SuperLand Tanzania

SuperLand Tanzania Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from SuperLand Tanzania, Real Estate Company, Vikindu Mbagala Dar es Salaam, Dar es Salaam.

*💥🔥MIRADI YETU ILIYOBAKIA KWASASA**SOMA MAELEZO YOTE ILI UWEZE KUJICHAGULIA KIWANJA CHAKO**0️⃣1️⃣KISEMVULE OSTERBAY(OBEY...
16/05/2026

*💥🔥MIRADI YETU ILIYOBAKIA KWASASA*

*SOMA MAELEZO YOTE ILI UWEZE KUJICHAGULIA KIWANJA CHAKO*

*0️⃣1️⃣KISEMVULE OSTERBAY(OBEY V.I.P CITY)*

-Ukubwa ni futi 50/40 sehemu ya kujenga vyumba vinne mpaka vitano,waeza unganisha zaidi ya kiwanja kimoja.
-VIwanja vipo juu na Tambarare kabisaaa.
-Ni ushuani,wananunua washua maana pako juu unajenga jumba utakalo.
-Huduma zote za kijamii zipo zinapatikana,umeme,maji,shule,hospital.
-Bei ni Sh.1,700,000/= tu,unaweza lipia kidogo kidogo,anza na Sh.1,000,000/= nyingine utamalizia ndani ya miezi mitatu.

0️⃣2️⃣KISEMVULE-MJINI
-Viwanja vipo karibu na Barabara kuu ya kilwa road.
-Huduma zote kijamii zinapatikana hapohapo k**a vile maji,umeme,shule,hospital n.k
-Ukubwa ni futi 50/40 unaweza unganisha viwanja zaidi ya kiwanja kimoja.
-BEI NI SH.6,500,000/= Unaweza anza na Sh.4,500,000/=nyingine utamalizia ndani ya miezi mitatu.

0️⃣3️⃣CHANG'OMBE VIANZI.
-Mradi umenyooka sana yani full Tambarare
-Ukubwa ni 50/40 unaweza dabo zaidi ya kiwanja kimoja
-Huduma zote za kijamii zinapatikana k**a vile shule,maji,umeme,hospital n.k
-Umbali toka barabara kuu ni dakika 10
-Bei ni Sh.2,500,000/= unaweza anza na Sh.1,700,000/=nyingine utamalizia ndani ya miezi mitatu.

0️⃣4️⃣VIKINDU VIANZI MALOGORO.
-Viwanja vimenyooka sanaa asei..
-Tambarare la kufa mtu.
-Ukubwa ni futi 50/40 waeza unganisha hata viwanja 10.
-huduma zote za kijamii zinapatikana hapo maji yapo,umeme,shule,hospital n.k
-Bei kitooonga kabisa yaani 750,000/= tuu tajiri.

0️⃣5️⃣MRADI WA VIKINDU VIANZI DUBAI,MAARUFU SHEIKHIL ISLAAM IBN TAYMIYYAH

-Viwanja vina ukubwa wa futi 50/40 waeza unganisha zaidi ya viwili.
-Huduma zote za kijamii zipo hapohapo viwanjani.
-Kutoka barabara kuu ni 2.5kms tu.
-Usafiri upo muda wote.
-Bei ni Sh.3,500,000 tu.

MAWASILIANO.
📞0655689073
📞0755808491

🇹🇿SUPERLAND TANZANIA,UAMINIFU NDIO NGAO YETU.

*🔥VIWANJA VIPYA VIKINDU MJINI**Viwanja vipo Town kabisaa dakika mbili tatu upo viwanjani*-Viwanja vipo karibu na Barabar...
28/08/2025

*🔥VIWANJA VIPYA VIKINDU MJINI*

*Viwanja vipo Town kabisaa dakika mbili tatu upo viwanjani*

-Viwanja vipo karibu na Barabara kuu kabisaa ya kilwa road,ni dakika mbili mpaka tatu unaingia site.
-Viwanja vina ukubwa wa Futi 53/45 ni vikubwa.
-Viwanja vina huduma zote za kijamii,na eneo limezungukwa na makazi ya watu.
-Umeme upo,maji yapo,shule zipo,hospital zipo,masoko yapo,barabara ya lami ileee unaitizama,unashuka kwenye gari unaingia kwako.

