Neysamrealestates agency

Neysamrealestates agency Tunawasaidia wateja wetu wenye kipato Cha chini ,Cha kati na Cha juu kumiliki ardhi kwa malipo ya kidogo

๐Ÿ“ž 0763737271

14/01/2026

MASHAMBA MAKUBWA YANAPATIKANA FUKAYOSI BAGAMOYO FURSA YA UWEKEZAJI WA KWELI! ๐ŸŒฟ

Tunauza mashamba yaliyopo Bagamoyo, fukayosi, umbali wa kilomita 6 tu kutoka barabara kuu.
Mashamba yapo kwenye eneo tulivu, tambarare na yanafaa kwa kilimo, makazi na uwekezaji wa muda mrefu.
โœ… Mashamba ya ukubwa tofauti yanapatikana
โœ… Eneo tambarare na linalofikika kirahisi
โœ… Yanafaa kwa kilimo, makazi na miradi ya biashara
โœ… Mazingira salama na ya kutulia
โœ… Uhakika wa kupanda thamani kwa muda mfupi na mrefu

๐Ÿ“ Ukubwa wa shamba:
๐Ÿ”น Ekari 1 na kuendelea
๐Ÿ’ฐ Bei:
๐Ÿ‘‰ Shamba moja linauzwa Tsh 2,000,000

๐Ÿ’ณ Njia Rahisi za Malipo
โœ”๏ธ Cash (Keshi):
๐Ÿ‘‰ Pata discount ya 10%
โœ”๏ธ Deposit 30%:
๐Ÿ‘‰ Pata discount ya 5%, baki unamalizia kwa miezi 19
โœ”๏ธ Installments:
๐Ÿ‘‰ Lipa Tsh 100,000 kwa mwezi kwa muda wa miezi 20

๐Ÿ“ Site Visit kila jumamosi tunaanzia kivulini mlimanicity
โฐ Saa 2:00 kamili asubuhi
๐Ÿš Usafiri wa kwenda na kurudi utachangia 10,000/= tu
๐Ÿ‘€ Utapata nafasi ya kutembelea maeneo ya mashamba na viwanja vilivyopo kwenye kampuni yetu.
โ˜Ž0763737271

MASHAMBA MAKUBWA YANAPATIKANA FUKAYOSI BAGAMOYO FURSA YA UWEKEZAJI WA KWELI! ๐ŸŒฟTunauza mashamba yaliyopo Bagamoyo, fukayo...
14/01/2026

MASHAMBA MAKUBWA YANAPATIKANA FUKAYOSI BAGAMOYO FURSA YA UWEKEZAJI WA KWELI! ๐ŸŒฟ

Tunauza mashamba yaliyopo Bagamoyo, fukayosi, umbali wa kilomita 6 tu kutoka barabara kuu.
Mashamba yapo kwenye eneo tulivu, tambarare na yanafaa kwa kilimo, makazi na uwekezaji wa muda mrefu.
โœ… Mashamba ya ukubwa tofauti yanapatikana
โœ… Eneo tambarare na linalofikika kirahisi
โœ… Yanafaa kwa kilimo, makazi na miradi ya biashara
โœ… Mazingira salama na ya kutulia
โœ… Uhakika wa kupanda thamani kwa muda mfupi na mrefu

๐Ÿ“ Ukubwa wa shamba:
๐Ÿ”น Ekari 1 na kuendelea
๐Ÿ’ฐ Bei:
๐Ÿ‘‰ Shamba moja linauzwa Tsh 2,000,000

๐Ÿ’ณ Njia Rahisi za Malipo
โœ”๏ธ Cash (Keshi):
๐Ÿ‘‰ Pata discount ya 10%
โœ”๏ธ Deposit 30%:
๐Ÿ‘‰ Pata discount ya 5%, baki unamalizia kwa miezi 19
โœ”๏ธ Installments:
๐Ÿ‘‰ Lipa Tsh 100,000 kwa mwezi kwa muda wa miezi 20

๐Ÿ“ Site Visit kila jumamosi tunaanzia kivulini mlimanicity
โฐ Saa 2:00 kamili asubuhi
๐Ÿš Usafiri wa kwenda na kurudi utachangia 10,000/= tu
๐Ÿ‘€ Utapata nafasi ya kutembelea maeneo ya mashamba na viwanja vilivyopo kwenye kampuni yetu.
โ˜Ž0763737271

Kwa wanaohitaji maeneo makubwa kwa bei nzuriโ€”haya hapa!Tunapatikana na mashamba mapana yanayofaa kwa:๐Ÿก Ujenzi wa makazi ...
14/11/2025

Kwa wanaohitaji maeneo makubwa kwa bei nzuriโ€”haya hapa!

