29/11/2022
🔥🔥Kuelekea msimu huu wa sikukuu Q&R Real Estate Investment tunakuletea mradi wa viwanja kwa bei nafuu Bagamoyo na Mlandizi.
🔥🔥Mradi wa Bagamoyo fukayosi viwanja vimepimwa kwa ukubwa wa 600sqm yaani 20/30m kwa cash na mkopo.
Cash unapata kiwanja kwa sh 650,000/= tu na kwa mkopo ni sh 800,000/= tu .
👆👆Mteja anayenunua kwa cash anapata ofa ya tofali 100 za bure.
👉👉Mradi wa wa mlandizi ni sh 1,200,000/= tu kwa kiwanja chenye ukubwa wa 500sqm.
Umbali kutoka barabara kuu ya Bagamoyo mlandizi - Bagamoyo ni km 1.
👉Mradi upo karibu kabisa na shule ya sekondari Mbwawa KKKT.
👆👆Siku za mnada ni tarehe 10/12/2022 na tarehe 11/12/2022.
🔥👇Hati ni siku hiyohiyo ya manunuzi.
Tunapatikana Manzese Darajani , Faberk House floor No 3.
Wasiliana nas kwa simu nl 0752241494 au 0762625515