-Bei ya Viwanja hivi ni Sh.9,500,000/= tu.
Unaweza lipia kwa awamu ukaanza na 6,000,000/= nyingine utamalizia ndani ya miezi miwili mpaka mitatu.

*Tupigie simu sasa nambari zifuatazo👇🏻👇🏻*
*0655689073*
*0755808491*

*SUPERLAND TANZANIA*

*🔥HABARI NJEMA*👊🏻OFFER OFFER OFFER*VIWANJA VYA VIANZI MJINI SASA VITAUZWA KWA BEI YA SH.2,600,000/= TU NA SIO 2,800,000/...
04/06/2025

*🔥HABARI NJEMA*
👊🏻OFFER OFFER OFFER

*VIWANJA VYA VIANZI MJINI SASA VITAUZWA KWA BEI YA SH.2,600,000/= TU NA SIO 2,800,000/=*

-Viwanja vipo kandokando ya barabara kuu ya magari,daladala zipo.
-Viwanja vina ukubwa wa futi 50/40.
-Viwanja vipo Tambarare sana na vipo eneo la juu sehemu isofikika maji.
-Huduma zote za kijamii zipo,maji yapo site,umeme upo site,shule,hospital,tofali zinapatikana hapohapo site.
-Daladala za kwenda malela zinapita hapohapo kandokando ya mradi.

-Bei ni Sh.2,600,000/= tu..anza na Sh.1,500,000/= nyingine utamalizia ndani ya miezi mitatu.

Piga simu sasa kwa nambari zifuatazo👇🏻👇🏻
📞0655689073
📞0755808491

*SUPERLAND TANZANIA*

*VIKINDU-CHANGANYIKENI**MRADI MPYA,SAAFI,UMENYOOKA SANA*-Ukubwa ni Futi 50/40-Ni full Tambarare.-Sehemu isokaa maji kabi...
09/05/2025

*VIKINDU-CHANGANYIKENI*

*MRADI MPYA,SAAFI,UMENYOOKA SANA*

-Ukubwa ni Futi 50/40
-Ni full Tambarare.
-Sehemu isokaa maji kabisaa.
-Huduma za kijamii zinapatikana kwa ukaribu kabisa.
-Umeme upo,maji yapo,shule zipo,hospital zipo,n.k

-Bei ni Sh.1,500,000/= tu,anza na Sh.1,000,000/= nyingine utamalizia ndani ya miezi mitatu.

*📞Mawasiliana:0655689073*

*MRADI MPYA MALOGORO-MFURU,KIGAMBONI ROAD*-Viwanja vipo Tambarare kabisaa.-Ukubwa wa viwanja ni Futi 50 kwa 40.-Viwanja ...
19/04/2025

*MRADI MPYA MALOGORO-MFURU,KIGAMBONI ROAD*

-Viwanja vipo Tambarare kabisaa.
-Ukubwa wa viwanja ni Futi 50 kwa 40.
-Viwanja vipo jirani na barabara kabisa.
-Huduma zote za kijamii zinapatikana k**a vile maji,shule,umeme,hospital,usafiri ni masaa 24.

-Bei ni Sh.1,900,000/=tu
Anza na Sh.1,200,000/= nyingine utamalizia ndani ya miezi mitatu.

simu sasa
📞0655689073
📞0755808491

*KATIKA MIRADI YETU AMBAYO ITAKUWA NA OFFER YA MTEJA KULIPIWA HATI SERIKALINI NI K**A IFUATAYO👇🏻👇🏻**1️⃣KISEMVULE MJINI-K...
10/04/2025

*KATIKA MIRADI YETU AMBAYO ITAKUWA NA OFFER YA MTEJA KULIPIWA HATI SERIKALINI NI K**A IFUATAYO👇🏻👇🏻*

*1️⃣KISEMVULE MJINI-KIOO*
-Ukubwa ni futi 50/40
-Viwanja ni Tambarare
-Huduma zote za kijamii zinapatikana.
-Umbali 3kms Almost
-Usafiri masaa 24
-Ardhi kichanga isotuama maji.
-Bei ni Sh.1,500,000/=
Unaweza kulipia kwa awamu pia.

