12/05/2026
💥UWEKEZAJI WA KWELI UNAANZIA ARDHINI , TIMIZA LENGO KIBABE KWA KUMILIKI SHAMBA FUKAYOSI BAGAMOYO
🔸Mashamba Yamepimwa ukubwa kuanzia Ekari moja (70 kwa 70)
🔸Mradi Wetu Wa Mashamba Upo Km 6 Pekee Kutoka Barabara Kuu Ya Lami ya Msata Road
🔸Huduma Zote Za Kijamii K**a Maji,Umeme,Shule ,hospaitali ,usafiri Na Masoko Zipo Jirani Na Mashamba , Center imechangamkaaa sana
🔸Bei Kwa Ekari Moja ni 2,000,000 Tu Lipia kidogo kidogo kwa miezi 20 , Anza na Laki Moja tu kwa Ekari moja
Mfano: Eka 1 Utalipia laki moja kila mwezi kwa miezi 20
Eka 2 Utalipia laki mbili kila mwezi kwa miezi 20
Eka 3 Utalipia laki tatu kila mwezi kwa miezi 20
Eka 10 utalipia million moja kila mwezi kwa miezi 20
🔸 Karibu Uwekeze Mradi wetu wa Mashamba unamazingira wezeshi kwa kufanyia kilimo na Shughuli za Ufugaji
🔸Kilimo cha mananasi , Mahindi , ndizi, mihogo,papai, ufuta, korosho, maembe,nyanya,machungwa ,mboga mboga ,kilimo cha miti na aina nyingine nyingi , Ardhii ina Rutuba ya kutosha
🔸Uoto ni wa kutosha kwa kufanyia Shughuli za Ufugaji
🔸Kwetu ukinunua Shamba unapata Document zote (mkataba , payment receipt, Hati miliki ya shamba) 🔥
✅ Ofisi Zetu Zinapatikana Mbezi Beach Goigi , Siku Ya Kutembelea Site Ni Jumamosi .Muda Wa Kuanza Safari Ni Saa 2 Na 30 Asubuhi. Safari zinaanzia mwenge sheli ya puma .Nauli Ya Site Utachangia Elf 12 Hii ni Kwenda Na Kurudi. Tunapitia Njia Ya Bagamoyo Road , wakazi Wa Tegeta, Boko Na Bunju Tutawapitia Njiani.. Tupe Kituo Tukupitie Ukawekeze.
Kwa Mahitaji Ya Kutembelea Site Tupigie Simu
Call/watsap ☎️ : 0659491608