Fuko Hardware.

Fuko Hardware. we sell and supply quality sanitary and roofing materials.

First Sometimes being lost has nothing to do with the road and everything to do with refusing guidance. What do you thin...
09/05/2026

First Sometimes being lost has nothing to do with the road and everything to do with refusing guidance. What do you think about this?

Many people struggle for years not because opportunities are missing, but because they reject advice, correction, and support. Pride convinces them they must figure everything out alone.

They ignore people with experience, refuse to ask questions, and keep moving in the wrong direction while pretending to be confident. But life has a way of humbling those who refuse to listen. A journey becomes longer and harder when wisdom is ignored along the way.

Strong people are not the ones who know everything. Strong people are willing to learn. They understand that asking for help can prevent unnecessary pain, wasted time, and avoidable mistakes.

Every successful person was once guided by someone, corrected by someone, or taught by someone. Growth becomes easier when humility opens the door to learning instead of ego closing it.

Think about this honestly. Why do you think so many people fear asking for directions in life, and do you believe pride causes more delay than lack of opportunity?

Keep the answers for yourself!

A winning mindset doesn’t mean you win every time-it means you don’t let defeat stop you from trying again.
06/05/2026

A winning mindset doesn’t mean you win every time-it means you don’t let defeat stop you from trying again.

Watu wana vitu vingi vizuri vya kusema kuhusu wewe ila unapaswa kufa kwanza.
23/04/2026

Watu wana vitu vingi vizuri vya kusema kuhusu wewe ila unapaswa kufa kwanza.

Don't buy a life you can't afford to enjoy.
20/04/2026

Don't buy a life you can't afford to enjoy.

20/04/2026

Ficha unayo yapitia ili uwape matumaini wanaokutegemea!

14/04/2026
Ndugu mteja.Njia pekee ya kutunza hizo pesa zako chache si kuongeza kipato mara moja, bali ni kujifunza kusema neno moja...
07/04/2026

Ndugu mteja.

Njia pekee ya kutunza hizo pesa zako chache si kuongeza kipato mara moja, bali ni kujifunza kusema neno moja gumu lakini la thamani kubwa:.“SINA.”

“SINA” sio dalili ya umaskini, ni alama ya nidhamu. Ni kauli ya mtu anayejitambua, anayejua mipaka ya uwezo wake, na anayeheshimu kesho yake kuliko presha ya leo. Wengi wetu tunapoteza pesa si kwa sababu hatupati, bali kwa sababu hatujui kuzilinda.

Kuna wakati utaombwa mchango usio wa lazima. Kuna wakati rafiki atakushawishi kutumia pesa kwenye starehe ambazo hazina faida kwako. Kuna wakati utajikuta unataka kununua kitu ili tu uonekane una uwezo mbele za watu. Hapo ndipo nguvu ya “SINA” inahitajika.
Kusema “SINA” si kwamba kweli huna hata shilingi moja mfukoni.

Mara nyingi unayo, lakini umechagua kuihifadhi kwa jambo la maana zaidi k**a mahitaji yako ya msingi, mipango yako ya baadaye, au dharura zinazoweza kujitokeza. Hii ni hekima, si udhaifu.

Ukweli ni kwanba watu wengi wanateseka kimya kimya kwa sababu walishindwa kusema “SINA” wakati ilipotakiwa. Walikubali kubeba mizigo isiyo yao, walitumia pesa kwa kujifurahisha kwa muda mfupi, na baadaye wakajikuta hawana hata ya kujisitiri.

Jifunze kuwa na msimamo. Sio kila mtu ataelewa, na sio kila mtu atafurahia. Wengine watakuita mchoyo, wengine watasema umebadilika. Lakini kumbuka, si jukumu lako kuwafurahisha watu kwa gharama ya maisha yako.

Kila unaposema “SINA” kwa jambo lisilo la lazima, unakuwa umejiambia “NDIYO” kwa maisha yako ya baadaye. Unajenga heshima binafsi, unajenga utulivu wa akili, na unajiweka katika nafasi bora ya kufikia malengo yako.

Heshimu jasho lako. Linda kidogo ulichonacho. Na usione aibu kusema. “Samahani, kwa sasa sina.”

