Sai Viwanja na Nyumba

Sai Viwanja na Nyumba Specialist proffessional agent asiye na kupindisha mambo ,uza & Nunua Nyumba au kiwanja

20/07/2026

🏑 NYUMBA INAUZWA – KIGAMBONI, MJI MPYA MAWAKINDO, DAR ES SALAAM 🏑

πŸ”₯ Fursa adhimu ya kumiliki nyumba ya kisasa katika eneo zuri na lenye maendeleo makubwa!

πŸ“ Location: Mji Mpya Mawakindo, Kigamboni – Dar es Salaam

πŸ›οΈ Vyumba 3 vya kulala (vyote Master)
πŸ›‹οΈ Sebule kubwa na ya kisasa
🍽️ Dining
🍳 Jiko la kisasa
🏠 Fremu 1 ya ziada

✨ Sifa za Nyumba:
βœ… Aluminium windows
βœ… Tiles za kisasa
βœ… Gypsum ceiling
βœ… Gate imara
βœ… Electric Fence
βœ… Nyumba mpya kabisa, imekamilika kwa kiwango cha juu

🌟 Ipo kwenye eneo zuri na salama, linafaa kwa kuishi mwenyewe au kwa uwekezaji wa kupangisha.

πŸ’° Bei: TSh Milioni 160 tu
🀝 Mazungumzo yapo kwa mnunuzi makini.

πŸ“ž Wasiliana nasi kwa maelezo zaidi na kupanga kutembelea nyumba.

πŸ’Ό Service Charge: TSh 30,000

πŸ“² Instagram: DALALI_KIGAMBONI_DSM_TZVIWANJA ,KISOTA, KIBADA, GEZA ,

Kigamboni

13/07/2026

🏑 NYUMBA MPYA YA KISASA INAUZWA – KIGAMBONI, KIBADA MWEMBE MTENGU | DAR ES SALAAM

πŸ’° Bei: TZS 175,000,000 (Mazungumzo yapo)

πŸ“ Ipo Kibada Mwembe Mtengu, takribani mita 500 kutoka barabara ya lami. Eneo ni tulivu, salama na linafaa kwa makazi pamoja na uwekezaji.

✨ Sifa za Nyumba:

πŸ›οΈ Vyumba 3 vya kulala
πŸ›‹οΈ Sebule kubwa
🍽️ Dining
πŸ‘¨β€πŸ³ Jiko kubwa la kisasa
πŸ›οΈ Chumba kingine kikubwa kinachoweza kutumika k**a guest room, ofisi au chumba cha nne
πŸ“ Eneo la takribani sqm 600
πŸ“œ Hati Safi ya Wizara ya Ardhi

βœ… Faida za Uwekezaji:

🏠 Inafaa kwa makazi ya familia
🏒 Inafaa kwa biashara au uwekezaji
πŸ’΅ Kwa sasa inapangishwa kwa TZS 500,000 kwa mwezi, na baada ya maboresho madogo inaweza kufikia TZS 800,000 kwa mwezi.

πŸ’° Bei: TZS 175,000,000 (Mazungumzo yapo)

πŸš— Service Charge: TZS 30,000 (Kwa site visit)

πŸ“ž Call/WhatsApp: +255 746 407 197

es salaam realestateapartment kigamboni kibada mwembemtengu nyumbainauzwa fyp viral

12/07/2026

MUNGU ATA KUFANYIA WEPESI MWAKA HUU KABLA HAUJAISHA UTAMILIKI NYUMBA K**A HII SEMA AMINAπŸ”₯

πŸ‘‘ KASRI LA KIFAHARI LINAAUZWA – KIGAMBONI GEZA BEACHSIDE, DAR ES SALAAM

Karibu kwenye moja ya nyumba za kifahari zaidi zilizopo Kigamboni Geza Beachside. Ikiwa unatafuta makazi ya hadhi ya juu au uwekezaji wa thamani, hii ni fursa ya kipekee.

πŸ“ Mahali: Kigamboni Geza Beachside, Dar es Salaam.

