19/03/2023
Tuna viwanja katika eneo la Ntyuka karibu kabisa na inapojengwa barabara ya kuelekea Mvumi.
Viwanja vipo kilomita 8 kutoka Dodoma mjini na mita chache kutoka shule ya Zion. Ni sehemu nzuri kwa makazi.
Ni mwendo wa km 4 kutoka hospitali ya Dcmc na Ntyuka Center. Kwa hapa tunauza sqm 1 kwa shilingi 6000.
Wasiliana nasi 0686 698 646