Ndani ya maneno hayo mafupi, kuna nguvu kubwa ya kubadilisha maisha yako.

Karibu sana!

Ujenzi si safari ya bahati nasibu unahitaji vifaa imara, huduma ya kuaminika na mshirika anayesimama na wewe mpaka mwish...
07/04/2026

Ujenzi si safari ya bahati nasibu unahitaji vifaa imara, huduma ya kuaminika na mshirika anayesimama na wewe mpaka mwisho.
ndicho kituo chako cha ubora na thamani halisi ya pesa yako

Tunakuwekea mabati yanayodumu, vifaa vinavyolinda nyumba yako kwa miaka mingi, na huduma inayokupa amani ya moyo kutoka unapoingia hadi unapotoka.

Hapa hatuuzi tu bidhaa tunaunda msingi wa ndoto zako na kulinda kila tone la jasho lako

Bei zetu za uhakika.
• Migongo Mipana: Tsh 20 000/=
• Migongo Midogo: Tsh 20 000/=
• Kofia & Valleys: Tsh 10,500/=
• Misumari: Tsh 6,500/=

Na pia tunapokea special orders kwa wateja wetu wapendwa. Vipimo maalum

Fuko Hardware Huduma Ubora bila kupungua
Tunapatikana Ubungo millennum business park.

Tunatuma mikoani yote kwa gharama zetu. Piga simu au WhatsApp 0767334511

🏠 BEI RASMI ZA MABATI – MOJA KWA MOJA KUTOKA KIWANDANI! 🏠🚚 Usafiri wa uhakika nchi nzima – popote ulipo Tanzania 🇹🇿🔹 MAB...
02/04/2026

🏠 BEI RASMI ZA MABATI – MOJA KWA MOJA KUTOKA KIWANDANI! 🏠
🚚 Usafiri wa uhakika nchi nzima – popote ulipo Tanzania 🇹🇿

🔹 MABATI MIGONGO (IT 4, 5 & 6)

📌 Gauge 30

Kawaida: TZS 320,000
Chenga: TZS 410,000

📌 Gauge 28

Kawaida: TZS 460,000
Chenga: TZS 490,000

🔹 VERSATILE (Mfano wa Kigae)

📌 Gauge 30

Kawaida: TZS 580,000
Chenga: TZS 610,000
📌 Gauge 28

Kawaida: TZS 640,000
Chenga: TZS 660,000

🔧 SPECIAL ORDER – Urefu Unaotaka Wewe

📌 Bei kwa mita

Gauge 30: 11,500/=
Gauge 28: 15,000/=
Kigae: 17,000/=

✨ Chenga chengaa (Premium)

Gauge 30: 12,500/= kwa mita
Gauge 28: 15,500/= kwa mita
Kigae 28G: 17,500/= kwa mita

🧰 Tuna vifaa vyote vya kuezekea.

✔️ Kofia
✔️ Valley
✔️ Misumari
✔️ Crimping

💎 Kwa nini uchague mabati yetu?

✔️ Hayashiki kutu (Aluminium + Zinc nyingi)
✔️ Yanadumu kwa miaka mingi
✔️ Yanastahimili jua kali na mvua
✔️ Yanapatikana kwa rangi mbalimbali

🚛 Tunasambaza nchi nzima kwa haraka na uhakika!
Bei zetu ni za kiwandani – nafuu bila udalali!

📞 Wasiliana nasi sasa.

📲 0767334511

👉 Jenga kwa uhakika, jenga kwa ubora!

