17/07/2025
Napatikana kariakoo mtaa wa masasi na likoma karibu na kanisa la KKKT tunatazamana na Maendeleo bank.
Ukifika hapo hakikisha unapiga Simu kwanza maana duka lipo juu ghorofani ili nikupe maelekezo ya kufika dukani.
Mikoani Tunatuma kwa uaminifu mkubwa. Kwa bidhaa zilizokwisha lipiwa hatutumi mzigo Ambao haujalipiwa
Au unaweza kumtuma ndugu yako akaja kununua dukani na kukutumia.
HATUKOPESHI BIDHAA YOYOTE.
Karibuni sana 0693314547