Mashamba ya Kumwagilia Arusha

Mashamba ya Kumwagilia Arusha Tunawapatia mashamba yaliyo kwenye Skimu za umwagiliaji kwa bei nafuu sana toka maeneo na watu tunaowafahamu. Maji ya kutoshaa mwaka mzima.

Karibu jionee, KARIBU UNUNUE.

24/08/2023

Habari za Leo ndugu zangu.
Kwa wale wenye interest na shamba la mpunga lipo hekari mbili na nusu. Location nzuri, Ina barabara Pana sana. Haijawahi kumwangusha mkulima. Mahindi ni kipindi cha kiangazi tu kutokana na udongo.
Bei ya shamba lote hekari mbili na nusu ni milioni 17,500,000 na inatakiwa cash Kwa emergency.
Kwa waliotembelea Mashamba ya Kumwagilia Arusha Jumamosi iliyopita shamba lipo juu kidogo ya lile la mpunga tulikotembelea ambalo pia tayari tumeshauza.
Hii bei ni ya emergency Kwa wale mnaofahamu bei za kule hivyo piga simu k**a upo tayari.
Karibuni, shamba ni Mali!

Coordinate za shamba hizi hapa
https://maps.app.goo.gl/XHp7TiJwp6hpp2kx5

17/09/2022

Ndugu zetu wakulima wenzetu habari.
Tunapenda kuwajulisha kuwa mashamba yamepanda bei Kwa sasa. Hata hivyo Bado tunajitahidi kutafuta Kwa umakini mkubwa sana. Kwa wale waliopata mashamba wanaweza kutoka ushuhuda wa hili. Ukihitaji shamba Kwa sasa utatujuza Kisha tukueleze yaliyopo na wewe utaanua mwenyewe. Tuna hakika kuwa bei kubwa ni suala la muda mfupi, mvua zikija tutarudi kulekule au karibu na kule kwenye bei zetu za awali.
Tunaendelea kutoka huduma, list ya wahitaji ni wengi ila mashamba ya bei zao Bado hayajapatikana. Ukihitaji na wewe weka oda yako mapema, utapata taarifa zote Kwa uaminifu.
Mashamba yaliyopo Kwa sasa ni kuanzia milioni 9 na kuendelea ingawa Kuna ya mil 8 clay soil. Ukihitaji Kwa bei hizi tujuze tukupatie.
Karibuni sana na tuendelee kuijenga nchi yetu Kwa kuzalisha chakula cha kutosha.
Kuwasiliana nasi piga 0762605994 sasa

08/03/2022

Wanawake wamekuwa mstari wa mbele katika shughuli za uzalishaji mali nchini. Ushiriki wao katika shughuli za kilimo, biashara na ufugaji ni jambo la kusifiwa.
Tuchukue muda huu kuwatakia wanawake wote katika ukurasa huu na wengine wote duniani .............Heri ya siku ya wanawake duniani.........
Tunawapenda wote na tunathamini mchango wenu katika maendeleo ya familia na taifa Kwa jumla.

Kilimo raha sana ukizingatia kanuni. Kinakuwa na uhakika zaidi unapokuwa na huduma ya maji ya umwagiliaji.Karibu tukupat...
28/02/2022

Kilimo raha sana ukizingatia kanuni. Kinakuwa na uhakika zaidi unapokuwa na huduma ya maji ya umwagiliaji.
Karibu tukupatie shamba lenye huduma ya maji ya umwagiliaji wakati wote.
Tunauza hekari moja mil 6.5 tu. Kumbuka, hatukodishi mashamba bali tunauza tu!
Karibu sana.

13/02/2022

Daah, maeneo k**a haya huwezi kusema unakaa Bali unaishi. Pazuri sana

Habari zenu ndugu wadau. Baada ya kufanya utafiti mdogo(kauchunguzi) nimegundua kuwa fursa ya kufuga imekuwa na matokeo ...
05/02/2022

Habari zenu ndugu wadau. Baada ya kufanya utafiti mdogo(kauchunguzi) nimegundua kuwa fursa ya kufuga imekuwa na matokeo mazuri sana mwishoni mwa mwaka Jana mpaka sasa hasa Kwa mikoa ya Arusha, Manyara na Kilimanjaro. Wakenya wamekuwa wakinunua mifugo Kwa bei ya juu sana na kusababisha baadhi ya mabucha mjini kutoweza kuhimili biashara hata baada ya bei ya nyama kufikia 10000 Kwa kilo Moja. Ng'ombe wa wastani ni shilingi milioni Moja na kuendelea kwenye minada yetu. Mbuzi na kondoo kadhalika wapo juu sana.
Baada ya kuona hilo, pia kumekuwa na wimbi kubwa la watu wanaohitaji kununua maeneo ya kufuga wanyama kisasa. Tumekuwa tukiwapa mwongozo wa maeneo mazuri ya kufuga ila hata baada ya kuwafuatilia wengi walihitaji wapate kupitia sisi. Kwa maana hiyo, tumeamua kuongeza WiGo wetu na kujumuisha maeneo ya kilimo cha msimu na mifugo.
Karibuni sana! Tunaanza kujenga mahusiano na viongozi na watu wa maeneo maarufu Kwa mifugo na hasa yale ambayo kilimo cha msimu kina asilimia nyingi za kufaulu.
Tafadhali endelea kuwa na sisi, wakati wako wa kuwekeza ni sasa. jipatie shamba na ujiendeleze.

