Hussein Fursa credit service

Hussein Fursa credit service Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Hussein Fursa credit service, Real Estate Company, Kinondoni Biafra, Dar es Salaam.

FURSA CREDIT SERVICESIMEKULETEA MRADI MIKUBWA MITATU!!!🔥🔥📍 Kigamboni Buyuni – Mahenge✨ *Maelezo ya Miradi:* ✅Viwanja  Vi...
07/02/2026

FURSA CREDIT SERVICES
IMEKULETEA MRADI MIKUBWA MITATU!!!🔥🔥

📍 Kigamboni Buyuni – Mahenge

✨ *Maelezo ya Miradi:*
✅Viwanja Vimepimwa na Approved rasmi
✅ Mahali pazuri kwa makazi na uwekezaji
✅Umeme Mpaka Site.

💰 Mradi wa KWANZA
Bei kwa SQM 1:*
📍Cash: Tsh 10,000
📍Installment: Tsh 12,000
📍Flat Rate: Tsh 14,000

💰 Mradi wa PILI
Bei kwa SQM 1:*
📍Cash: Tsh 13,000
📍Installment: Tsh 15,000
📍Flat Rate: Tsh 17,000

💰 Mradi wa TATU
Bei kwa SQM 1:*
📍Cash: Tsh 13,000
📍Installment: Tsh 15,000

📌 *🎁 HATI BURE kabisa!*

*UJAJA NI KUWAHI 🔥🔥*
✅KIMECHUKULIWA.
🟢KIKO WAZI.

*Mawasiliano*
☎️0652506381
📍Ofisi zipo Mwanamboka Plaza, floor no.2

🟧 TIGER PROJECT – BUYUNI, KIGAMBONIViwanja vya Makazi Vilivyopimwa | Tayari kwa HatimilikiEneo Bora kwa Makazi na Uwekez...
24/01/2026

🟧 TIGER PROJECT – BUYUNI, KIGAMBONI

Viwanja vya Makazi Vilivyopimwa | Tayari kwa Hatimiliki

Eneo Bora kwa Makazi na Uwekezaji wa Kesho Tiger Project ipo Buyuni – Kigamboni, km 48 kutoka ferry, mita 300 tu kutoka barabara kuu ya lami. Eneo linakua kwa kasi na lina mazingira tulivu, salama na ya kisasa.
👉 Piga simu leo upate ramani na maelezo kamili.

Viwanja Vilivyopimwa, Hakuna Usumbufu wa Kisheria Viwanja vyote vimepimwa rasmi, viko tayari kwa Hatimiliki (Title Deed). Unanunua kwa uhakika, unajenga kwa amani ya moyo.
👉 Wasiliana nasi WhatsApp uthibitishiwe hati na vipimo.

Ukubwa Nafuu Unaokupa Uhuru wa Kujenga Viwanja kuanzia Sqm 382 kwenda juu , vinakupa nafasi ya kujenga nyumba ya kisasa, bustani na maegesho.
👉 Tembelea eneo ujionee nafasi halisi kabla ya kuamua.

Miundombinu Tayari – Huhitaji Kusubiri Miaka Umeme upo jirani, shule na vituo vya afya vipo karibu. Barabara ya lami inafika eneo la mradi – tayari kwa makazi ya familia.
👉 Piga simu leo uanze safari ya kumiliki kiwanja chako.

Bei Nafuu Sana kwa Eneo Linalokua Haraka Bei kuanzia TSH 13,000 kwa Sqm 1 – fursa adimu kwa Kigamboni ya leo na thamani kubwa ya kesho.
👉 Wasiliana nasi WhatsApp upate hesabu ya kiwanja unachotaka.

Mipango Rahisi ya Malipo – Hakuna Kikwazo cha Kuanza
Lipa kwa
👉Cash,
👉au anza na 20% Down Payment,
👉au tumia Flat Rate kulingana na uwezo wako.

Chukua Hatua Leo
📞 PIGA SIMU / WHATSAPP
📍 TEMBELEA

A ENEO LEO
📍TUTEMBELEE OFISINI KWETU LEO: Mwanamboka Plaza,Ghorofa ya 2 Ofisi ya nne Kulia, Kwa maelezo Zaidi.

Usikose nafasi – Eneo Linakua Kwa Kasi!

20/01/2026
📍 COMING SOON – BUYUNI, KIGAMBONITunawaletea mradi mpya wa viwanja vya makazi vilivyopimwa katika Wilaya ya Kigamboni – ...
20/01/2026

📍 COMING SOON – BUYUNI, KIGAMBONI

Tunawaletea mradi mpya wa viwanja vya makazi vilivyopimwa katika Wilaya ya Kigamboni – Buyuni, eneo linalokua kwa kasi na lenye miundombinu ya kijamii tayari.

✅ Barabara zipo
✅ Umeme upo
✅ Viwanja vimepimwa na viko tayari kwa umiliki

Mradi huu utaingia sokoni hivi karibuni, hivyo hii ni fursa sahihi kwa wewe anayepanga kuwekeza au kujenga makazi yako ya ndoto.

📞 Wasiliana nasi mapema
📌 Book kiwanja chako kabla havijaisha (0652506381)

Usisubiri soko lifunguke — chukua hatua sasa, kuwa mbele ya wengine.

Wateja wetu waliomiliki ardhi na fursa credit services, wengine ndio hao wameshaanza kujenga chumba za ndoto zao.Nawe am...
29/11/2025

Wateja wetu waliomiliki ardhi na fursa credit services, wengine ndio hao wameshaanza kujenga chumba za ndoto zao.

Nawe ambae bado ujamiliki ardhi nasi ujachelewa wai sasa.

Kwani tupo na miradi buyuni kigamboni na bei zetu ni rahisi kabisa.

Kwani utajipatia kwa sqm1 cash kwa 10k
Na mkopo utapata kwa 12k.

Wasiliana nasi kwa #0652506381 .

Bila kusahau utapata na hati ya wizara pia.

20/11/2025
Hello wateja wetu wa fursa Credits Services.Mradi wetu mpya kabisa bado upo na viwanja vya kutosha. Mradi upo Buyuni mta...
20/11/2025

Hello wateja wetu wa fursa Credits Services.

Mradi wetu mpya kabisa bado upo na viwanja vya kutosha. Mradi upo Buyuni mtaa wa Mahenge.

Sqm 1 kwa cash ni 10,000
Na kwa malipo ya installments sqm 1 ni 12 apa utaanza na asilimia 20 na kiasi kitakachobaki utalipa ndani ya miezi 17.

Karibu sana wateja wetu.

Wasiliana kwa 0652506381.

Buyuni  mahenge pemba mnazi.Sqm 1 cash ni 10,000Mkopo ni  12,000
13/11/2025

Buyuni mahenge pemba mnazi.

Sqm 1 cash ni 10,000
Mkopo ni 12,000

Sqm 1 cash 10,000Mkopo  15,000 Miliki ardhi na fursa Credits Services.
13/11/2025

Sqm 1 cash 10,000
Mkopo 15,000
Miliki ardhi na fursa Credits Services.

Kigamboni buyuni mahenge.Sqm moja cash 13,000Mkopo 15,000 unaanza  na asilimia 20 kiasi kitakachobaki utalipa kidokidogo...
03/10/2025

Kigamboni buyuni mahenge.

Sqm moja cash 13,000
Mkopo 15,000 unaanza na asilimia 20 kiasi kitakachobaki utalipa kidokidogo kwa muda wa miezi 17.

Address

Kinondoni Biafra
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Hussein Fursa credit service posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share