Farnes Campany

Farnes Campany Kupitia majukwaa yet

“Sauti ya Jamii | Burudani, Habari na Michezo”

FARNES Company ni kampuni ya kisasa ya vyombo vya habari na ubunifu inayojikita katika kutangaza habari sahihi, kuendeleza burudani, na kuinua vipaji vya vijana kupitia michezo na sanaa.

Muimbaji wa Nuimbo za Injili, Upendo Nkone, amejitokeza na kuomba msamaha Kwa kile kilicho tokea Leo.Upendo amesema kwam...
11/04/2026

Muimbaji wa Nuimbo za Injili, Upendo Nkone, amejitokeza na kuomba msamaha Kwa kile kilicho tokea Leo.

Upendo amesema kwamba ukweli hakuwa na nia ya kuzungumzia kilicho tokea ila mwandishi alivyo muuliza ilibidi ajibu kumbe hakujua kuwa anamkosea Martha Mwaipaja.

"Naomba Martha anisamehe sana, nakiri kweli Nilikosea kujibu kile kitu, pia naomba kanisa na Watanzania wote Kwa ujumla mnisamehe"🗣️Upendo Nkone

11/04/2026

WAZIRI Mkuu, Mwigulu Nchemba amepiga marufuku shule kutoza fedha zisizo za lazima kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari.

Akijibu maswali ya papo kwa papo bungeni jijini Dodoma kuhusu utekelezaji wa sera ya elimu bila malipo, Waziri Mkuu amezielekeza ofisi zote za halmashauri kuanzia ngazi ya vijiji hadi mijini kusimamia kwa karibu suala hilo.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Tuzo Mkurugenzi wa Mtendaji wa Kampun...
11/04/2026

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Tuzo Mkurugenzi wa Mtendaji wa Kampuni ya Yas Tanzania Bw. Pierre Canton-Bacara kwenye hafla iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma tarehe 10 Aprili, 2026.

Discover how you can make a difference by visiting our website. The COMFORTER ORPHANS FOUNDATION is dedicated to providi...
24/03/2026

Discover how you can make a difference by visiting our website. The COMFORTER ORPHANS FOUNDATION is dedicated to providing a supportive environment for orphans in need. Explore our mission and see how you can become a vital part of this journey. Click the link and join us in this compassionate endeavor.

http://comforterorphansfoundation3.godaddysites.com

16/01/2026

📢 TANGAZO KWA JAMII
FARNES ZONE COMPANY ni kampuni inayoleta suluhisho la kisasa kwa maendeleo ya biashara, taasisi na vijana kupitia teknolojia na ubunifu.
Tunafanya kazi kwa uaminifu, uwazi na ubora, tukihakikisha kila mteja anapata matokeo yanayoendana na malengo yake.
Lengo letu ni kusaidia jamii kupiga hatua kidigitali, kukuza biashara, elimu na ubunifu kwa njia salama na ya kitaalamu.
Kazi zetu zinasimama k**a ushahidi wa dhamira yetu kwa jamii.
🤝 Karibu tushirikiane kwa maendeleo ya kweli.
📞 Mawasiliano:
📧 Email: [email protected]
📱 Simu: 309 317 8501
✨ Powered by COMFORTER ORPHANS FOUNDATION

Farnes Company kwa furaha kubwa linawatangazia wadau wote wa michezo na mashabiki wa League ya Pesa – Oscar Cup (Nyarugu...
29/12/2025

Farnes Company kwa furaha kubwa linawatangazia wadau wote wa michezo na mashabiki wa League ya Pesa – Oscar Cup (Nyarugusu Camp) kuwa kuanzia wiki hii, kampuni imeanza rasmi kutoa zawadi kwa Refari Bora wa Wiki 🏆⚽

(https://youtube.com/?si=_WYa2Kjati6Q4nCo)

Lengo la zawadi hii ni:
Kuhamasisha uadilifu na haki katika usimamizi wa michezo
Kuongeza motisha na nidhamu kwa waamuzi
Kuinua ubora wa ligi na kuifanya iwe ya mfano ndani ya Nyarugusu Camp
Refari atakayechaguliwa bora atazingatia: ✔️ Uamuzi wa haki
✔️ Nidhamu ndani na nje ya uwanja
✔️ Usimamizi mzuri wa mchezo
FARNES COMPANY ✨:tunaamini refari bora = mchezo bora 💪⚽
Endelea kufuatilia ligi hii kubwa na yenye ushindani mkubwa.
FARNES COMPANY
We Support Talent • We Build Fair Play

🔥⚽ KARIBU FARNES SPORT ⚽🔥Hapa ndipo michezo halisi inapoishi!( https://youtube.com/?si=J33O0lsEdw6Ut8EH )Tunakuleta haba...
21/12/2025

🔥⚽ KARIBU FARNES SPORT ⚽🔥
Hapa ndipo michezo halisi inapoishi!

( https://youtube.com/?si=J33O0lsEdw6Ut8EH )
Tunakuleta habari za uhakika, matokeo ya papo kwa papo, ratiba za mechi, uchambuzi wa kina na vipaji vipya kutoka Kigoma, Tanzania na Afrika kwa ujumla.
👉 K**a unapenda mpira wa miguu, ligi za mitaani, mashindano ya vijana na burudani ya michezo — basi hii account ni yako!
✅ Follow / Subscribe
✅ Like & Share
✅ Washa notification usikose chochote
FARNES SPORT – Nyumbani kwa Michezo Halisi ⚽🔥

UJUMBE WA KUPOKEA UDHAMINI – FARNES COMPANYKwa heshima na shukrani nyingi, FARNES COMPANY inapenda kutangaza kupokea ras...
17/12/2025

UJUMBE WA KUPOKEA UDHAMINI – FARNES COMPANY

Kwa heshima na shukrani nyingi, FARNES COMPANY inapenda kutangaza kupokea rasmi udhamini wa MAREFARI unaotolewa katika Kambi ya Wakimbizi Nyarugusu, kwa lengo la kuboresha maendeleo ya vijana wetu.

Udhamini huu ni ishara ya dhamira ya kweli katika kuunga mkono vijana, kukuza vipaji, elimu, michezo, sanaa na maendeleo ya kijamii kwa ujumla. Kupitia msaada huu, FARNES COMPANY itaendelea kuandaa na kuimarisha programu mbalimbali zitakazowawezesha vijana kujifunza, kujiajiri, na kushiriki kikamilifu katika maendeleo ya jamii yao.

Tunapokea udhamini huu kwa moyo wa shukrani na tunatoa ahadi ya kutumia msaada huu kwa uwazi, uaminifu na kwa malengo yaliyokusudiwa, ili kuleta matokeo chanya na ya kudumu kwa vijana wa Nyarugusu Camp.

Tunamshukuru sana MAREFARI kwa moyo wake wa kujitolea na mshik**ano. Tunaamini ushirikiano huu utaleta mabadiliko makubwa na fursa mpya kwa vijana wetu.

Asanteni sana kwa kuwekeza katika vijana – nguvu ya taifa la kesho.

Address

Bangwe 0010 Tz
Kasulu
B381

Opening Hours

Monday 07:00 - 18:30
Wednesday 06:00 - 20:15
Friday 08:00 - 23:00

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Farnes Campany posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share

Category