16/01/2023
🔥🔥MILIKI KIWANJA KWA BEI NAFUU. 🔥🔥
Q&R Real Estate Investment tunakuletea miradi ya viwanja na mashamba kwa bei nafuu.
a) Miradi ya viwanja.
🔹🔹Bagamoyo, fukayosi
👉umbali kutoka barabara kuu ni 1.5km , ukubwa 600sqm bei ni Tsh 750,000/=tu
👉Huduma zote za kijamii zinapatikana.
🔹🔹Bagamoyo, mwetemo
👉umbali kutoka barabara kuu ni km 3 ukubwa ni sqm 600 bei yake ni Tsh 400,000/=tu.
🔹🔹Kibaha -Boko mnemela
Umbali kutoka barabara kuu ni km 15 ukubwa 600sqm.
👉viwanja vipo karibu na reli ya kisasa (SGR) pia na mashamba ya Mo Dewj.
👉Huduma za kijamii zinapatikana.
b) mradi wa mashamba Chalinze.
👉👉Mashamba yanapatikana chalinze idara ya Maji km 6kutoka Barabara kuu.
👉👉Ekari Moja ni sh 1,000,000/
Ofa ya miche 100 ya Matunda ukinunua zaidi ya ekari 1
👉mkataba wa mauziano ni siku hiohio na Hati ya kutoka serikali ya mtaa.
Tupo Dar es salaam Manzese Darajani. Faberk House floor no 3
Wasiliana nasi kwa simu no 0752241494 au 0693258731