14/01/2026
MASHAMBA MAKUBWA YANAPATIKANA FUKAYOSI BAGAMOYO FURSA YA UWEKEZAJI WA KWELI! ๐ฟ
Tunauza mashamba yaliyopo Bagamoyo, fukayosi, umbali wa kilomita 6 tu kutoka barabara kuu.
Mashamba yapo kwenye eneo tulivu, tambarare na yanafaa kwa kilimo, makazi na uwekezaji wa muda mrefu.
โ
Mashamba ya ukubwa tofauti yanapatikana
โ
Eneo tambarare na linalofikika kirahisi
โ
Yanafaa kwa kilimo, makazi na miradi ya biashara
โ
Mazingira salama na ya kutulia
โ
Uhakika wa kupanda thamani kwa muda mfupi na mrefu
๐ Ukubwa wa shamba:
๐น Ekari 1 na kuendelea
๐ฐ Bei:
๐ Shamba moja linauzwa Tsh 2,000,000
๐ณ Njia Rahisi za Malipo
โ๏ธ Cash (Keshi):
๐ Pata discount ya 10%
โ๏ธ Deposit 30%:
๐ Pata discount ya 5%, baki unamalizia kwa miezi 19
โ๏ธ Installments:
๐ Lipa Tsh 100,000 kwa mwezi kwa muda wa miezi 20
๐ Site Visit kila jumamosi tunaanzia kivulini mlimanicity
โฐ Saa 2:00 kamili asubuhi
๐ Usafiri wa kwenda na kurudi utachangia 10,000/= tu
๐ Utapata nafasi ya kutembelea maeneo ya mashamba na viwanja vilivyopo kwenye kampuni yetu.
โ0763737271