13/08/2026
OFA YA VIWANJA KUTOKA KAMPUNI YA ZUU VIWANJA.NJOO NA LAKI TANO TU. KISHA ULIPE KIDOGO KIDOGO MPAKA UMALIZE
_____________________________________
0696351990whtasp
_____________________________________Kampuni ya ZUU VIWANJA mabingwa wa kuuza viwanja bora kwa makazi bora na salama. Kuna viwanja vya kulipia kidogo kidogo ndani ya miezi mitatu na kuna vingine unalipia kidogo kidogo ndani ya miezi sita.
Kuna site unaanzia na 50% ya bei ya kiwanja na kuna site zingine unaanzia na laki mbili na nusu tu.
Njoo ZUU VIWANJA site ni nyingi sana na ni kila siku zinaongeka ukija hutokosa kiwanja chenye sifa unayoihitaji.
Viwanja vipo ,,,, MBAGALA MBANDE MIPEKO,,,,,, Jilani na uwanja wa mpira wa Azam uliopo Dar es salaam wilaya ya Temeke kata ya Chamazi. Umbali kutoka uwanja wa Azam mpaka kwenye viwanja ni kilomita nne tu. Ukitaka kufika mbande panda gari K /Koo,Temeke, Tandika, Posta na Buza nauli 700/=had Mbande magengeni shuka. Chukua bodaboda 🏍 1000 bajaji 🛺 500 hadi saiti
____________________________________
Ukubwa wa kiwanja na Bei zake
Futi 50 kwa 40 =milioni 1,300,000/=
Futi 50 kwa 40 =milioni 1,500,000/=
Fut 50 kwa 40 =milioni 1,600,000/=
Fut 50 kwa 40 =milioni 1,800,000/=
Futi 50 kwa 40 =million 2,000,000/=
Fiti 50 kwa 40 =milioni 2,500,000/=
Fiti 50 kwa 40 =milioni 3,000,000/=
Futi 50 kwa 40=millioni 3,500,000/=
Futi 50 kwa 40=millioni 4,000,000/=
Ukubwa ni sawa ila bei ni tofauti na umbali pia ni tofauti kwa sababu site ni tofauti tofauti
KWA MITA KUNA
SQM 180
SQM 360
SQM 520
SQM 720
SQM 1080 ______________________________________
Huduma zote za kijamii zipo kwa mfano
Maji✓
Shule✓
Umeme✓
Zahanati✓
Balabala✓
Ofisi yetu ipo wazi kila siku kuanzia saa mbili asubuhi mpaka saa kumi na mbili jioni. Njoo ofisini twende site ukachagua kiwanja bora kwa makazi bora na salama.
Na unaweza ukaunganisha zaidi ya kimoja
Karibuni sana wateja KAMPUNI YA ZUU VIWANJA uaminifu ni %%%100%%%
_____________________