*2️⃣VIKINDU MJINI-MWAJASI "B"*
-Ukubwa ni futi 50/40
-Tambarare
-Huduma zote za kijamii zipo viwanjani ikiwemo umeme na maji
-Usafiri unapatikana muda wote.
-Bei ni Sh.1,980,000/= tu
Unaweza lipia kwa awamu pia

*3️⃣VIKINDU VIANZI MJINI*
-Ukubwa ni futi 50 kwa 40
-Tambarare kabisaa mkeka
-Sehemu isotuama maji
-Vipo barabara kuu ya vianzi,hivyo ni eneo la kibiashara pia.
-Huduma zote za kijamii zinapatikana hapo,umeme upo site kabisaa,huduma ya matofali ipo hapohapo,maji yapo hapohapo ushindwe wewe tu tajiri yangu.

-Bei ni Sh.2,800,000/= tu
Unaweza lipia kwa awamu.

*PIGA SIMU NUMBER⏬⏬*
*0655689073*
*0755808491*

*MRADI MPYA VIKINDU MJINI-MWAJASI*-MRADI UPO KARIBU NA BARABARA KABISAA.-2kms kutoka Vikindu mjini.-Ukubwa ni futi 50/40...
18/03/2025

*MRADI MPYA VIKINDU MJINI-MWAJASI*

-MRADI UPO KARIBU NA BARABARA KABISAA.
-2kms kutoka Vikindu mjini.
-Ukubwa ni futi 50/40.
-Huduma zote za kijamii zipo k**a vile maji,umeme,shule,na hospital..
-Usafiri masaa 24,unashuka kwenye daladala,bajaji ama bodaboda unaingia nyumbani kwako.
-Viwanja Tambarare kabisaa yani,majirani wa kutosha.

-Bei ni Sh.2,500,000/=,unaweza kuanza na 1,500,000/= nyingine utamalizia ndani ya miezi mitatu.

MAWASILIANO:
⏯️0655-689073
⏯️0755-808491

*MRADI MPYA VIKINDU MJINI-SHELATON*-MRADI UPO KARIBU NA BARABARA KABISAA.-1kms kutoka Vikindu mjini.-Ukubwa ni futi 50/4...
11/03/2025

*MRADI MPYA VIKINDU MJINI-SHELATON*

-MRADI UPO KARIBU NA BARABARA KABISAA.
-1kms kutoka Vikindu mjini.
-Ukubwa ni futi 50/40.
-Huduma zote za kijamii zipo k**a vile maji,umeme,shule,na hospital..
-Usafiri masaa 24,unashuka kwenye daladala,bajaji ama bodaboda unaingia nyumbani kwako.
-Viwanja Tambarare kabisaa yani,majirani wa kutosha.

-Bei ni Sh.3,800,000/=,unaweza kuanza na 2,800,000/= nyingine utamalizia ndani ya miezi mitatu.

MAWASILIANO:
⏯️0655-689073
⏯️0755-808491

*RAMADAN OFFER🔥**Kuanzia Ramadhan ya 8 mpaka ya 14(SIKU SABA)kutakuwa na OFFER ya kulipiwa hati Serikalini kwa wateja we...
07/03/2025

*RAMADAN OFFER🔥*

*Kuanzia Ramadhan ya 8 mpaka ya 14(SIKU SABA)kutakuwa na OFFER ya kulipiwa hati Serikalini kwa wateja wetu wapya tuu.*

