16/11/2023
ELIMU NA USHAURI WA BURE KWA WATEJA WOTE WA VIWANJA.
SOMA HADI MWISHO BILA UVIVU UTANISHUKULU.
_Tunauza viwanja, viwanja vimesajiliwa na wizara ya ardhi.hatuna mambo mengi kiufupi tumenyooka.
Viwanja vipo kiluvya madukani Kwa ma'sister ni kilometer 6 tu kutoka barabara ya morogoro road.
_Bei ya kiwanja kimoja ni tsh 4,600,000/= tu Kwa kiwanja Cha makazi na TSH 6,000,000/= Kwa viwanja vya biashara.ukubwa wa viwanja ni kuanzia squaremeter 400 na kuendelea.
Unaanza na malipo ya tsh 1,000,000/= tu na kiasi kinachobakia unalipia taratibu Kwa miezi(12). Hakuna riba.
Malipo yote yanafanyika bank,hatupokei pesa taslim u.
_@mr_kiwanja_updates natoa ushauri Kwa wateja wetu wote kwamba msikubali kununua viwanja kiholela vinavyouzwa Kwa futi na mambo mengine mengi.
_Ukienda site yeyote ukakuta wamepanda matofali yakujengea,vinguzo vifupi vya zege au vipande vya miti fahamu kabisa unapigwa.
_site ukifika unapaswa kuoneshwa viwanja vyenye beacons zenye namba na barabara za pembeni standard iwe sio chini ya mita kumi za ndani na Mita sita mpaka name Kwa barabara za mtaa.
_k**a ukiona haujaoneshwa amendment site plan ujue umepigwa.
Usinunue kiwanja kwenye sketch map. Narudia Tena usinunue kiwanja kwenye sketch map.
_Usikubali kulipa pesa MKONONI au Kwa tigopesa, m-pesa n.k
Lipa kupitia Bank account ya kampuni sio majina ya mtu binafsi.NMEELEWEKA
_Nunua kiwanja kilichopimwa Kwa mita,kimepitia utaratibu wa mipango miji na kuchongwa barabara za mitaa.
_MILIKI KIWANJA NASI,Karibu ofisini kwetu kiluvya madukani au mbezi Kwa msuguri Kisha utapelekwa site unayoitaka kuona na utachagua kiwanja ukipendacho.
_kisha utarudi ofisini Kwa ajili ya kupewa acount namba yenye jina la kampuni Ili kufanya malipo ya kiwanja chako
_UKILIPIA DAI RISIT YA EFD
Kwa maelezo zaidi, wasiliana nami;
_ 0766909738
_Email: [email protected]
Instagram:mr_kiwanja_updates