saisaiproperties

saisaiproperties Wauzaji wa viwanja, mashamba na nyumba za makazi pamoja na biashara

𝐇𝐈𝐈 𝐍𝐈 𝐊𝐖𝐀 𝐖𝐀𝐓𝐀𝐍𝐙𝐀𝐍𝐈𝐀 𝐖𝐎𝐓𝐄🇹🇿...𝐊𝐖𝐀 𝐓𝐒𝐇𝐒 𝐌𝐈𝐋 𝟏.𝟗 𝐓𝐔 𝐔𝐍𝐀𝐌𝐈𝐋𝐈𝐊𝐈 𝐊𝐈𝐖𝐀𝐍𝐉𝐀 𝐂𝐇𝐀𝐊𝐎 𝐊𝐈𝐋𝐈𝐂𝐇𝐎𝐏𝐈𝐌𝐖𝐀 (𝐒𝐐𝐌 𝟒𝟎𝟎+ & 𝐒𝐐𝐌 𝟓𝟎𝟎+) 𝐍𝐃𝐀𝐍𝐈 𝐘𝐀 𝐅...
12/06/2024

𝐇𝐈𝐈 𝐍𝐈 𝐊𝐖𝐀 𝐖𝐀𝐓𝐀𝐍𝐙𝐀𝐍𝐈𝐀 𝐖𝐎𝐓𝐄🇹🇿...𝐊𝐖𝐀 𝐓𝐒𝐇𝐒 𝐌𝐈𝐋 𝟏.𝟗 𝐓𝐔 𝐔𝐍𝐀𝐌𝐈𝐋𝐈𝐊𝐈 𝐊𝐈𝐖𝐀𝐍𝐉𝐀 𝐂𝐇𝐀𝐊𝐎 𝐊𝐈𝐋𝐈𝐂𝐇𝐎𝐏𝐈𝐌𝐖𝐀 (𝐒𝐐𝐌 𝟒𝟎𝟎+ & 𝐒𝐐𝐌 𝟓𝟎𝟎+) 𝐍𝐃𝐀𝐍𝐈 𝐘𝐀 𝐅𝐔𝐊𝐀𝐘𝐎𝐒𝐈, 𝐁𝐀𝐆𝐀𝐌𝐎𝐘𝐎 𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐔 𝐊𝐀𝐁𝐈𝐒𝐀 𝐍𝐀 𝐁𝐀𝐑𝐀𝐁𝐀𝐑𝐀 𝐊𝐔𝐔.

🚩𝔼ℕ𝔼𝕆 𝕃𝔸 𝕄ℝ𝔸𝔻𝕀
Mradi wa viwanja vyetu unapatikana 𝙁𝙪𝙠𝙖𝙮𝙤𝙨𝙞, 𝘽𝙖𝙜𝙖𝙢𝙤𝙮𝙤 𝙈𝙠𝙤𝙖 𝙬𝙖 𝙋𝙬𝙖𝙣𝙞, umbali wa 𝙈𝙞𝙩𝙖 𝟱𝟬𝟬 kutoka barabara kuu ya Lami.

🚩𝕄𝕀𝕌ℕ𝔻𝕆𝕄𝔹𝕀ℕ𝕌 𝕐𝔸 𝕄ℝ𝔸𝔻𝕀
(i)Huduma za Maji na Umeme zinapatikana jirani na Mradi.

(ii)Barabara zimechongwa vizuri zinazoweza kupitika kwa Magari katika nyakati zote.

(iii)Viwanja ni Tambarare, havina Mabonde wala Mto na havijai maji kipindi cha Mvua.

(iv)Viwanja vyetu vimepimwa kwa ajili ya matumizi yote ya Makazi na Biashara.

(v) Muonekano mzuri kutokana na mpangilio Bora wa viwanja.

(vi)Hakuna Dalali viwanja ni Mali yetu 𝐒𝐀𝐈𝐒𝐀𝐈 𝐏𝐑𝐎𝐏𝐄𝐑𝐓𝐈𝐄𝐒.

🚩𝔾ℍ𝔸ℝ𝔸𝕄𝔸 (𝔹𝔼𝕀)
Viwanja vyetu vyote vina ukubwa wa 𝙎𝙌𝙈 𝟰𝟬𝟬+ 𝙣𝙖 𝙎𝙌𝙈 𝟱𝟬𝟬+ ambapo unaweza kununua kwa Cash au kwa Installments (Kulipa kidogo Kidogo)
Cash............. 𝐓𝐬𝐡𝐬 𝟏,𝟗𝟎𝟎,𝟎𝟎𝟎/=
Installment..𝐓𝐬𝐡𝐬 𝟐,𝟓𝟎𝟎,𝟎𝟎𝟎/=

🚩𝕄𝕌𝕆ℕ𝔾𝕆ℤ𝕆
Viwanja vyetu vyote Bei ni moja bila kujali Ukubwa wa Kiwanja ambapo ni 𝙏𝙨𝙝𝙨 𝙈𝙄𝙇 𝟭.𝟵 ukilipa Cash na 𝙏𝙨𝙝𝙨 𝙈𝙄𝙇 𝟮.𝟱 ukilipa kwa awamu (Installment).

