09/08/2026
BEI MILION 3 TU. Viko Mjini kabisa Kigamboni β Kimbiji kidagaa. Mita 50 toka Stendi ya Kidagaa.
Hapa Ukishuka kwenye Daladala toka Ferry, Unaingia kwako. Pote pamejengeka, eneo limezungukwa na majirani, Umeme upo, Maji, Shule hapo hapo, hospital na huduma zote zipo.
Unaweza kujenga nyumba za kupangisha Kwa sababu wahitaji ni wengi sana, Kwa sababu ya viwanda. Tumepakana na viwanda vikubwa k**a AFRICAB na NYATI CEMENT.
Ukubwa Sqm 200 Milion 3, Sqm 400 Milion 6 na kuendelea. π Piga au WhatsApp: 0711677199/0744847199