Sai Viwanja na Nyumba

Sai Viwanja na Nyumba agent specialist, proffessional asiye na kupindisha mambo unahitaji au unauza nyumba au kiwanja

19/06/2026

🏑πŸ”₯ APARTMENT MBILI ZINAUZWA – KIBUGUMO, KIGAMBONI DSM πŸ”₯🏑

βœ… Apartment 2 zenye vyumba 2 vya kulala, sebule, jiko na choo/bafu kila moja
βœ… Zote zina wapangaji tayari
βœ… Kila mpangaji analipa TZS 300,000 kwa mwezi
βœ… Ukifanya marekebisho kidogo unaweza kupandisha kodi hadi TZS 500,000 kwa kila apartment
βœ… Eneo kubwa la Square Meter 600
βœ… Space kubwa imebaki kwa ajili ya kujenga apartment nyingine au nyumba yako binafsi
βœ… Mita 500 tu kutoka barabara ya lami
βœ… Kilomita 8 hadi Ferry
βœ… Kilomita 7 hadi Daraja la Nyerere
βœ… Eneo zuri kwa uwekezaji wa makazi na biashara

πŸ’° Bei: TZS Milioni 75 tu
πŸ“Œ Mazungumzo yapo kidogo sana kwa mnunuzi mwenye nia ya dhati.

πŸ’΅ Service Charge: TZS 30,000

πŸ“ž Call/WhatsApp: +255746407197

dalalidar es salaam uwekezajikigamboni fyp viral apartmentsale πŸ”₯πŸ‘πŸ’°

15/06/2026

🏑 NYUMBA INAUZWA KIGAMBONI – FURSA ADIMU YA UWEKEZAJI! πŸ”₯

πŸ“ Kigamboni, Dar es Salaam

βœ… Vyumba 4 vya kulala
βœ… Eneo kubwa la SQM 1,800
βœ… Limezungushiwa fence yote
βœ… Hati safi ya Wizara
βœ… Mita 50 tu kutoka barabara ya lami
βœ… Kilomita 10 mpaka Ferry
βœ… Kilomita 10 mpaka Daraja la Kigamboni
βœ… Takribani kilomita 1.5 tu mpaka baharini
βœ… Eneo zuri kwa makazi, biashara au uwekezaji wa muda mrefu

πŸ’° Bei: TZS Milioni 200
πŸ“ Mazungumzo yapo kwa mnunuzi mwenye nia ya kweli.

πŸš— Service Charge: TZS 30,000 (kwa ajili ya kutembelea eneo)

πŸ“ž Call/WhatsApp: +255 746 407 197

dalalidaressalaam kigamboni nyumbainauzwa viral fypanzania πŸ”₯🏑

14/06/2026

πŸ–οΈ CLASSIC GOROFA BEACH HOUSE INAUZWA – KIGAMBONI MALAIKA BEACH, DAR ES SALAAM πŸ–οΈ

Nyumba ya kifahari sana inauzwa Kigamboni Malaika Beach. Hii ni nyumba ya kisasa yenye finishing na standards za hali ya juu sana, imekamilika kwa kila idara na ipo kwenye mazingira tulivu, salama na ya kishua.

πŸ“ Nyumba ni ya pili kutoka baharini
πŸ“ Mita 200 tu mpaka Barabara ya Lami
πŸ“ Dakika 4 tu kwa kutembea mpaka barabara ya lami πŸšΆβ€β™‚οΈ
πŸ“ Kilometa 4 tu mpaka Ferry
πŸ“ Kilometa 3.5 tu mpaka Darajani

πŸ“ Eneo lina ukubwa wa SQM 1,400
πŸ“„ Limepimwa na lina Hati Safi ya Wizara

✨ Sifa za nyumba:
βœ… Vyumba 4 vya kulala vyote Master
βœ… Sebule kubwa ya kisasa
βœ… Dining kubwa
βœ… Jiko la kisasa
βœ… Garden nzuri sana
βœ… Parking kubwa
βœ… Paving block za kisasa
βœ… Electric Fence
βœ… Gating Motor
βœ… AC tayari
βœ… Maji na umeme wa uhakika
βœ… Finishing ya kiwango cha juu sana
βœ… Nyumba classic yenye mvuto mkubwa wa kifahari
βœ… Imejengwa kwenye standard bora sana kwa maisha ya kisasa

🏑 Nyumba hii ni nzuri sana kwa:
βœ”οΈ Kuishi familia ya kisasa
βœ”οΈ Investment ya Airbnb au Beach Rental
βœ”οΈ Holiday Home
βœ”οΈ Watu wanaotamani kuishi karibu na mjini lakini mazingira ya utulivu na hadhi ya juu