𝐁𝐄𝐈 𝐑𝐀𝐒𝐌𝐈 𝐙𝐀 𝐌𝐀𝐁𝐀𝐓𝐈 – 𝐊𝐈𝐖𝐀𝐍𝐃𝐀𝐍𝐈🚚 𝐔𝐬𝐚𝐟𝐢𝐫𝐢 𝐁𝐔𝐑𝐄 𝐧𝐜𝐡𝐢 𝐧𝐳𝐢𝐦𝐚 – 𝐓𝐚𝐧𝐳𝐚𝐧𝐢𝐚 𝐧𝐳𝐢𝐦𝐚 🇹🇿🔹 𝐌𝐀𝐁𝐀𝐓𝐈 𝐌𝐈𝐆𝐎𝐍𝐆𝐎 MIDOGO NA 𝐌𝐈𝐏𝐀𝐍𝐀 (𝐈𝐓–4,𝟓 an...
02/04/2026

𝐁𝐄𝐈 𝐑𝐀𝐒𝐌𝐈 𝐙𝐀 𝐌𝐀𝐁𝐀𝐓𝐈 – 𝐊𝐈𝐖𝐀𝐍𝐃𝐀𝐍𝐈

🚚 𝐔𝐬𝐚𝐟𝐢𝐫𝐢 𝐁𝐔𝐑𝐄 𝐧𝐜𝐡𝐢 𝐧𝐳𝐢𝐦𝐚 – 𝐓𝐚𝐧𝐳𝐚𝐧𝐢𝐚 𝐧𝐳𝐢𝐦𝐚 🇹🇿

🔹 𝐌𝐀𝐁𝐀𝐓𝐈 𝐌𝐈𝐆𝐎𝐍𝐆𝐎 MIDOGO NA 𝐌𝐈𝐏𝐀𝐍𝐀 (𝐈𝐓–4,𝟓 and 6)

𝐆𝐚𝐮𝐠𝐞 𝟑𝟎

𝐊𝐚𝐰𝐚𝐢𝐝𝐚: 𝐓𝐙𝐒 320,000

𝐂𝐡𝐞𝐧𝐠𝐚: 𝐓𝐙𝐒 410,000

𝐆𝐚𝐮𝐠𝐞 𝟐𝟖

𝐊𝐚𝐰𝐚𝐢𝐝𝐚: 𝐓𝐙𝐒 460,000

𝐂𝐡𝐞𝐧𝐠𝐚: 𝐓𝐙𝐒 490,000

🔹 𝐕𝐄𝐑𝐒𝐀𝐓𝐈𝐋𝐄 (𝐌𝐟𝐚𝐧𝐨 𝐰𝐚 𝐊𝐢𝐠𝐚𝐞)

𝐆𝐚𝐮𝐠𝐞 𝟑𝟎

𝐊𝐚𝐰𝐚𝐢𝐝𝐚: 𝐓𝐙𝐒 580,000

𝐂𝐡𝐞𝐧𝐠𝐚: 𝐓𝐙𝐒 610,000

𝐆𝐚𝐮𝐠𝐞 𝟐𝟖

𝐊𝐚𝐰𝐚𝐢𝐝𝐚: 𝐓𝐙𝐒 640,000

𝐂𝐡𝐞𝐧𝐠𝐚: 𝐓𝐙𝐒 660,000

🔧 𝐒𝐏𝐄𝐂𝐈𝐀𝐋 𝐎𝐑𝐃𝐄𝐑 – 𝐕𝐢𝐩𝐢𝐦𝐨 𝐌𝐚𝐚𝐥𝐮𝐦𝐮 (𝐔𝐫𝐞𝐟𝐮 𝐰𝐚 𝐌𝐭𝐞𝐣𝐚)