Sifa za Kasri:

🏑 Vyumba 5 vya kulala
πŸ›‹οΈ Full Furnished – linauzwa pamoja na samani zote za kisasa
✨ Aluminium tiles za kisasa
🎨 Gypsum ya kuvutia yenye finishing ya hali ya juu
πŸͺ‘ Samani za kifahari na za kisasa
πŸ—οΈ Ujenzi wa kiwango cha juu wenye muonekano wa kisasa

πŸ“ Ukubwa wa eneo: Square Meter 800

Nyumba hii imejengwa kwa ubora wa hali ya juu, ikiwa na nafasi kubwa, mazingira tulivu na hadhi inayokidhi maisha ya kifahari kwa familia au mwekezaji anayethamini ubora.

πŸ’° Bei: TZS 800,000,000
🀝 Mazungumzo yapo kidogo.

πŸ“ž Wasiliana nasi leo kupanga kutembelea nyumba hii ya kipekee.

Service Charge: TZS 30,000

πŸ“² Instagram: DALALI_KIGAMBONI_DSM_TZVIWANJA ,KISOTA, KIBADA, GEZA ,

LuxuryHome

11/07/2026

🏑 NYUMBA KALI INAUZWA – KIGAMBONI, MJI MWEMA KIBUGUMO 🏑

Unatafuta nyumba ya kisasa katika eneo zuri la Kigamboni? Hii ndiyo fursa yako!

βœ… Vyumba 5 vya kulala, vyote Master
βœ… Sebule kubwa
βœ… Dining
βœ… Jiko la kisasa
βœ… Eneo la SQM 600
βœ… Limezungushiwa fence
βœ… Mita 400 tu kutoka barabara ya lami
βœ… Mazingira tulivu yenye huduma zote muhimu

Nyumba imejengwa kwa matumizi ya familia, ni imara, haina changamoto yoyote, na inafaa kwa makazi pamoja na uwekezaji.

πŸ’° Bei: TSh Milioni 72 tu (Mazungumzo yapo)

πŸ“ž Wasiliana nasi leo kupanga kuitembelea.

πŸ’Ό Service Charge: TSh 30,000

πŸ“± Instagram: DALALI_KIGAMBONI_DSM_TZVIWANJA ,KISOTA, KIBADA, GEZA ,

Kigamboni

10/07/2026

🏒 ENEO BORA LA UWEKEZAJI LINAUZWA – KIGAMBONI FERRY, DAR ES SALAAM

Unatafuta eneo lenye fursa kubwa ya uwekezaji? Hili ndilo chaguo sahihi!

βœ… Ukubwa: Ekari 400
βœ… Limepimwa na lina Hati Safi ya Wizara ya Ardhi
βœ… Lipo Kigamboni Ferry, karibu na Soko Kuu la Samaki la Kaulasa
βœ… Miundombinu mizuri na eneo linaendelea kukua kwa kasi.

Linafaa kwa:
🏒 Apartment za kisasa
🏨 Lodge au Hoteli
⚽ Uwanja mkubwa wa michezo
🏬 Miradi mingine ya biashara yenye tija

Ni eneo lenye thamani kubwa na fursa ya kurudisha uwekezaji wako kwa muda mfupi kutokana na maendeleo yanayoendelea katika eneo hilo.

πŸ’° Bei: TSh Milioni 160 tu (Mazungumzo yapo)

πŸ“ž Wasiliana nasi leo kwa maelezo zaidi na kupanga kutembelea eneo.

πŸ’Ό Service Charge: TSh 30,000

πŸ“± Instagram: DALALI_KIGAMBONI_DSM_TZVIWANJA ,KISOTA, KIBADA, GEZA ,

Kigamboni

02/07/2026

🏑 NYUMBA NZURI YA KISASA INAUZWA – KIGAMBONI KISOTA ZARANGA, DAR ES SALAAM πŸ”₯

πŸ’° Bei: TZS Milioni 165 Tu (Mazungumzo yapo kidogo)

✨ Sifa za nyumba:
πŸ›οΈ Vyumba 4 vya kulala
πŸ›‹οΈ Sebule kubwa
🍽️ Dining
🍳 Jiko la kisasa
🚿 Finishing za kisasa (Tiles na Gypsum)
🌳 Garden kubwa
πŸš— Parking ya kutosha
🧱 Fence imara
⚑ Electric Fence kwa usalama wa hali ya juu

πŸ“ Ukubwa wa kiwanja: Square Meter 450
πŸ“„ Kiwanja kimepimwa na kipo Safe & Approved.