*OFFER hii ni miradi yetu yote*

*NB:UKIPATA TANGAZO HILI MWAMBIE NA MWINGINE*

📞0655-689073
📞0755-808491

*✍🏼MANAGER:SUPERLAND TANZANIA*

*HII KALI YA MWAKA 2025,VIWANJA BOMBA KABISA,CHAGUA HAPA WAPI UNATAKA UPELEKWE,USHINDWE WEWE TU KUJENGA MWAKA HUU👇🏻👇🏻👇🏻....
04/02/2025

*HII KALI YA MWAKA 2025,VIWANJA BOMBA KABISA,CHAGUA HAPA WAPI UNATAKA UPELEKWE,USHINDWE WEWE TU KUJENGA MWAKA HUU👇🏻👇🏻👇🏻.*

IPO MIRADI YA BEI RAHISI NA YA BEI YA WASHUA🤩🤩.

1️⃣MRADI WA VIKINDU VIANZI CHANG'OMBE.
-Mradi upo Tambarare kabisaa.
-Ukubwa ni futi 50/40
-Mradi upo barabarani kabisaa
-Mradi una huduma zote za kijamii ikwemo,umeme,maji,shule zipo karibu,hospital n.k
-Usafiri upo masaa 24.
-Umbali ni 3kms

-Bei Sh.3,500,000 anza na 2,300,000 nyingine utamalizia ndani ya miezi mitatu.

2️⃣VIKINDU MJINI SHELATON.
-Mradi upo 1km moja toka vikindu stand.
-Ukubwa ni futi 50/40
-Mradi upo Tambarare kabisa.
-Mradi upo na huduma zoote za kijamii,maji yapo umeme upo n.k

-Bei ya mradi huu ni Sh.3,800,000/=,anza na Sh.2,800,000/= nyingine utamalizia ndani ya miezi mitatu.

3️⃣MRADI WA KISEMVULE MJINI-KIOO.

-Mradi upo umbali wa 2.5kms.
-Mradi umenyooka sana,full Tambarare.
-Ukubwa ni Futi 50/40
-Mradi bora kabisa ambapo ukinunua kiwanja unapata mchanga hapohapo wa kujengea.
-Huduma zote za kijamii zinapatikana umeme upo,maji yapo,shule zipo..n.k
-Bei ni Sh.1,500,000 anza na 1,000,000 nyingine utamalizia ndani ya miezi mitatu.

4️⃣MRADI WA VIKINDU KIWANDA CHA PLASTIC.
-Viwanja vipo Tambarare.
-Viwanja vipo kwenye miji tayari majirani wa kutosha.
-Ukubwa ni Futi 50/40
-Umbali ni 3kms tu toka Vikindu stand.
-Huduma zote za kijamii zinapatikana k**a vile maji,umeme,shule,hospital n.k
-Bei ni Sh.2,800,000/= anza na Sh.1,800,000/= nyingine utamalizia ndani ya miezi mitatu.

5️⃣KISEMVULE OSTERBAY CITY.
-Ukubwa ni futi 50/40
-Umbali ni 6kms
-Huduma zote za kijamii zipo karibu.
-Bei ni Sh.950'000 anza na 750,000/= nyingine utamalizia ndani ya miezi mitatu.

Pia vipo vya Sh.750,000.

6️⃣KISEMVULE KWA KASEKE.
-Umbali toka barabarani ni dakika 5 tu.
-Ukubwa ni futi 50/40
-Viwanja vipo sehemu ya mji kabisa,vipo juu.
-Barabara ya kilwa road dakika tano tu.
-Huduma zote za kijamii zinapatikana k**a vile maji,shule,umeme,hospital

-Bei ni Sh.3,500,000 tu anza na 2,500,000 nyingine utamalizia ndani ya miezi mitatu.

TUPIGIE SIMU AMA FIKA OFISI ZETU ZILIZOPO KISEMVULE NYUMBA NYEUPE.
PIGA NUMBER ZIFUATAZO👇🏻👇🏻
📞0655-689073
📞0755-808491

*SUPERLAND TANZANIA NDIO CHAGU

Address

Vikindu Mbagala Dar Es Salaam
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when SuperLand Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share