𝐆𝐚𝐮𝐠𝐞 𝟑𝟎 → 𝐌𝐢𝐭𝐚 𝐦𝐨𝐣𝐚: 11,𝟓𝟎𝟎/=

𝐆𝐚𝐮𝐠𝐞 𝟐𝟖 → 𝐌𝐢𝐭𝐚 𝐦𝐨𝐣𝐚: 𝟏5,𝟎𝟎𝟎/=

𝐊𝐢𝐠𝐚𝐞→ 𝐌𝐢𝐭𝐚 𝐦𝐨𝐣𝐚: 𝟏7,𝟎𝟎𝟎/=

𝐒𝐩𝐞𝐜𝐢𝐚𝐥 𝐎𝐫𝐝𝐞𝐫 – 𝐂𝐡𝐞𝐧𝐠𝐚 𝐂𝐡𝐞𝐧𝐠𝐚𝐚

𝐆𝐚𝐮𝐠𝐞 𝟑𝟎 → 𝟏2,500/= 𝐤𝐰𝐚 𝐦𝐢𝐭𝐚

𝐆𝐚𝐮𝐠𝐞 𝟐𝟖 → 𝟏5,500/= 𝐤𝐰𝐚 𝐦𝐢𝐭𝐚

𝐊𝐢𝐠𝐚𝐞𝟐𝟖𝐆 → 𝟏7,500/= 𝐤𝐰𝐚 𝐦𝐢𝐭𝐚

🧰 𝐓𝐮𝐧𝐚sambaza & 𝐊𝐮𝐮𝐳𝐚 𝐀𝐜𝐜𝐞𝐬𝐬𝐨𝐢𝐫𝐞𝐬 𝐳𝐚 𝐔𝐞𝐳𝐞𝐤𝐚𝐣𝐢

𝐊𝐨𝐟𝐢𝐚,𝐕𝐚𝐥𝐥𝐞𝐲,𝐌𝐢𝐬𝐮𝐦𝐚𝐫𝐢,𝐂𝐫𝐢𝐦𝐩𝐢𝐧𝐠

💎 𝐔𝐛𝐨𝐫𝐚 𝐰𝐚 𝐌𝐚𝐛𝐚𝐭𝐢 𝐘𝐞𝐭𝐮

𝐌𝐚𝐛𝐚𝐭𝐢 𝐲𝐞𝐭𝐮 𝐲𝐚𝐧𝐚 𝐦𝐚𝐝𝐢𝐧𝐢 𝐦𝐞𝐧𝐠𝐢 𝐲𝐚 𝐀𝐥𝐮𝐦𝐢𝐧𝐢𝐮𝐦 & 𝐙𝐢𝐧𝐜, 𝐲𝐚𝐧𝐚𝐲𝐨𝐲𝐚𝐟𝐚𝐧𝐲𝐚:
✔️ 𝐊𝐮𝐝𝐮𝐦𝐮 𝐤𝐰𝐚 𝐦𝐢𝐚𝐤𝐚 𝐦𝐢𝐧𝐠𝐢 𝐛𝐢𝐥𝐚 𝐤𝐮𝐭𝐮
✔️ 𝐘𝐚𝐬𝐢𝐮𝐧𝐠𝐮𝐞 𝐤𝐰𝐚 𝐣𝐮𝐚 𝐤𝐚𝐥𝐢
✔️ 𝐘𝐚𝐬𝐢𝐭𝐨𝐛𝐨𝐤𝐞 𝐤𝐰𝐚 𝐦𝐯𝐮𝐚
✔️ 𝐊𝐮𝐩𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚𝐧𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐫𝐚𝐧𝐠𝐢 𝐳𝐨𝐭𝐞

🚚 𝐔𝐒𝐀𝐅𝐈𝐑𝐈 𝐖𝐀 𝐖𝐀𝐓𝐄𝐉𝐀 𝐖𝐎𝐓𝐄 𝐓𝐀𝐍𝐙𝐀𝐍𝐈𝐀

𝐇𝐮𝐝𝐮𝐦𝐚 𝐳𝐞𝐭𝐮 𝐳𝐢𝐧𝐚𝐤𝐮𝐟𝐢𝐤𝐢𝐚 𝐩𝐨𝐩𝐨𝐭𝐞 𝐧𝐜𝐡𝐢𝐧𝐢 𝐤𝐰𝐚 𝐡𝐚𝐫𝐚𝐤𝐚, 𝐮𝐛𝐨𝐫𝐚 𝐧𝐚 𝐮𝐡𝐚𝐤𝐢𝐤𝐚.
𝐁𝐞𝐢 𝐳𝐨𝐭𝐞 𝐧𝐢 𝐳𝐚 𝐤𝐢𝐰𝐚𝐧𝐝𝐚𝐧𝐢 𝐤𝐚𝐛𝐢𝐬𝐚!

📞 𝐌𝐀𝐖𝐀𝐒𝐈𝐋𝐈𝐀𝐍𝐎

📲 0767334511

Address

UBUNGO.
Dar Es Salaam
91006

Telephone

0654000894

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Fuko Hardware. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share