Miliki Ardhi Yako

Miliki Ardhi Yako Miliki ardhi yako bila stress
Wauzaji wa mashamba na Viwanja bila riba wala dhamana
Dar Pwani Dom
0787046457 call/watsup
Tupo Mwananyamala A

Miliki shamba kiwangwa bagamoyo Mashamba yetu yapo km 15 kutoka barabara kuu Ardhi ni tambalale na udongo wake ni wenye ...
10/01/2022

Miliki shamba kiwangwa bagamoyo
Mashamba yetu yapo km 15 kutoka barabara kuu
Ardhi ni tambalale na udongo wake ni wenye rutuba unaweza panda mazao k**a
➡️ Mahindi

➡️ Mananasi

➡️Mihogo

➡️Maharage

➡️Ndizi

Mbali na kilimo pia mazingira ni rafiki kwa ufugaji
Bei zetu ni sh.1,200,000 kwa hekari moja unailipia ndan ya miez 12 kila mwezi unailipia sh.100,000 tu na ukitoa pesa cash unapunguziwa 10%.

Wote mnakaribishwa kwa maelezo zaid tupigie kwa no.0787046457 au fika ofisin kwetu Mwananyamala A

Miliki ardhi kwa bei nafuu ya kulipia kdg kdg ndan ya miez 5 Pata futi 50 kwa 40 kwa sh.1,400,000 unailipia ndan ya miez...
28/09/2021

Miliki ardhi kwa bei nafuu ya kulipia kdg kdg ndan ya miez 5
Pata futi 50 kwa 40 kwa sh.1,400,000 unailipia ndan ya miez 5
Mradi umezingukwa na makaz ya watu huduma zote za kijamii zinapatikana
Kisemvule-obey city kumenoga karibu na ww

Kwa maelezo zaid tupigie kwa no.0787046457

31/08/2021

Hellow pinga makaz holela miliki ardhi yako safi iliyonyooka kwa bei nafuu
Viwanja vyetu vipo kisemvule 50-40 sh.1,000,000 unailipia kidogo kidogo ndani ya miez 10
Bei ya kianzio sh.150,000 kiasi kilichobaki unakilipia 100,000 ndani ya miez 9 mwez wa mwisho unalipa sh.50,000

Tupigie kwa no.0787046457 kwa maelezo zaid
Ofisi zetu zipo Mwananyamala A

Site kila jumamosi

Miliki ardhi yako bila stress
Wauzaji wa mashamba na Viwanja bila riba wala dhamana
Dar Pwani Dom
0787046457 call/watsup
Tupo Mwananyamala A

Makurunge bagamoyo jana ilikuwa 🔥🔥Watu wakionyeshwa maeneo yao karibu na ww ujipatie ardhi handsome iliyopimwa kwa bei c...
22/08/2021

Makurunge bagamoyo jana ilikuwa 🔥🔥
Watu wakionyeshwa maeneo yao karibu na ww ujipatie ardhi handsome iliyopimwa kwa bei chee ya mkopo usio na riba wala dhamana kwa kulipia kidogo ndani ya miez 18

Ofisi zetu zipo mwananyamala A
Kwa mawasiliano tupigie kwa no.0787046457
Nyote mnakaribishwa

16/08/2021

miliki ardhi yako bila stress kwa kulipia sh.78,000 kila mwez ndani ya miez 18 unapata sqm 400 chaap bila riba wala dhamana

Viwanja vyetu vipo makurunge bagamoyo km 3 kutoka lami hadi site
Viwanja vyetu vimepimwa na vina hati

Huduma zote za kijamii zinapatikana

Wasiliana nasi kwa ☎️☎️ no.0787046457 kwa maelezo zaid
Ofisi zetu zipo mwananyamala A

Miliki ardhi yako bila stress
Wauzaji wa mashamba na Viwanja bila riba wala dhamana
Dar Pwani Dom
0787046457 call/watsup
Tupo Mwananyamala A

MIRADI YETU:1. Lugoba chalinze Sqm 1 @  sh. 1000/=, kuanzia Sqm 400 na malipo miezi 10.2. Pingo chalinze sqm 1 @ sh. 400...
11/08/2021

MIRADI YETU:

1. Lugoba chalinze Sqm 1 @ sh. 1000/=, kuanzia Sqm 400 na malipo miezi 10.

2. Pingo chalinze sqm 1 @ sh. 4000/=, kuanzia Sqm 600 na malipo miezi 18.

3. Makurunge (bagamoyo) Sqm 1 @ sh. 3500/=, kuanzia Sqm 400 na malipo miezi 12.

4. Kiluvya Sqm 1 @ sh. 15000/= , kuanzia Sqm 400 na malipo miezi 18 anza na 30% mwezi wa kwanza.

5. Mwasonga (kigamboni) Sqm 1 @ sh. 6500=, kuanzia Sqm 700 na malipo ni miezi 20

6. Kimbiji kigamboni sqm 1 @ sh. 25000/= kuanzia Sqm 800 na Malipo ni miezi 18 anza na 30% mwezi wa kwanza.

7.mashamba kiwangwa kwa heka 1 @ 1200000/= malipo ni miez 12
Viwanja vyetu vimepimwa na vina hati miliki
Ofisi zetu zipo mwananyamala A

Kwa maelezo zaid tupigie 0787046457

Hellow!!Karibu miradi yetu:1. Kerege - Sqm 1 = 15000 Sqm 400 = 6,000,000 kianzio ni 20% ambayo ni 1,200,000 kiasi kilich...
10/08/2021

Hellow!!
Karibu miradi yetu:
1. Kerege - Sqm 1 = 15000 Sqm 400 = 6,000,000 kianzio ni 20% ambayo ni 1,200,000 kiasi kilichobak yaan 4,800,000 unailipa kidogo kidogo ndan ya miez 17

2. Kisemvule - Futi 50 kwa 40 = 1,000,000 unalipa kidogo kidogo ndani ya miez 10 kiasi cha kuanzia ni 15% ambayo ni Sh.150,000

Viwanja vyetu vimepimwa kabisa na vina hati miliki
Kwa mawasiliano zaid tupigie no.0787046457

Karibu ndugu mtejaMaradi yetu:1. Makurunge - Sqm 1 = 3500 Sqm 400 = 1,400,000 unalipa kidogo kidogo ndani ya miezi 182. ...
10/08/2021

Karibu ndugu mteja
Maradi yetu:
1. Makurunge - Sqm 1 = 3500 Sqm 400 = 1,400,000 unalipa kidogo kidogo ndani ya miezi 18

2. Msoga - Sqm 1 = 2000 Sqm 400 = 800,000 unalipa kidogo kidogo ndani ya miez 10

Viwanja vyetu vimepimwa na vina hati miliki
Kwa mawasiliano zaid tupigie no.0787046457

Address

Mwananyamala Street
Dar Es Salaam

Telephone

+255787046457

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Miliki Ardhi Yako posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share