Ekaa Property Management

Ekaa Property Management All we do is Selling houses and Property Management . We will Rent your house & manage but also sell.

HOUSE FOR SALE: LOCATION: MBEZI MAKABEKm 5 Kutoka Lami ya Mbezi mwishoSqm: 1000Umiliki:  Hati. Bei: Million 170 maongezi...
19/06/2024

HOUSE FOR SALE:

LOCATION: MBEZI MAKABE

Km 5 Kutoka Lami ya Mbezi mwisho

Sqm: 1000

Umiliki: Hati.

Bei: Million 170 maongezi

Bedroom: 3, 1master..

Sitting room: 1

Kitchen with cabinets ☑️
Big dining room ☑️
Public toilet ☑️
Balcony ☑️
Conditioner ☑️
Parking and garden ☑️
Good neighborhoods ☑️

Family...... sisters, Aunties.Godbless us.Thanks Dad and Mom for raising us well. We love 💕 you.
29/05/2024

Family...... sisters, Aunties.
Godbless us.
Thanks Dad and Mom for raising us well. We love 💕 you.

Real estate's, Real estate's. Learn real estate.
29/01/2024

Real estate's, Real estate's.

Learn real estate.

I've been doing real estate for a bit now, kitu kimoja kikubwa nilicho achieve ni ku connect with different people from ...
26/01/2024

I've been doing real estate for a bit now, kitu kimoja kikubwa nilicho achieve ni ku connect with different people from different countries😙

Na different people Wanaofanya real estate's in Tz.

Malengo yangu MAKUBWA mwaka huu niku advertise unfinished houses na nyumba zinazohitaji renovations zinazouzwa nimefanya research nimegundua hizi nyumba zinauzwa very cheap. Compared na nyumba zilizoisha au hata viwanja.

Sio hivyo tu, a lot of people wanahitaji finances Kwajili ya kununua hizi nyumba strategies ziko nyingi ntakuwa pia nnazisema hapa kwenye hii hii page yangu.

Asanteni na karibuni sana.

Follow meeee...🥳🥳

Kwa akili, ya chap chap em toa comment apo.
12/01/2024

Kwa akili, ya chap chap em toa comment apo.

Enhee kipi bora??
12/01/2024

Enhee kipi bora??






























Umeshawahi kuwaza kufanya biashara ya kupanga bila hata kuwa na nyumba yenyewe, trust me sio lazima uwe nayo unaweza kut...
11/01/2024

Umeshawahi kuwaza kufanya biashara ya kupanga bila hata kuwa na nyumba yenyewe, trust me sio lazima uwe nayo unaweza kutumia hiyo hiyo ya mwenye Nyumba.

K**a unajua mtu anayefanya hii utanielewa.

home



















12 Real Estate Hashtags for Buyers










Only one rental property.....
16/11/2023

Only one rental property.....

23/06/2023
*Viwanja pembezoni mwa barabara vinauzwa salasala, Big brother kwa juu* . -Viwanja vipo mita 100 Tu kutoka lami.- Vinato...
21/06/2023

*Viwanja pembezoni mwa barabara vinauzwa salasala, Big brother kwa juu* .

-Viwanja vipo mita 100 Tu kutoka lami.

- Vinatofautiana bei kutokana na ukubwa wa eneo na mazingira yalivyo.

-Kuna ambavyo sqm 1 = 60,000

- Na vingine sqm 1 = 45,000

Viwanja vipo 10 kiujumla.
Kuna vya kwanzia sqm. 1200, hadi sqm 800.

*Karibuni sana, sana.*

Kwa maelezo zaidi.....nipigie kupitia number (0652 502 988)

Your property will have much value, if you'll consider its amenities, as much as you can.                               ...
06/06/2023

Your property will have much value, if you'll consider its amenities, as much as you can.

UMUHIMU WA MORTGAGE BROKERS NI NINI?1. Saving timeMortage broker atakusaidia kupata kampuni nzuri, bila kupoteza muda wa...
05/05/2023

UMUHIMU WA MORTGAGE BROKERS NI NINI?

1. Saving time
Mortage broker atakusaidia kupata kampuni nzuri, bila kupoteza muda wako mwingi kwenye kufanya research kuhusiana na swala zima la mortgage. Ukiwa mpya kuhusiana na mortgage kwa kweli ni ngumu kuelewa mambo, sometimes ni vizuri kutumia mtu anayejua kuliko kufanya mambo yote mwenyewe.

2. Saving money
Licha ya kuokoa muda, ila pia utaokoa pesa zako, sio kwamba mortgage broker halipwi? Hapana analipwa, ila kumbuka anasaidia katika kufanya recommendations mbalimbali kuhusiana na malipo ya mortgage, ila pia atakusaidia kuepukana na makosa mbalimbali pindi unachukua mortgage.

3. Getting access to more products
Kumbuka mortgage broker anajua makumpuni mbalimbali yanayotaoa mortgage, atakusidia kupata access ya hizi kampuni, na kuchagua bora kwajili yako.

4. Help with paperwork
Atakusaidia katika kujua documents zote zinazotakiwa ili uweze kupata mortgage, sio kuzijua tu ila pia kuzijaza kwa usahihi. Ili ni muhimu sana kwako hasa k**a haupo vizuri katika swala la kujaza documents.

5. Taking care of the process
Kipindi unafwatilia swala la mortgage, ni vizuri ukawa na mtu anayekusaidia kufwatilia, na anayejua process zote unazotakiwa ufwate ili uweze kufanikiwa kupata mortgage kwa wakati

Natumaini mpaka hapa umepata mwanga mkubwa kuhusu mortgage brokers, ntaendelea kupost Zaidi na Zaidi ili uweze kuelewa kuhusu watu watakaokusaidia katika swala zima la mortgage

Sisi pia ni mortgage brokers tutakusaida kwenye mlolongo mzima ili uweze kupata mortgage.

please like, follow au comment kwa mengi zaidi.

Address

Goig. Muungano Road
Dar Es Salaam
0000

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ekaa Property Management posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Ekaa Property Management:

Share