17/01/2023
KARIBU JARIQ INVESTMENT UMILIKI KIWANJA KWA BEI NAFUU SANA
ENEO LA MRADI NI BAGAMOYO, FUKAYOSI
➡️UKUBWA ENEO NI *SQM 600* KWA PLOT MOJA YAAN *20Sqm×30Sqm*
➡️BEI NI TSH.350,000 (CASH)
SIFA ZA MRADI
Mradi upo 7 KM kutoka barabara kuu (BAGAMOYO_MSATA)
1.Plots zote ni SAFI na zimeshapimwa na kuwekewa alama k**a inavyoonekana kwenye ramani. Ukinunua PLOT 3 unapatiwa bonus ya tofali 100 buree.
2.Pindi unapofanya malipo utapatiwa Hati ya Mauziano pamoja na mkataba wa mauziano ikiambatana na risiti ya EFD hapo hapo.
JINSI YA KUFIKA SITE
Siku ya kwenda Site ni Jumamosi Saa 1:30 asubuhi, ambapo makutano ni MAKUMBUSHO BUS STAND.Gharama ya Usafiri ni Tsh. 10,000 Tu hii inajumuisha safari ya kwenda na kurudi SITE.
K**a upo Kuanzia Mwenge na kundelea Barabara ya Bagamoyo tafadhali toa taarifa mapema ili kuweza kutambua tutakutana Kituo gani.
Pia unahitajika kuja na passport size 2 kwa ajili ya Mkataba wa mauziano pamoja na hati yamauziano.
NB; Kwa mawasiliano zaidi 0785197791 (whatsapp, SMS and calls)