01/12/2021
MILIKI KIWANJA CHAKO SASA KIGAMBONI MWASONGA - DAR ES SALAAM. KWENYE MJI UNAOKUA KWA KASI, WAKATI MZURI WA KUNUNUA NI SASA HIVI KWA BEI RAHISI.
Jenga na Ishi Kwenye Mtaa Uliopangiliwa Vizuri. Viwanja Vimepimwa Kwa Kuzingatia Sheria za Mipango Miji.
Sqm 1 ni Sh. 3800.
Bei Ya Kiwanja Ni Kuanzia Sh. 1,520,000 . Kwa Ukubwa Wa Sqm 400 ( mita 20 kwa 20)
Unaweza Pia Kulipa Kidogo Kidogo Kwa Muda wa Miezi 10 . Kila mwezi unalipa 152,000 .
Viwanja Vinapatikana Kuanzia Ukubwa Wa Sqm 400 (mita 20 kwa 20) Nakuendelea.
Viwanja Vipo Km 25 Kutoka Ferry .
Viwanja Vipo Km 2.5 Kutoka barabara Kuu ya Mwasonga.
Huduma za Kijamii K**a Umeme na Barabara zinapatikana.
Utapatiwa Mkataba wa Kisheria wa mauziano (Sales Agreement).
Maandalizi ya Hati ni baada tu ya kumaliza malipo.
Kutembelea Site Ni Jumamosi.
Nitumie Message WhatsApp Nikutumie Ramani. wa.me/255746079370
Ofisi zetu zipo Ubungo Shekilango Karibu na Rombo Green View Hotel.
Kwa Mawasiliano Zaidi Piga/WhatsApp
0746 079370
Group La WhatsApp https://chat.whatsapp.com/In930QtrJmrA7gmpGuYqx9