11/04/2026
*MRADI MKUBWA WA VIWANJA KILUVYA MADUKANI MWANAKONDOO:*
Mawasiliano: 0782 839 168
*Umbali*: Viwanja vipo kilomita 7 kutoka Makutano ya Barabara kuelekea MBEZI -Dar Es Salaam na Kibaha Mjini hadi SITE.
*Ukubwa wa viwanja*: vinaanzia sq.m 400 mpaka sq.m 900
*Upimaji*: viwanja vimepimwa na vina bikoni za halmashauri
*Hati*: ukimaliza kulipa utapatiwa hati kwa gharama nafuu
*Bei*: 16,000 kwa sq.m kwa viwanja vya makazi na 18,000 kwa sq.m makazi na biashara. Viwanja vinaanzia 6,300,000
*Malipo*: anza na 1,000,000 kiasi kinachobaki lipa pole pole ndani ya miezi 10
*Site visit*: kila siku kulingana na ratiba ya mteja.
Kuna Viwanja vizuri.
Hapa tuna Viwanja vya:
1. Makazi ( *Vingi Ujazo wa Kati na Chini)*
2. Makazi-Biashara( *Ujazo wa Juu na Kati)*
FAIDA/UMUHIMU WA KUWEKEZA KILUVYA:
*SIFA ZA ENEO HILI:*
1. *UWEPO WA HUDUMA ZA KIJAMII* : Huduma za Afya(Hospitali), Huduma za Elimu (Shule na Vyuo), Huduma za Maji, Umeme na Barabara inapitika kirahisi.
2. *WINGI WA WATU*;
3. *UMBALI MDOGO NA MBEZI au KIBAHA* Eneo hili lipo Katikati ya MBEZI -Dar Es Salaam na Kibaha Mkoa wa Pwani. Kuna kasi kubwa ya Maendeleo na Kutanuka kwa Jiji Dar Es Salaam litaifikia KILUVYA na kuwa sehemu ya Jiji hilo *Kubwa* Tanzania ambalo linakuwa kwa Kasi.
4. ENEO LIPO JUU-Viwanja vipo kwenye Muinuko na kuwa salama dhidi ya mafuriko ya mara kwa mara. Pia sehemu hii Imepangwa Vizuri.
*MIRADI MINGINE*
KILUVYA MADUKANI KM. 2 BEI 14,000
KILUVYA MADUKANI KM 1.5 BEI 16,000
KILUVYA MADUKANI KM. 4 BEI 28,000 SQ.M
KILUVYA MAKURUNGE CENTER BEI. 18,000 SQ.M
KILUVYA MADUKANI KWA MASISTA BEI 12,000 SQ.M
KIBAHA PANGANI KM 4 BEI 20,000 SQ.M
KIBAHA VISIGA KM. 1.5 BEI 12,500 SQ.M
KIBAHA VISIGA KM 2 BEI 12,000
KIBAHA VISIGA KM 5 BEI 9000
KARIBU SANA