02/09/2019
NYUMBA INAUZWA [ BEI YA MASHIKO ]
--------------------------------------------------------------------------------------------------
Nyumba zipo tatu, yaani za familia tatu tofauti
Eneo la CHANIKA- BUYUNI- KIGEZI, ni Plot No 192, Block 14, CHANIKA - BUYUNI, ILALA DISTRICT.
-------------------------------------------------------------------------------------------------
Inaukubwa wa Square Metre 1405. Imezungushiwa ukuta, na ukuta wa mbele una ventilation structures ( matoleo ya hewa ). Ndani ya eneo hili kuna nyumba tatu zilizo katika mitindo tofauti.
-------------------------------------------------------------------------------------------------
Nyumba mbili za pembeni vyumba vyake vyote ni self contain, ya katikati ina vyumba vitatu sio self contain. Kila nyumba ina sitting room, zinatofautiana ukubwa, kuna iliyo kubwa na ina public toilet, kuna nyingine mbili zenye ukubwa tofauti.
-------------------------------------------------------------------------------------------------
Nyumba kubwa ina nafasi kubwa zaidi kwa vyumba na bath tab ya kisasa. Maji na umeme wa TANESCO vyote vipo. Taa za ukutani kwenye ukuta wa fence na kila verandah zipo.Majiko mawili ya kisasa , miti ya matunda mbalimbali k**a machungwa,mapera,maembe, mastafeli, mapapai na mananasi mengi sana.
-------------------------------------------------------------------------------------------------
Gardern ya majani maua na miti ya kivuli ipo. Hii site ipo umbali wa kilometa tatu na nusu toka kwenye barabara kuu inayotoka Pugu kuelekea Chanika. Ni eneo tulivu kwa jinsi lilivyopimwa na majirani waliopo.
-------------------------------------------------------------------------------------------------
PRICE Milion 270 TZS:
WASILIANA NASI SASA.
Whatsapp: +255 756 279 351 | Office : +255 620 409 617
Phone : +255 699 764 783 .