Tunapatikana na mashamba mapana yanayofaa kwa:
๐Ÿก Ujenzi wa makazi ya familia
๐Ÿ„ Ufugaji wa ngโ€™ombe, mbuzi na kuku
๐Ÿข Miradi ya biashara au real estate
Mashamba yamepimwa, mazingira ni tulivu, na nyaraka zote ziko wazi kwa mteja.
Kwanini uendelee kusubiri wakati ardhi inapanda thamani kila mwaka?
๐Ÿ‘‰ Book viewing leo na ujihakikishie mali yako mapema.

โ˜Ž๏ธโ˜Ž๏ธ

14/11/2025

Kilimo ndio dhahabu ya sasaโ€”na shamba sahihi ndilo msingi wa mafanikio yako.

Tunatoa mashamba makubwa yaliyo tayari kwa kilimo cha mazao k**a mahindi, alizeti, mpunga, matunda na mboga.
Manufaa ya mashamba yetu:
๐ŸŒฑ Maji yapo karibu
๐ŸŒฑ Udongo wenye rutuba
๐ŸŒฑ Maeneo salama na yenye barabara za kupitika
๐ŸŒฑ Bei zinazokupa nafasi ya kuanza bila presha
Huu ndio wakati wa kuwekeza kwenye chakula cha kesho.
๐Ÿ‘‰ DM kupata site visit na maelezo ya kina.

โ˜Ž๏ธโ˜Ž๏ธ

14/11/2025

Unatafuta shamba la uwekezaji lenye hati halali na linalofikika kirahisi?
Karibu . Tunakuletea mashamba makubwa kwa bei nafuu, maeneo tambarare na yenye fursa nyingi za kilimo, nyumba za kupangisha au miradi ya familia.
Mashamba yetu yanafaa kwa:
โœ”๏ธ Kilimo cha muda mrefu
โœ”๏ธ Ufugaji
โœ”๏ธ Ujenzi wa makazi
โœ”๏ธ Miradi ya biashara
Uwekezaji wa ardhi haupotezi thamaniโ€”huongezeka kila mwaka.
๐Ÿ‘‰ Wasiliana nasi leo kupata vipimo, bei na nafasi zilizopo.
โ˜Ž๏ธโ˜Ž๏ธ

14/11/2025

Uwekezaji wa ardhi haukawii kupata faidaโ€”na sasa ndiyo wakati sahihi wa kuanza safari yako ya kumiliki mali.
Kupitia NeysAM Real Estate Agency, tunakuletea viwanja na mashamba vilivyothibitishwa kisheria, maeneo mazuri na yenye fursa kubwa za maendeleo.

Tunajivunia kutoa huduma zifuatazo kwa wateja wetu:
๐Ÿ”น Viwanja vilivyopimwa na hati zilizo tayari
๐Ÿ”น Bei rafiki na malipo rahisi kwa kila bajeti
๐Ÿ”น Eneo salama, tambarare na la kimkakati kwa makazi au biashara
๐Ÿ”น Ushauri wa kitaalamu kuanzia hatua ya kwanza hadi umiliki kamili
๐Ÿ”น Huduma ya site visit kwa urahisi na haraka

Unapotafuta kuwekeza, angalia sehemu yenye thamani, usalama na uhakika wa kupanda kwa thamaniโ€”na sisi tunakupa yote hayo.
Tunafanya kazi kwa uwazi, uaminifu na ubora unaolingana na viwango vya Real Estate vya kisasa.

๐Ÿ“ Bagamoyo & maeneo yanayozunguka
๐Ÿ“ž DM au piga simu sasa kupata maelezo zaidi

โ€” Tunajenga Ndoto Zako kwa Ardhi Salama.

14/11/2025

Uwekezaji wa ardhi haukawii kupata faidaโ€”na sasa ndiyo wakati sahihi wa kuanza safari yako ya kumiliki mali.
Kupitia NeysAM Real Estate Agency, tunakuletea viwanja na mashamba vilivyothibitishwa kisheria, maeneo mazuri na yenye fursa kubwa za maendeleo.

