17/03/2022
UNA UFAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI?
Bawasiri
Ni pale mishipa ya veins (nyama) zinapojitokeza eneo la haja kubwa (A**s)
Hali hii humfanya mtu ajisikie hali ya kukera sana na wakati mwingine maumivu makali, hali ya kukera hutokea kipindi aendapo chooni kupata haja kubwa ila kwa wengine hali hii huwafanya wapate maumivu kila wakati na kujisikia vibaya sana na kushindwa kufanya mambo mengine.
Mara nyingi bawasiri huendana na kupata choo choo chenye damu
Kawaida eneo la haja kubwa lina mishipa ya damu mingi aina ya VEINS na mishipa hii IPO juu juu sana. Sasa presha inapoongezeka eneo hili mishipa hiyo hupasuka na hujitokeza kwa nje hivyo huonekana k**a nyama zimejitokeza
Ingawa wakati mwigine BAWASIRI hujitokeza ndani kabisa ya njia ya haja kubwa hivyo hufanya bawasiri iwe ya ndani bila nyama kutokea nje ya haja kubwa MTU atajisikia hali ya kukera bila nyama kutoka nje kwa hiyo hii inaitwa BAWASIRI ya ndani.
SABABU ZA BAWASIRI KUTOKEA
1️⃣KUPATA CHOO KIGUMU
Choo kigumu huongeza presha eneo la haja kubwa hivyo husababisha bawasiri kutokea
Hii hutokea zaidi kwa watoto wadogo na watu wenye constipation au wenye tatizo la kutopata choo
2️⃣UZAZI (MIMBA)
Huongeza presha eneo la nyonga hivyo huongeza presha eneo la haja kubwa hivyo huongeza nafasi ya kupata bawasiri
3️⃣KITAMBI (OBESITY)
Pia huongeza presha eneo la nyonga, hii hupelekea huongeza presha eneo la haja kubwa
4️⃣KUNYANYUA VITU VIZITO
Pia huongeza presha eneo la haja kubwa,pia huongeza nafasi ya kupata bawasiri
Mara nyingi watu wengine hufanyiwa UPASUAJI kutatua tatizo hili kwa jinsi lilivyo.
TIBA YA BAWASIRI BILA UPASUAJI
Zipo tiba za aina nyingi katika kutatua ugonjwa huu! Ila kwetu sisi tunatumia njia mbadala ambayo huondoa tatizo hilo na hutakuwa na haja ya kufanyiwa upasuaji.
#0759255619
TIBA YA BAWASIRI PASIPO UPASUAJI