Huduma ya Kutembelea Viwanja vyetu na Kutumiwa Ramani ni Bure na ni Kila siku. Pia unaweza Fika katika Ofisi zetu zilizopo 𝙂𝙊𝘽𝘼 𝙉𝙅𝙄𝘼 𝙉𝙉𝙀, 𝘿𝙎𝙈. Tunakua wazi kila siku kuanzia Saa 2 Asubuhi mpaka Saa 1 Jioni.

🚩𝕄𝔸𝕎𝔸𝕊𝕀𝕃𝔸ℕ𝕆
Unaweza kutupigia kupitia namba +𝟐𝟓𝟓 𝟕𝟔𝟗 𝟏𝟎𝟎 𝟏𝟎𝟎 au Tutumie Ujumbe "Nahitaji Ramani" Kupitia WhatsApp No +𝟐𝟓𝟓 𝟕𝟔𝟗 𝟏𝟎𝟎 𝟏𝟎𝟎 nasi Tutakutumia Chapu bila kuchelewa.

𝐇𝐔𝐔 𝐍𝐈 𝐌𝐖𝐀𝐊𝐀 𝐖𝐀𝐊𝐎, 𝐖𝐄𝐊𝐄𝐙𝐀 𝐒𝐀𝐒𝐀 𝐍𝐀 𝐒𝐀𝐈𝐒𝐀𝐈 𝐏𝐑𝐎𝐏𝐄𝐑𝐓𝐈𝐄𝐒

Happy blessed birthday beloved chairman- SaiSai Properties/SaiSai garten. Nguvu moja na daima mbele,  mwiko nyumaaaaa
01/06/2024

Happy blessed birthday beloved chairman- SaiSai Properties/SaiSai garten.

Nguvu moja na daima mbele, mwiko nyumaaaaa

MILIKI KIWANJA BAGAMOYO KARIBU NA LAMI KWA LAKI TISA NA ELFU THEMANINI TUU (980,000/=)Maji na umeme vipo site. Daladala ...
22/11/2022

MILIKI KIWANJA BAGAMOYO KARIBU NA LAMI KWA LAKI TISA NA ELFU THEMANINI TUU (980,000/=)

Maji na umeme vipo site. Daladala za Tegeta Nyuki to Msata zinapita hapa 24 hours daily.

Huduma zote za kijamii zipo jirani na mradi.

Viwanja vimepimwa na ni tambarare kabisa

Hakuna dalali ni mali yetu SAISAI PROPERTIES.

Kuoneshwa viwanja ni bure na ni kila siku.

Ukihitaji kuongea na wahusika fika ofisi zetu zilizopo SAISAI GOBA NJIA NNE DSM kila siku kuanzia saa mbili asubuhi mpaka saa moja jioni. KILA SIKU HATA SIKUKUU TUPO KAZINI.

Bagamoyo na Dar pameungana kwa sasa. Kumbukeni pia hata vijana wadogo mnaweza kuwekeza hapa mkashangaza wenzenu miaka muchache ijayo.

Piga sasa namba ni 0769 100 100 kwa maelezo zaidi.

Saisaiproperties "Eneo lako tunalo sisi"







MILIKI KIWANJA BAGAMOYO KARIBU NA LAMI KWA LAKI TISA NA ELFU THEMANINI TUU (980,000/=)Maji na umeme vipo site. Daladala ...
18/11/2022

MILIKI KIWANJA BAGAMOYO KARIBU NA LAMI KWA LAKI TISA NA ELFU THEMANINI TUU (980,000/=)

Maji na umeme vipo site. Daladala za Tegeta Nyuki to Msata zinapita hapa 24 hours daily.

Huduma zote za kijamii zipo jirani na mradi.

Viwanja vimepimwa na ni tambarare kabisa

Hakuna dalali ni mali yetu SAISAI PROPERTIES.

Kuoneshwa viwanja ni bure na ni kila siku.

Ukihitaji kuongea na wahusika fika ofisi zetu zilizopo SAISAI GOBA NJIA NNE DSM kila siku kuanzia saa mbili asubuhi mpaka saa moja jioni. KILA SIKU HATA SIKUKUU TUPO KAZINI.

Bagamoyo na Dar pameungana kwa sasa. Kumbukeni pia hata vijana wadogo mnaweza kuwekeza hapa mkashangaza wenzenu miaka muchache ijayo.

Vimebaki viwanja saba tuu, wahi mapema kupata kiwanja chako.

Piga sasa namba ni 0769 100 100 kwa maelezo zaidi.

