ZUNGU TV

ZUNGU TV Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from ZUNGU TV, Real Estate, Mbezi, Africana, Dar es Salaam.

Dah maisha ni mzunguko
23/11/2021

Dah maisha ni mzunguko

Unaambiwa uzuri aliokupa mungu ni mzuri sana naona LUWINA huko vizursuper quite toa comment yako bhana unaonaje msanii w...
18/10/2021

Unaambiwa uzuri aliokupa mungu ni mzuri sana naona LUWINA huko vizursuper quite toa comment yako bhana unaonaje msanii wetu niwazuri bhana

Coment
14/09/2021

Coment

Ukikutana nae unaweza mwambia  nn
14/09/2021

Ukikutana nae unaweza mwambia nn

Tambua wewe ni wewe mimi  ni mimi  hakuna mwingine zaid yang
04/09/2021

Tambua wewe ni wewe mimi ni mimi hakuna mwingine zaid yang

25/06/2021

Maisha sikuzote yakikunyookea utafurahi sana pia maisha yakuishiunalindwa na mabodigad nishida asikwambie mtyu

Ukiniona saivi utanijua na zaman je
20/06/2021

Ukiniona saivi utanijua na zaman je

“Baada ya shughuli hizi za kuapishana na kupiga picha Wakuu wa Mikoa na Wateuliwa wengine mtarudi hapa na tutakuwa na ki...
19/05/2021

“Baada ya shughuli hizi za kuapishana na kupiga picha Wakuu wa Mikoa na Wateuliwa wengine mtarudi hapa na tutakuwa na kikao cha kazi kwahiyo kwasababu nina mambo mengi ya kuongea na nyinyi leo tuishie hapa tutakutana kwenye kikao cha kazi”———Rais Samia Ikulu Dar es salaam leo
https://www.zungu.tv

Kutokana na janga la Corona Simba SC kupitia kwa Afisa habari wake Haji Manara imetangaza kuwa CAF imeruhusu Mashabiki 1...
19/05/2021

Kutokana na janga la Corona Simba SC kupitia kwa Afisa habari wake Haji Manara imetangaza kuwa CAF imeruhusu Mashabiki 10,000 tu kuingia uwanjani kutazama mchezo wa Simba SC vs Kaizer Chiefs.

"Mpaka sasa tumeruhusiwa Mashabuki 10,000 lakini tunaendelea kuomba kuongeza, naomba uwanjani rangi iwe nyekundu na nyeupe”———Haji Manara https://www.zungu.tv

Afisa habari wa Simba SC, Haji Manara ameeleza kuwa licha ya Simba SC kupoteza 4-0 dhidi ya Kaizer Chiefs ugenini katika...
19/05/2021

Afisa habari wa Simba SC, Haji Manara ameeleza kuwa licha ya Simba SC kupoteza 4-0 dhidi ya Kaizer Chiefs ugenini katika mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Club Bingwa Afrika lakini wao wanataka kufuzu tu.

"Wanasimba wanataka kufuzu, hatutaki kujitahidi, Simba sio Timu ya kujitahidi, ni Timu ya kufuzu. Mashabiki wanaiamini Timu yao inaweza”———Haji Manara
https;//www.zungu.tv

Address

Mbezi, Africana
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when ZUNGU TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to ZUNGU TV:

Share

Category