Land Matters Ventures

Land Matters Ventures Tunatoa huduma za Mipangomiji, Upimaji Viwanja na Mashamba, Kufuatilia Hati, uhamisho wa miliki, Uthamini, Ubunifu Majengo, Kununua na Kuuza Viwanja

0782 839 168
21/04/2026

0782 839 168

15/04/2026

MRADI MPYA WA VIWANJA

πŸ“Œ Kibaha Visiga Madafu

πŸ“ Umbali ni Kilomita 2 kutoka Morogoro Road

πŸ“πŸ“ Ukubwa wa viwanja ni kuanzia sqm 405, 500,600,700

πŸ’°πŸ’° Bei ni 12,000 kwa SQ.M, Viwanja vinaanzia milioni 4 mpaka milioni 9

πŸ“… Malipo ya awali ni milioni 1, malipo mengine yalipwe ndani ya miez 10

πŸ“‹Hati itatolewa baada ya malipo kukamilisha kwa gharama nafuu

*HUDUMA ZA MSINGI*
πŸ’‘Umeme
🚰Maji
πŸ₯ Hospital
πŸ›€οΈ Barabara

KUONA SAITI NI KILA SIKU KUANZIA SAA 2 ASUBUHI MPAKA SAA 11 JIONI

KWA MAELEZO ZAIDI PIGA SIMU 0782 839 168 AU FIKA OFISINI KILUVYA MADUKANI

Epuka migogoro, njoo tukuuzie viwanja vilivyonyooka
14/04/2026

Epuka migogoro, njoo tukuuzie viwanja vilivyonyooka

11/04/2026

*MRADI MKUBWA WA VIWANJA KILUVYA MADUKANI MWANAKONDOO:*

Mawasiliano: 0782 839 168

*Umbali*: Viwanja vipo kilomita 7 kutoka Makutano ya Barabara kuelekea MBEZI -Dar Es Salaam na Kibaha Mjini hadi SITE.

*Ukubwa wa viwanja*: vinaanzia sq.m 400 mpaka sq.m 900

*Upimaji*: viwanja vimepimwa na vina bikoni za halmashauri

*Hati*: ukimaliza kulipa utapatiwa hati kwa gharama nafuu

*Bei*: 16,000 kwa sq.m kwa viwanja vya makazi na 18,000 kwa sq.m makazi na biashara. Viwanja vinaanzia 6,300,000

*Malipo*: anza na 1,000,000 kiasi kinachobaki lipa pole pole ndani ya miezi 10

*Site visit*: kila siku kulingana na ratiba ya mteja.

Kuna Viwanja vizuri.
Hapa tuna Viwanja vya:
1. Makazi ( *Vingi Ujazo wa Kati na Chini)*
2. Makazi-Biashara( *Ujazo wa Juu na Kati)*
FAIDA/UMUHIMU WA KUWEKEZA KILUVYA:
*SIFA ZA ENEO HILI:*
1. *UWEPO WA HUDUMA ZA KIJAMII* : Huduma za Afya(Hospitali), Huduma za Elimu (Shule na Vyuo), Huduma za Maji, Umeme na Barabara inapitika kirahisi.
2. *WINGI WA WATU*;
3. *UMBALI MDOGO NA MBEZI au KIBAHA* Eneo hili lipo Katikati ya MBEZI -Dar Es Salaam na Kibaha Mkoa wa Pwani. Kuna kasi kubwa ya Maendeleo na Kutanuka kwa Jiji Dar Es Salaam litaifikia KILUVYA na kuwa sehemu ya Jiji hilo *Kubwa* Tanzania ambalo linakuwa kwa Kasi.
4. ENEO LIPO JUU-Viwanja vipo kwenye Muinuko na kuwa salama dhidi ya mafuriko ya mara kwa mara. Pia sehemu hii Imepangwa Vizuri.
*MIRADI MINGINE*
KILUVYA MADUKANI KM. 2 BEI 14,000
KILUVYA MADUKANI KM 1.5 BEI 16,000
KILUVYA MADUKANI KM. 4 BEI 28,000 SQ.M
KILUVYA MAKURUNGE CENTER BEI. 18,000 SQ.M
KILUVYA MADUKANI KWA MASISTA BEI 12,000 SQ.M
KIBAHA PANGANI KM 4 BEI 20,000 SQ.M
KIBAHA VISIGA KM. 1.5 BEI 12,500 SQ.M
KIBAHA VISIGA KM 2 BEI 12,000
KIBAHA VISIGA KM 5 BEI 9000

KARIBU SANA

Address

Kiluvya Madukani
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 08:00 - 17:00
Tuesday 08:00 - 17:00
Wednesday 08:00 - 17:00
Thursday 08:00 - 17:00
Friday 08:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 14:00

Telephone

+255712033809

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Land Matters Ventures posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category