Saisaiproperties "Eneo lako tunalo sisi"







BEACH PLOT FOR SALE KIGOMA-BUREGAKIPO JIRANI NA GRANO BEACH HOTEL BUREGAUkubwa ni Ekari moja (4,100SQM)Pamepimwa na kuna...
10/11/2022

BEACH PLOT FOR SALE KIGOMA-BUREGA

KIPO JIRANI NA GRANO BEACH HOTEL BUREGA

Ukubwa ni Ekari moja (4,100SQM)

Pamepimwa na kuna hati miliki (Clean tittle deed available)

Bei ni nzuri sana 18,500/= kwa SQM1, maongezi yapo

Hakuna DALALI, kuona ni siku yoyote, bila ghalama yoyote

Piga: 0769 100 100






OFFER OFFER OFFER KUBWASHAMBA KARIBU NA BARABARA YA LAMI KIDOMOLE BAGAMOYONi njia ya Bagamoyo to Msata, kijiji cha pili ...
10/11/2022

OFFER OFFER OFFER KUBWA

SHAMBA KARIBU NA BARABARA YA LAMI KIDOMOLE BAGAMOYO

Ni njia ya Bagamoyo to Msata, kijiji cha pili toka round about ya Bagamoyo

Mita mia sita (nusu km) toka lami, njia kwenda site imenyooka, dakika 5 kwa miguu kutoka kituoni barabarani. Daladala kutoka Tegeta Nyuki kwenda Msata, zinapita hapa muda wote.

Shamba lipo tambarare. Umeme, Maji, Shule za serikali na binafsi na Hospitali vipo karibu

Zimebaki Ekari tatu(3) tuu, Nne zimesha uzwa.

Bei ni Milioni sita (6,000,000/=) tuu, maongezi kidogo yapo

Hakuna DALALI

Kuoneshwa ni siku yeyoyote bila malipo yeyoyote

Piga: 0769 100 100

KIGOMA LEKA DUTIGITE🏡🔥🔥 VIWANJA VILIVYOPIMWA BUREGA BEACH MANISPAA YA KIGOMA. Mradi wetu wa Viwanja uliopo karibu na Bur...
01/04/2022

KIGOMA LEKA DUTIGITE🏡🔥🔥 VIWANJA VILIVYOPIMWA BUREGA BEACH MANISPAA YA KIGOMA. Mradi wetu wa Viwanja uliopo karibu na Burega Beach umekufikia kwa gharama nafuu kabisa. Viwanja vya ukubwa wa 17 KWA 23 kwa bei ya SH. Milioni Nne na Laki na Nane tu 4,800,000/= tu vilivyopo karibu na ufukwe wa Ziwa Tanganyika.🏖 Tupigie Simu 📞0769100100 MILIKI NA JENGA NA SAISAI PROPERTIES LEO🏠🏡

Hebu vuta picha ukimiliki kiwanja chenye ukubwa wa MITA 20 KWA 20 kutoka kampuni yetu bora ya Saisai Properties Goba Dar...
07/10/2021

Hebu vuta picha ukimiliki kiwanja chenye ukubwa wa MITA 20 KWA 20 kutoka kampuni yetu bora ya Saisai Properties Goba Dar es Salaam. Umbali ni km 1.4 kutokea barabarani Goba- Madale tena sehemu iliyotulia(ushuani). Viwanja vimepimwa kabisa na bei ya shilingi MILIONI 9.8 tu (milioni tisa na laki 8) na HAKUNA GHARAMA YA DALALI!!!
Makazi yaliyopo jirani ni bora kwelikweli. Mtaa umetulia na zimejengwa nyumba bora. Hakuna uswazi kabisa.

Offer kwa Milioni 9.8 tu🏠🏡 na kuona viwanja ni bure siku zote.. TUPIGIE MUDA 0758700200

Hebu vuta picha ukimiliki kiwanja chenye ukubwa wa MITA 20 KWA 20 kutoka kampuni yetu bora ya Saisai Properties Goba Dar...
06/10/2021

Hebu vuta picha ukimiliki kiwanja chenye ukubwa wa MITA 20 KWA 20 kutoka kampuni yetu bora ya Saisai Properties Goba Dar es Salaam. Umbali ni km 1.4 kutokea barabarani Goba- Madale tena sehemu iliyotulia(ushuani). Viwanja vimepimwa kabisa na bei ya shilingi MILIONI 9.8 tu (milioni tisa na laki 8) na HAKUNA GHARAMA YA DALALI!!!
Makazi yaliyopo jirani ni bora kwelikweli. Mtaa umetulia na zimejengwa nyumba bora. Hakuna uswazi kabisa.

Offer kwa Milioni 9.8 tu🏠🏡 na kuona viwanja ni bure siku zote.. TUPIGIE MUDA 0758700200

11/06/2021

0758 700 200 Karibu tukuhudumie 🤝

0758 700200 Viwanja vya uhakika hakuna gharama za dalali
10/06/2021

0758 700200 Viwanja vya uhakika hakuna gharama za dalali

Address

Goba Njia Nne
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when saisaiproperties posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to saisaiproperties:

Share