Tunajivunia kutoa huduma zifuatazo kwa wateja wetu:
๐Ÿ”น Viwanja vilivyopimwa na hati zilizo tayari
๐Ÿ”น Bei rafiki na malipo rahisi kwa kila bajeti
๐Ÿ”น Eneo salama, tambarare na la kimkakati kwa makazi au biashara
๐Ÿ”น Ushauri wa kitaalamu kuanzia hatua ya kwanza hadi umiliki kamili
๐Ÿ”น Huduma ya site visit kwa urahisi na haraka

Unapotafuta kuwekeza, angalia sehemu yenye thamani, usalama na uhakika wa kupanda kwa thamaniโ€”na sisi tunakupa yote hayo.
Tunafanya kazi kwa uwazi, uaminifu na ubora unaolingana na viwango vya Real Estate vya kisasa.

๐Ÿ“ Bagamoyo & maeneo yanayozunguka
๐Ÿ“ž DM au piga simu sasa kupata maelezo zaidi na kubook nafasi yako.

โ˜Ž๏ธโ˜Ž๏ธ

โ€” Tunajenga Ndoto Zako kwa Ardhi Salama.

Unatafuta kiwanja au shamba salama cha kuwekeza?Karibu @ neysam_reakestates_agency, mahali unapopata ardhi yenye hati ha...
14/11/2025

Unatafuta kiwanja au shamba salama cha kuwekeza?
Karibu @ neysam_reakestates_agency, mahali unapopata ardhi yenye hati halali, maeneo yaliyopimwa, na bei rafiki kwa kila mtanzania anayetaka kumiliki mali kwa uhakika.

Tunapatikana Bagamoyo na maeneo jirani, tukikupa:
โœ”๏ธ Viwanja vilivyopimwa kisheria
โœ”๏ธ Hati safi na nyaraka zote ziko wazi
โœ”๏ธ Bei zinazokupa nafasi ya kuwekeza bila presha
โœ”๏ธ Eneo tambarare, linalofikika kirahisi na lenye mwelekeo mzuri wa makazi/biashara
โœ”๏ธ Huduma za mteja za haraka na za kitaalamu

Kwanini uendelee kusubiri wakati uwekezaji mzuri unapatikana leo?
Kununua ardhi ni hatua ya busara, ya kudumu, na ya kuijenga kesho yako. Tunakuhudumia kwa uaminifu, uwazi na hatua kwa hatua mpaka unamaliza mchakato wa umiliki.

๐Ÿ“ž Wasiliana nasi sasa ili kupata maelezo, kutembelea site, au ku-book kiwanja chako kabla havijaisha.
โ˜Ž๏ธโ˜Ž๏ธ

โ€” Tunakupa Ardhi Salama Kwa Maisha ya Kesho.

05/11/2025
Weka booking yako mapema wiki hii ukajionee uzuri wa dodoma na ardhi yake...๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฅ๐Ÿ“ž0763737271 kwa mawasiliano zaidi
24/08/2025

Weka booking yako mapema wiki hii ukajionee uzuri wa dodoma na ardhi yake...๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฅ

๐Ÿ“ž0763737271 kwa mawasiliano zaidi

MRADI MPYA WA MASHAMBA MPUNGUZI DODOMAโ€ข Mradi wa mashamba yaliyopimwa mpunguzi Dodomaโ€ข Umbali km6 kutoka mpunguzi center...
24/08/2025

MRADI MPYA WA MASHAMBA MPUNGUZI DODOMA

โ€ข Mradi wa mashamba yaliyopimwa mpunguzi Dodoma
โ€ข Umbali km6 kutoka mpunguzi center.
โ€ข Barabara inafikika mpaka site kipindi chote

โ€ข Bei Kwa Ekari moja ni shilingi 1,500,000/=
โ€ข Lipa kidogo kidogo kwa miezi 15 Kwa kulipia Laki moja Kwa mwezi.

โ€ข Eneo lipo tambalale linafaa Kwa matumizi ya kilimo.ufugaji unaweza pia kufanya makazi ukiwa unaendelea kufanya project zako.

โ€ข Ardhi ni virgin(haijawahi kuguswa)
โ€ข Unaweza kulima,mahindi,ufuta, halizeti na
mazao mengine mengi.

โ€ข Ukinunua shamba kwetu Hati miliki ni Kwa wakati.
โ€ข Utasaini mkataba wa mauziano ya shamba baada ya kuanza kufanya malipo ya awali lakini pia tapewa receipt zako za malipo katika kipindi chote Cha mkataba

ยฎ Safari za kutembelea site zetu ni kila siku za jumamosi
9 Safari zinaanzia kituo cha sgr mkonze
ยฉ Muda ni saa mbili asubuhi
โ€ข Ada ya kutembelea miradi yetu ni TSH 10000/= tu
้›ช0763737271

NB:FANYA BOOKING YAKO MAPEMA

Address

Sinza Makaburini
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Neysamrealestates agency posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Neysamrealestates agency:

Share

Category