LandLai

LandLai LandLai Investment is the marketing company which deals with real estate properties such as land, housing and constructions.

26/01/2026

Miliki kiwanja Ntyuka Dodoma, Km 7 tu kutoka Dodoma Mjini.

Ukubwa: Sqm 700 - 2600 SQM
BEI: 10M TSH na kuendelea

Pamepimwa na kuthibitishwa na Mamlaka za Ardhi


HUDUMA ZOTE MUHIMU ZIMEFIKA SITE.
• Makazi ya kisaza
• Maji
• Umeme
• Barabara

RATIBA YA KWENDA SITE
Kila siku Kuanzia Jumatatu - Jumapili

Muda: Muda wote wa kazi

Wasiliana nasi simu :
0656488927 / 0696079036

Fuatilia ukurasa wetu

03/10/2025

Viwanja vinauzwa Michese Jijini Dodoma
Vipo km 5 kutoka Dodoma Mjini
Vipo opposite na eneo la Itega
Panafikika kirahisi
Miundombinu ya barabara ni kiwango cha lami
Maji na umeme vipo
Tayari kuna lodge na Apartments eneo hili

K**a unahitaji kiwanja katika eneo hili tutumie ujumbe inbox au wasiliana nasi 0656488927 au 0696079036

Karibu tuwekeze jijini Dodoma

31/07/2025

4KM kutoka SGR
9KM kutoka Dodoma Mjjni
Vimepimwq kabisa
Umeme na maji
Ni sehemu mpya na inayojengeka

Wasiliana nasi 0656488927

27/07/2025

Kwa hivi sasa Jiji la Dodoma ni moja kati ya majiji maarufu yanaendelea kwa kasi katika uwekezaji.

Karibu LandLai tukupe viwanja vya makazi na biashara.

22/07/2025

Moja ya eneo lilozungukwa na maeneo potential hapa jijini Dodoma basi Mwangaza ni mojawapo. Ni eneo la kimkakati lenye viwanja vikubwa likiruhusu uwekezaji wa makazi na biashara.

Ukiwa unatokea Dar es salaam basi Mwangaza ipo baada ya kisasa, na upande wa juu imekaribiana na Njedengwa Inv Area huku kusini likipakana na Nzuguni na Iyumbu.

Ni eneo lililopo karibu kabisa na Dododma mjini likiwa na miundombinu ya kisasa, mpangilio mzuri wa makazi na huduma za kijamii

Hapa tuna viwanja kuanzia ukubwa wa sqm 1500 mpaka 4000 kwa makazi au biashara

Wasiliana nasi kupitia namba ya simu 0656488927

21/07/2025

Maeneo k**a Iyumbu, Ihumwa na Mtumba ni maeneo mazuri ya kuishi ndani ya jiji la Dodoma.

Ni maeneo yaliyokaa kimkakati na yenye miundombinu imara na huduma za kijamii

Je ungependa kuwekeza iwe makazi au biashara katika maeneo haya ? Wasiliana nasi 0656488927

17/07/2025

Kwenye Real Estate ni kujua mipango na muda, wengi wanaofuatilia mipango ya kimaendeleo ya sehemu flani ndio matajiri wakubwa wa baadaye.

Leo inazinduliwa Dira ya Taifa 2050 vipi umefuatilia? Umejua vipao mbele vya Taifa letu ni vipi? Lakini pia serikali ina mipango ya muda mfupi na muda mrefu jambo ambalo linakupasa kufuatilia na kujua vizuri zaidi.

Karibu uwekeze jijini Dodoma sehemu ambayo serikali inatekeleza mipango mbalimbali kwa kuboresha miundombinu, mpangilio wa makazi na mambo mengine mengi

Mfano nina viwanja karibu na stesheni ya mwendokasi ambapo sqm 1 nauza kwa shilling 10,000 tu huku hati nikifuatilia mimi mwenyewe bila gharama yoyote.

Lakini nina viwanja kwenye maeneo ya kimkakati k**a Njedengwa, Iyumbu, Ihumwa, Mji wa Serikali, Miganga, Itega, Mwangaza na Kinyambwa Extension.
Wasiliana nasi 0656488927

30/04/2025
Tuna viwanja vya makazi na biashara katika eneo hili la Mkonze vyenye ukubwa tofauti tofauti.Usafiri wa kwenda site upo ...
23/04/2025

Tuna viwanja vya makazi na biashara katika eneo hili la Mkonze vyenye ukubwa tofauti tofauti.

Usafiri wa kwenda site upo

Viwanja vimepimwa na Jiji

Miundombinu ya maji na umeme vipo karibu

Ni eneo jipya lenye wakazi wapya

Ni pazuri na panafikika kiurahisi

Wasiliana nasi leo

0656488927

Viwanja Vinauzwa karibu na SGR DODOMA 4KM kutoka SGR9KM kutoka Dodoma Mjjni Vimepimwq kabisa Umeme na majiNi sehemu mpya...
16/11/2024

Viwanja Vinauzwa karibu na SGR DODOMA

4KM kutoka SGR
9KM kutoka Dodoma Mjjni
Vimepimwq kabisa
Umeme na maji
Ni sehemu mpya na inayojengeka

Sqm 600 = 4.5M

Wasiliana nasi 0656488927

K**a umehamishiwa kikazi maeneo ya Dodoma mjini basi Michese ni sehemu nzuri ya kuishi. Ni sehemu iliyo karibu kabisa na...
24/01/2024

K**a umehamishiwa kikazi maeneo ya Dodoma mjini basi Michese ni sehemu nzuri ya kuishi. Ni sehemu iliyo karibu kabisa na Dodoma mjini, umbali wa km 5 na ukaribu sana maeneo maarufu k**a Itega, Kinyambwa ,Miganga na Kikuyu

Naongelea Michese iliyokaribu kabisaa na Itega ambapo hapa Miundombinu pamoja na huduma zote za kijamii zikitawala katika eneo hili k**a maji, umeme, barabara kiwango cha lami, taa za barabarani, hospitali na shule. Ardhi yake ni nzuri na haitwamishi maji

Ukiangalia vizuri kwenye ukurasa wetu tumejaribu kukuwekea video nyingi zikionyesha namna Michese ilivyojengeka na ilivyopangika vizuri. In short ni eneo jipya lenye wakazi wapya

Karibu uishi Michese, Wasiliana nasi 0656 488 927

Address

Gaddafi Street
Dodoma
41000

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 13:00

Telephone

+255656488927

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when LandLai posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share