalipia laki mbili kila mwezi kwa miezi 20
Eka 3 Utalipia laki tatu kila mwezi kwa miezi 20
Eka 10 utalipia million moja kila mwezi kwa miezi 20

🔸 Karibu Uwekeze Mradi wetu wa Mashamba unamazingira wezeshi kwa kufanyia kilimo na Shughuli za Ufugaji

🔸Kilimo cha mananasi , Mahindi , ndizi, mihogo,papai, ufuta, korosho, maembe,nyanya,machungwa ,mboga mboga ,kilimo cha miti na aina nyingine nyingi , Ardhii ina Rutuba ya kutosha

🔸Uoto ni wa kutosha kwa kufanyia Shughuli za Ufugaji

🔸Kwetu ukinunua Shamba unapata Document zote (mkataba , payment receipt, Hati miliki ya shamba) 🔥

✅ Ofisi Zetu Zinapatikana Mbezi Beach Goigi , Siku Ya Kutembelea Site Ni Jumamosi .Muda Wa Kuanza Safari Ni Saa 2 Na 30 Asubuhi. Safari zinaanzia mwenge sheli ya puma .Nauli Ya Site Utachangia Elf 12 Hii ni Kwenda Na Kurudi. Tunapitia Njia Ya Bagamoyo Road , wakazi Wa Tegeta, Boko Na Bunju Tutawapitia Njiani.. Tupe Kituo Tukupitie Ukawekeze.

Kwa Mahitaji Ya Kutembelea Site Tupigie Simu

Call/watsap ☎️ : 0659491608

💥Ndoto zako za Kumiliki Eneo Dodoma Zinatimizwa apa 🍀Miliki Shamba Dodoma Chamwino 🍀 Mashamba yapo Kata ya Manzase wilay...
12/05/2026

💥Ndoto zako za Kumiliki Eneo Dodoma Zinatimizwa apa

🍀Miliki Shamba Dodoma Chamwino

🍀 Mashamba yapo Kata ya Manzase wilaya ya chamwino

🍀umbali km 4 Tu kutoka Main road Iringa Road

🍀perfect landscape, mashamba ni Tambarare kabisa

🍀ukubwa wa mashamba Ekari moja na kuendelea (70 kwa 70)

🍀Bei kwa Ekari moja 2,000,000

🍀lipia kidogo kidogo kwa miezi 20

🍀Anza na kianzio cha laki moja umiliki shamba Dodoma
Chamwino

🍀Mashamba yamepimwa , unapata hati miliki baada ya kukamilisha malipo

🍀Wekeza kijanja Dodoma 🔥

☎️0659491608

🍀 Blessed Monday ☎️0659491608
11/05/2026

🍀 Blessed Monday

☎️0659491608

11/05/2026

🍀Iwe mvua au jua site ni lazima 🤝

🍀Karibu uwekeze nasi

🍀mashamba Fukayosi Bagamoyo

☎️0659491608

Address

Kinondoni
Dar Es Salaam

Telephone

+255659491608

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Stunner Viwanja posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Stunner Viwanja:

Share

Category