Daniel Kijo Brighton

Daniel Kijo Brighton Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Daniel Kijo Brighton, Property developer, Mbezi.

Namshukuru sana Mungu kwa kunileta Duniani Siku na tareh k**a ya leo Leo nisiku yangu ya kumbukizi ya kuzaliwa huwaga na...
07/07/2021

Namshukuru sana Mungu kwa kunileta Duniani Siku na tareh k**a ya leo Leo nisiku yangu ya kumbukizi ya kuzaliwa huwaga naitumia Siku hii kwakupumzika na kufurahi k**a ilivyo andikwa kwenye maandiko matakatifu yakuwa Mungu alipumzika katika uumbaji wake Siku ya Saba ni Siku ya sabato Saba ni utimilifu sasa hapa kwangu zipo mbili yaan (double) 7,7, means you get it double double blessings okey Nina makala Moja juu inayohusu



Hauwezi kulitatua tatizo kwa KULIKIMBIA.

Ni kweli ni jambo gumu sana sana...
..ila haliwezi kuisha kwa kulikwepa.

Umeshawahi kuwa kwenye changamoto ambayo unatamani K**a ungetokea muujiza tu IKAYEYUKA?

Au unatamani hata ungepotea tu kinamna na ujikute hauko tena hapo ulipo?

Wewe sio wa kwanza kuna wengi walishawahi kupitia hali hii.

Inaweza kuwa ni changamoto kwenye...
..mahusiano yako.
..inaweza kuwa ni jambo lililopo kazini n.k

Mara nyingi mtu akipitia hali hii huwa anataka...
..KUKIMBIA.
..KUJIFICHA.
..na APOTEE KABISA.

Unachotakiwa kujua ni kuwa, njia rahisi ya kushughulika na changamoto yako ni KUIKABILI.

Kwa sasa inaonekana k**a hauna Nguvu na ukiikabili ndio itakuwa mwisho wako.

SIO KWELI!

Aibu unayoiogopa hautaipata k**a ukiikabili badala ya kuikimbia.

Hasara unayoihofia haitakuwepo k**a utaamua kuikabili.

Hii changamoto Leo.

Leo nakuombea uchukue HATUA YA KWANZA kuikabili changamoto YAKO...
..na utaona Mungu atakavyokupa USHINDI.

Niimani yangu umepata kitu..


See You At The Top

Namshukuru Mungu kwa Kuongeza Mwaka Mwingine. Ahsante kila mmoja kwa kuwa sehemu ya maisha yangu. Nawapenda 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
06/07/2021

Namshukuru Mungu kwa Kuongeza Mwaka Mwingine. Ahsante kila mmoja kwa kuwa sehemu ya maisha yangu. Nawapenda 🙏🏼🙏🏼🙏🏼

06/07/2021

Kila rafiki unayemkaribisha na kumruhusu katika maisha yako ana nguvu ya kukuambukiza Inaweza ikawa kizuri au kibaya   y...
06/07/2021

Kila rafiki unayemkaribisha na kumruhusu katika maisha yako ana nguvu ya kukuambukiza Inaweza ikawa kizuri au kibaya
ya Mwanamke

Mchezo unafuata ni wa hatua ya Nusu Fainali ya kombe la   tutakaocheza dhidi ya Biashara United, kwenye uwanja wa Ali Ha...
22/06/2021

Mchezo unafuata ni wa hatua ya Nusu Fainali ya kombe la   tutakaocheza dhidi ya Biashara United, kwenye uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Tabora 🏟️

Wana Tabora na mikoa ya jirani tujitokeze kwa wingi kuisapoti timu yetu 🔰💪🏽

 🏆   

TAARIFA KWA WANACHAMA
20/06/2021

TAARIFA KWA WANACHAMA


𝗙𝘂𝗹𝗹 𝗧𝗶𝗺𝗲⏱Yanga Sc 3-2 Mwadui FcHaya wakacheze wanapochezaga 🤣🔰💪🏿  
20/06/2021

𝗙𝘂𝗹𝗹 𝗧𝗶𝗺𝗲⏱

Yanga Sc 3-2 Mwadui Fc

Haya wakacheze wanapochezaga 🤣🔰💪🏿

 

Mchezo ni mapumziko
20/06/2021

Mchezo ni mapumziko

20/06/2021

MATCH DAY

Tukutane Uwanja wa Benjamin Mkapa kwenye mchezo wetu dhidi ya Mwadui Fc utakaoanza Saa 1:00 Usiku.

Tujitokeze kwa wingi kuishangilia timu yetu. 💚💛💪🏾

🏆

•Out of brotherhood there have a big thing behind which called loves humanity you know being brother and sister means be...
20/06/2021

•Out of brotherhood there have a big thing behind which called loves humanity you know being brother and sister means being there for each other😍🩸.

On this lovely Sunday, remember to take a deep breath and relax, may your Sunday be blessed with love, joy, peace and ha...
20/06/2021

On this lovely Sunday, remember to take a deep breath and relax, may your Sunday be blessed with love, joy, peace and happiness.

Hivi unajua kuwa kuna maamuzi ambayo yakichelewa yanakosa maana kabisa katika maisha?Inawezekana Hata wewe unajua kuna m...
20/06/2021

Hivi unajua kuwa kuna maamuzi ambayo yakichelewa yanakosa maana kabisa katika maisha?

Inawezekana Hata wewe unajua kuna maamuzi ambayo unapaswa kuyafanya kuhusu kazi yako,

Mahusiano yako au Biashara yako,

Ila kila siku unaendelea kughairisha kwa matumaini kuwa mambo yatabadilika yenyewe.

Kumbuka kuna maamuzi ambayo yamefungwa kwenye muda...
...yaani usipoyafanya wakati huu.

Hata ukiyafanya baadaye hayatakuwa na maana.

Kuna maamuzi ambayo ukichelewa kuyafanya, utakuta umesharuhusu madhara makubwa sana ambayo hautaweza kuyarekebisha tena.

Kuna maamuzi ambayo, usipoyafanya Leo utakosa fursa kubwa sana ya kubadilisha maisha yako.

Kuna wakati huwezi kupata vyote, lazima uamue kuachia kimoja.

:- USICHELEWE KUFANYA MAAMUZI!

See You At The Top

Address

Mbezi

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Daniel Kijo Brighton posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share