πŸ’° Bei: Milioni 700 tu
πŸ“Œ Mazungumzo yapo kwa mnunuzi serious

πŸš— Service Charge: TZS 30,000 kwa site visit

πŸ“ž Call/WhatsApp: +255746407197

es salaam dalalidaressalaam malaikabeach kigamboni beachhouse luxuryhome airbnbinvestment be

12/06/2026

🏑 NYUMBA INAUZWA – KIGAMBONI CHEKA, DAR ES SALAAM 🏑

πŸ“ Eneo lipo Kigamboni Dege, nyuma ya Somangila Sekondari
🏠 Nyumba kuu ina vyumba 3 vya kulala
🏘️ Pia kuna nyumba za wapangaji 9 tayari kwa biashara ya kodi
πŸ“ Ukubwa wa eneo ni SQM 800
βœ… Nyumba imekamilika kabisa na tayari kwa kuishi
πŸ’Ό Inafaa kwa makazi na uwekezaji wa biashara kwa pamoja

πŸ’° Bei: Milioni 130 tu β€” maongezi yapo kwa mnunuzi serious πŸ”₯

πŸ“Œ Service Charge: Tsh 30,000
πŸ“ž Call/WhatsApp: +255746407197

es salaam dalalidaressalaam kigamboni nyumbainauzwa dar es salaam realestateinvesting

11/06/2026

🏑 NYUMBA YA KIFAHARI INAUZWA – KIGAMBONI KISOTA, DAR ES SALAAM 🏑

πŸ”₯ BEI IMEPUNGUA KUTOKA MILIONI 550 HADI MILIONI 490 TU! πŸ”₯

πŸ“ Eneo: Kigamboni Kisota, Dar es Salaam
πŸ“ Ukubwa wa eneo: Square Meter 750
πŸ“œ Limepimwa na lina Hati ya Rizala

✨ Sifa za Nyumba:
πŸ›οΈ Vyumba 6 vya kulala
πŸ›‹οΈ Sebule kubwa na ya kisasa
🍽️ Dining room
πŸ‘¨β€πŸ³ Jiko kubwa la kisasa
🏠 Servant Quarter 1
πŸš— Parking kubwa ya magari mengi
🌳 Garden ya kutosha kwa mapumziko na shughuli mbalimbali
🧱 Tiles za kisasa
🎨 Gypsum nzuri ndani ya nyumba
⚑ Umeme wa Three-Phase
πŸ’§ Maji safi yasiyo na chumvi
πŸ›£οΈ Barabara za paving na mazingira bora

πŸ“ Mita 400 tu kutoka barabara ya lami
πŸŒ‰ Kilomita 3 hadi Daraja la Nyerere
⛴️ Kilomita 4 hadi Kivuko cha Ferry

βœ… Mtaa wa hadhi ya juu unaokua kwa kasi
βœ… Ulinzi wa kutosha muda wote
βœ… Inafaa kuishi au kuwekeza kwa ajili ya upangishaji

πŸ’° Bei: TZS 490,000,000 Tu (Mazungumzo yapo kidogo)

🚘 Service Charge: TZS 30,000 kwa site visit

πŸ“ž Call/WhatsApp: +255746407197

es salaam dalalidaressalaam KigamboniHomes LuxuryHouseForSale DarEsSalaamRealEstate viral2026 🏑πŸ”₯

10/06/2026

🏑πŸ”₯ NYUMBA INAUZWA KIGAMBONI – KIBADA BLOCK 21 πŸ”₯🏑

πŸ“ Eneo la Kishua Sana, Kibada Block 21, Kigamboni – Dar es Salaam

βœ… Nyumba ipo nyumba 4 tu kutoka barabara ya lami
βœ… Mita 200 tu mpaka barabara kuu ya lami
βœ… Eneo limeendelea sana na lina mazingira mazuri ya kuishi
βœ… Ukubwa wa kiwanja: Square Meter 700
βœ… Kimepimwa na kina Hati Safi ya Wizara ya Ardhi

🏠 Nyumba ina:
βœ”οΈ Vyumba 4 vya kulala
βœ”οΈ Sebule kubwa
βœ”οΈ Dining
βœ”οΈ Jiko la kisasa

πŸ”¨ Ujenzi umefikia takribani asilimia 70 ya ukamilishaji
πŸ”¨ Imebaki finishing ndogo tu
πŸ”¨ Muundo wa kisasa na wa kuvutia sana

πŸ’° Bei: TZS Milioni 180 Tu (Mazungumzo Yapoo)

⚠️ Service Charge: TZS 30,000 kwa site visit

πŸ“ž Call/WhatsApp: +255746407197

dalalidaressalaam kigamboni kibada houseforsale propertyinvestment realestatetanzania v

09/06/2026

Address

Kigambon Dar Es Salaam
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Sai Viwanja na Nyumba posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category