ViwanjaFasta Page

ViwanjaFasta Page Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from ViwanjaFasta Page, Real Estate Company, Gezaulole, Kigamboni, Dar es Salaam.

We have Got A New Project at Kimbiji POTEAWhich is Equivalent to 1sqm @ 12,500/= Cash PaymentUnaweza pia kulipa Kwa Inst...
18/03/2026

We have Got A New Project at Kimbiji POTEA

Which is Equivalent to 1sqm @ 12,500/=

Cash Payment

Unaweza pia kulipa Kwa Installments

18/03/2026

Kiwanja Sio tu Ardhi bali ni Mwanzo mpya wa Maisha unayotaka kujenga

Ijumaa njema! 🙌Chukua hatua leo – wekeza kwenye kiwanja chako na ujenge kesho bora. 🏡
13/03/2026

Ijumaa njema! 🙌

Chukua hatua leo – wekeza kwenye kiwanja chako na ujenge kesho bora. 🏡

KIMBIJI POTEANew Project 🔷Km 30 kutoka kigamboni Ferry 🔷Km 3 kutoka Main road 🔷Huduma zote za Kijamii zinapatikanaGet re...
10/03/2026

KIMBIJI POTEA

New Project
🔷Km 30 kutoka kigamboni Ferry
🔷Km 3 kutoka Main road
🔷Huduma zote za Kijamii zinapatikana

Get ready for the Price

Wale Wazee wa Viwanja vya Bei Rahisi & Installments get ready for New Project 😃
09/03/2026

Wale Wazee wa Viwanja vya Bei Rahisi & Installments get ready for New Project 😃

Happy Sunday 🙏Nawatakia wateja wangu wote Jumapili njema iliyojaa amani, furaha na baraka tele.Mungu awatangulie katika ...
08/03/2026

Happy Sunday 🙏

Nawatakia wateja wangu wote Jumapili njema iliyojaa amani, furaha na baraka tele.

Mungu awatangulie katika kila mnachofanya na awajalie afya, mafanikio na neema katika maisha yenu.

Asanteni kwa kuendelea kuwa sehemu ya safari yetu.

Mbarikiwe sana.

Kwa nini watu wengi wanadanganywa na viwanja feki?Watu wengi hawadanganywi kwa sababu hawana akili.Wanadanganywa kwa sab...
03/03/2026

Kwa nini watu wengi wanadanganywa na viwanja feki?

Watu wengi hawadanganywi kwa sababu hawana akili.
Wanadanganywa kwa sababu:

• Wanaharakisha kufanya maamuzi
• Wanavutiwa na bei ya kushangaza
• Hawafanyi uhakiki wa nyaraka

Ardhi sio biashara ya kubahatisha.
Ni maamuzi yanayoweza kuathiri maisha yako kwa miaka mingi.

Kabla hujalipa hata advance, jiulize:
👉 Nimehakiki umiliki?
👉 Nimeona nyaraka halali?
👉 Nimefanya due diligence?

K**a huna uhakika, bora kuuliza kwanza kuliko kujuta baadaye.

📩 Andika “UHakiki” tukuelekeze hatua salama.

📍 Viwanja Fasta — Nunua kwa uhakika, sio kwa bahati.

Usisubiri kesho kufanya maamuzi ya leo! 🏡Wekeza kwenye viwanja leo, linda kesho ya familia yako.Miradi ya uhakika, fursa...
02/03/2026

Usisubiri kesho kufanya maamuzi ya leo! 🏡

Wekeza kwenye viwanja leo, linda kesho ya familia yako.
Miradi ya uhakika, fursa za kweli.

EPUKA MAKOSA HAYA KABLA YA KUNUNUA ARDHI.❌ 1. Kununua bila kuhakiki hati miliki(Kutoangalia jina, namba ya kiwanja au uh...
24/02/2026

EPUKA MAKOSA HAYA KABLA YA KUNUNUA ARDHI.

❌ 1. Kununua bila kuhakiki hati miliki

(Kutoangalia jina, namba ya kiwanja au uhalali wake)

❌ 2. Kulipa fedha bila mkataba rasmi

(Advance bila maandishi ni hatari kubwa)

❌ 3. Kutothibitisha umiliki halali

(Kununua kwa mtu asiye mmiliki halisi)

❌ 4. Kupuuza upimaji wa mipaka (Survey)

(Migogoro mingi huanzia hapa)

❌ 5. Kutokufanya due diligence ya kisheria

(Kutoangalia k**a kuna mgogoro au deni juu ya kiwanja)

Kwa Msaada na Ushauri kuhusu Ardhi tuwasiliane
0782 252 121

🏗️ JE, UNAJUA NI MAJENGO GANI YANARUHUSIWA KWENYE KIWANJA CHAKO?⚠️ Sio kila kiwanja kinaruhusu kila aina ya jengo.Katika...
22/02/2026

🏗️ JE, UNAJUA NI MAJENGO GANI YANARUHUSIWA KWENYE KIWANJA CHAKO?

⚠️ Sio kila kiwanja kinaruhusu kila aina ya jengo.

Katika baadhi ya maeneo:
❌ Huruhusiwi kujenga ghorofa nyingi
❌ Biashara hairuhusiwi kwenye eneo la makazi
❌ Viwanda haviruhusiwi karibu na makazi
❌ Urefu wa jengo unaweza kuwa na kikomo
❌ Lazima ufuate mpangilio wa mji (zoning plan)

Viwanja Fasta inakusaidia:
🔍 Kuhakiki matumizi ya ardhi (Land Use)
📑 Kupitia ramani za mipango miji
🏢 Kupata ushauri kabla ya kuanza ujenzi
⚖️ Kufuata sheria za eneo husika

Jenga kwa uhakika, sio kwa kubahatisha.
📞 0782 252 121

Viwanja Fasta – Uwekezaji Sahihi, Bila Migogoro.

21/02/2026

*OUR PROJECTS*

🔷DEGE 01
Km 1.5 kutoka Lami, close to Mbutu road
Sqm 1@ 25,000/=

🔷DEGE 02
Km 1.5 kutoka Lami (Mchikichini)
Sqm 1@ 30,000/=

🔷 Kichangani Center
Km 3.5 kutoka Lami, Close to Cheka road
Sqm 1@ 27,000/=

🔷Amani Gomvu Beach 2
Km 4 kutokana ferry, Near Aya Sophia Hotel
Mita 500 kutoka Beach
Sqm 1@ 40,000/=

🔷Cheka Center
Mita 60 Kutoka Lami
Sqm 1@ 35,000/=

🔷Cheka 02
Km 3 kutoka Lami (Mwanzo Mgumu)
Sqm 1@ 15,000/=

🔷 Kimbiji beach 02
Km 30 kutoka ferry
Mita 500 kutoka Beach
Sqm 1@ 40,000/=

⚠️Miradi yote malipo ni Cash Payment tu.

Address

Gezaulole, Kigamboni
Dar Es Salaam
255

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when ViwanjaFasta Page posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to ViwanjaFasta Page:

Share