Kutokana na mabadiliko ya tabia ya nchi, Dunia inakabiliwa na janga la njaa katika maeneo mbalimbali. Vyanzo vya Maji ha...
01/02/2022

Kutokana na mabadiliko ya tabia ya nchi, Dunia inakabiliwa na janga la njaa katika maeneo mbalimbali. Vyanzo vya Maji hasa mito na chemchem zimepungua ujazo wa Maji Kwa kiwango kikubwa sana.

MKULIMA AFANYE NINI?
1. Kuwa makini kwenye uchaguzi wa maeneo ya kilimo hasa yenye uwezekano wa kupata Maji ya kuchimba ardhini.
2. Otesha miti ya kutosha katika eneo lako, hasa ya matunda Kwa kuwa miaka ijayo matunda yanaweza kuwa biashara nzuri na pia inatunza mazingira
3. Fuatilia vyombo vya habari, mamlaka za hali ya hewa na tabia nchi pamoja na chakula. Itakusaidia kufanya uamuzi sahihi katika kazi zako
4. Usiache mzigo unaokupa faida mpaka ukose soko. Mfano, mahindi kwa sasa gunia ni zaidi ya elfu 75 Arusha, na wakati wa mavuno ilikuwa Hadi elfu 30 gunia. Kusubiri faida kubwa sana kunaweza kukuponza au ikakupa faida. Shika unachokiona kabla hakijaondoka.
Kwa mifugo vivyohivyo, mfugo ukifika hatua inayofaa kuvuna basi vuna usisubiri mpaka upate hasara ya kumlisha au kufa Kwa mfugo wenyewe.
5. Jijengee kusoma mbinu za kufanya shughuli zako kitaalamu hata k**a ni mtalamu, mambo yanabadilika
6. Fanya mambo yako Kwa mrengo wa kibiashara. Kila hatua au shughuli unayoifanya weka kumbukumbu ya gharama ili ujue faida. Si vema kupoteza muda na fedha pasipo kujua.
7. Fuata Sheria za nchi hasa zinazohusu shughuli zako. Usitume kemikali zisizoruhusiwa kuhifadhia mazao, itakuharibia sifa.
8. Tembelea watu wanaojihusisha na unachojihusosha nacho. Utajifunza na kuboresha kwako Kwa kubadilishana mawazo na taarifa za masoko pia
9. Fanya utafiti juu ya faida na changamoto za shughuli unayoitarajia kuanzisha. Itakusaidia kupima k**a una uwezo wa kuvumilia changamoto hizo Kwa faida utakazojifunza
10. Weka jitihada katika kuboresha shughuli zako na kutafuta masoko

Tunauza shamba hekari mbili yenye access ya Maji mda wote. Shamba linafaa Kwa kilimo na ufugaji pia. Kuna greenhouse kub...
30/01/2022

Tunauza shamba hekari mbili yenye access ya Maji mda wote. Shamba linafaa Kwa kilimo na ufugaji pia. Kuna greenhouse kubwa jirani na hapo,
Bei ni milioni 7 Kwa Kila hekari.
Kukagua shamba piga 0762605994.

Shamba hekari 4.2 zinauzwa karangai. Zina access ya Maji ya kunwagilia. Inafaa Kwa kilimo na mifugo.Bei Kwa hekari moja ...
30/01/2022

Shamba hekari 4.2 zinauzwa karangai. Zina access ya Maji ya kunwagilia. Inafaa Kwa kilimo na mifugo.
Bei Kwa hekari moja ni mil 6.5.
Kwa maelezo zaidi piga 0762605994

12/01/2022

Heri ya mwaka mpya kwetu sote.
Kauli ya mwezi huu ni hii;
Kati ya mali isiyomwangusha mmiliki ni ardhi, bei inapanda Kila siku. Hakuna hasara Kwa mmiliki ardhi inayotokana na umiliki wake.
Tununue mashamba ndugu zangu.

01/01/2022
30/12/2021

Kiwanja safi, Kimandolu, size 20m kwa 30m, mita 600 kutoka lami ya Arusha-Moshi.
Full green! rahisi kupendezesha, udongo mzuri sana!
Bei milioni 17, maongezi kidogo!
Piga namba 0766339582 kutembelea kiwanja

Address

Arusha

Opening Hours

Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Telephone

+255762605994

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mashamba ya Kumwagilia Arusha posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Mashamba ya Kumwagilia Arusha:

Share

Category