10/05/2026
Dar es salaam Real Estate
0755352497
0715352497
Facebook:Dar Es Salaam Real Estate
Twitter:Dar Es Salaam Real Estate
Instagram:Dar Es Salaam Real Estate
____________________
Tunakuletea mashamba makubwa na madogo kwa Kilimo cha palachichi viazi Vanira kilimo cha kumwagilia nk mkoani Njombe
____________________
1:Shamba linauzwa,
Loction mkoa Njombe
Kata kifanya
Kijiji mikongo
Ukubwa Acre 300
Sifa
Shamba lina mito 2
Balabara hadi shambani
Linafaa kulimwa,
parachichi viazi
Mahindi maharage ama kilimo chochote cha kumwagilia
Bei 700000 kila Acre.
__________________
2:Acre 62 for sale
Loction mkoa Njombe
Kata kifanya
Kijiji lilombwi
Shamba liko jilani na mto haukauki
Shamba lipo km 4 kutoka balabara ya Njombe songea
Shamba linafikika kwa usafili wowote
Shamba linafaa kilimo cha parachichi mahindi maharage kufuga viazi nk
Bei kwa ecre 680000
__________________
3;Loction mkoa Njombe
Wilaya njombe mjini
Kata ya kifanya
Kijiji mikongo
1:Acre 200
2:Acre100
Bei 620000 kwa Acre1
Shamba linafaa kwa kilimo cha parachichi viaz mahindi maharage kufuga nk ,
Shamba lina mto maji mengi hayakauki
Shamba lina barabala (linafikika kwa usafili wowote)
__________________
4:Acre 117
Loction mkoa Njombe
Kijiji Lilombwi
Shamba lina mto wa kumwagilia
Bei 950000 kwa Acre
Linafaa kilimo
Mahindi parachichi maharage viaz ufugaji nk
__________________
5:Shamba kubwa la palachichi linauzwa
Loction:Mkoa wa Njombe
Ukubwa acre 200
Shamba Lina Title deed
Sifa
Lina inteck ya umeme
Vitaru vya miche
Barabara safi za ndani
-Nyumba za wafanyakazi
-Miundombinu ya maji
-Godwon la kuhifadhia matunda
-Mabwawa ya samaki
-Tank Lita 300,000/=
-Shamba Kila msimu linavunwa contena 4 zenye thamani ya milion 450
Bei Acre Moja milion 20
Mawasiliano zaidi piga WhatsApp 0715352497
0755352497