πŸ“ Location: Kigamboni – Kisota Zaranga
βœ… Meta 200 tu kutoka barabara ya lami.
βœ… Takribani Kilomita 5 hadi Ferry.
βœ… Takribani Kilomita 4.5 hadi Daraja la Nyerere.
βœ… Eneo linafaa kwa makazi na biashara.

πŸ”₯ Usikose nafasi ya kumiliki nyumba bora kwenye eneo lenye maendeleo makubwa ya Kigamboni.

πŸš— Service Charge: TZS 30,000 (Kwa ajili ya kuoneshwa nyumba)

πŸ“ž Call/WhatsApp: +255 746 407 197

nyumbainauzwa kigamboni dar es salaam viral

01/07/2026

🏑 BEBA MILIONI 3 TU UMILIKI KIWANJA CHAKO KIGAMBONI MWASONGA! πŸ”₯

πŸ“ Location: Kigamboni Mwasonga, Dar es Salaam.

βœ… Viwanja vimebaki 6 tu!
βœ… Eneo zuri na linaendelea kukua kwa kasi.
βœ… Huduma zote za kijamii zimefika (barabara, umeme, maji na shule).
βœ… Inafaa kwa makazi na uwekezaji.

πŸ’° Bei: Milioni 6 tu kwa kiwanja.

πŸ’³ Malipo Rahisi:
βœ”οΈ Anza na Milioni 3.
βœ”οΈ Malizia Milioni 3 zilizobaki ndani ya mwezi 1.

⚠️ Usikose nafasi hii! Viwanja vilivyobaki ni vichache sana.

πŸš— Service Charge: TZS 30,000 (Kwa kuoneshwa eneo).

πŸ“ž Call/WhatsApp: +255 746 407 197

dalalidar Kigamboni Mwasonga Viwanja DarEsSalaam FYP

28/06/2026

🏒 GHOROFA INAUZWA – KIGAMBONI KISOTA, DAR ES SALAAM 🏒

✨ Fursa adimu ya kupata ghorofa la kisasa katika eneo zuri na linalokua kwa kasi!

πŸ“ Location: Kigamboni Kisota, Dar es Salaam
πŸ›£οΈ Linagusa barabara ya lami

Sifa za nyumba:
βœ… Vyumba 4 vya kulala
βœ… Master bedroom
βœ… Sebule kubwa
βœ… Dining
βœ… Jiko la kisasa
βœ… Garden nzuri
βœ… Servant Quarter
βœ… AC tayari zimefungwa
βœ… Gypsum ceiling
βœ… Aluminium windows
βœ… Eneo la ukubwa wa SQM 1,200
βœ… Limepimwa na lina hati salama

πŸ’° Bei: TZS 400,000,000 (Mazungumzo yapo kidogo)

πŸ’΅ Service Charge: TZS 30,000 (Site Visit)

πŸ“ž Call/WhatsApp: +255746407197

dalalidar es salaam fyp kigamboni dar es salaam houseforsale investment viral

27/06/2026

πŸ–οΈ BEACH HOUSE YA KIFAHARI INAUZWA – BAMBA BEACH, KIGAMBONI, DAR ES SALAAM 🌊

✨ Ishi maisha ya kifahari karibu na bahari katika nyumba ya kisasa yenye mazingira tulivu na yenye hadhi.

πŸ“ Location: Bamba Beach, Kigamboni – Dar es Salaam

Sifa za nyumba:
βœ… Ghorofa 1 la kisasa
βœ… Vyumba 5 vya kulala
βœ… Vyumba 4 ni Master
βœ… Sebule kubwa na ya kisasa
βœ… Dining room
βœ… Jiko la kisasa
βœ… Nyumba imekamilika kabisa (Finished House)
βœ… Eneo la takribani SQM 1,200
βœ… Mazingira mazuri kwa makazi ya kifahari au uwekezaji

πŸ’° Bei: TZS 350,000,000 tu (Mazungumzo yapo)

πŸ’΅ Service Charge: TZS 30,000 (Site Visit)

πŸ“ž Call/WhatsApp: +255 746 407 197

es salaam dalalidaressalaam beachhouse kigamboni bambabeach luxuryhome fyp viral

Address

Kigambon Dar Es Salaam
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Sai Viwanja na Nyumba posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share

Category