Mwanasheria company ltd

Mwanasheria company ltd Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Mwanasheria company ltd, Real Estate, Sinza, Dar es Salaam.

MwanasheriaPropertiesCompanylimited, we are the trusted company ni Tanzani, we provide best services on selling, plots, farms, all over Tanzania and head office allocated at Posta mpya Dar es-Salaam

14/04/2026

UMUHIMU WA KUINGIZA MAJINA YA MUME NA MKE KWENYE HATI

1. Kuepuka migogoro kwamba mmoja hawezi kuuza mali bila idhini ya mwenza wake.
2. Mwana ndoa mmoja hawezi kuweka mali rehani kwa kukopa pesa kwenye taasisi yeyote bila ruhusa ya mwingine.
3. Mmoja wapo hawezi kuridhisha mali bila ruhusu au consent ya mwingine.
4. Ikiwa mwanaume Ana ndoa zaidi ya moja basi hii itamsaidia mwanamke ambaye wamekubaliana kuandika majina kwenye hati na hata ikitokea mwanaume amefariki basi wale wake zake wengine mali hiyo haitawahusu kwa namna moja au nyingine.
5. Katika hiyo joint tenancy mkitaka kuachana basi hapo mtagawana sawa kwa sawa tofauti na lingekuwepo jina la mume ni kwamba mke Angepata asilimia flani tuu lkn sio nusu kwa nusu.
6. Umiliki wa Aina hii unatoa nafasi ya kila mmoja kuwa na nakala yake ya hati k**a ilivyo kwenye vyeti vya ndoa ni kwamba kila mmoja atakuwa nacho chake

0787301075

11/04/2026
09/04/2026

Kuacha wosia ni kitendo muhimu cha kisheria ambacho mtu hufanya akiwa hai kuelezea jinsi mali zake zitakavyogawanywa baada ya kufariki dunia. Kutokuacha wosia (kufa bila wosia) huleta madhara mengi ya kisheria, kijamii, na kiuchumi kwa familia na warithi.

Hapa chini ni madhara ya kutokuacha wosia:

1. Migogoro ya Familia: Kukosekana kwa wosia huongeza uwezekano wa migogoro kati ya warithi, ndugu, na wanafamilia kuhusu nani anapaswa kurithi nini.

2. Mali Kugawanywa Kinyume na Matakwa ya Marehemu: Mali za marehemu hugawanywa kwa mujibu wa sheria za mirathi (sheria za nchi, desturi, au sheria za dini) badala ya matakwa ya mtu binafsi, ambayo inaweza kusababisha watu wasiokusudiwa kupata mali.

3. Usumbufu na Gharama za Mahak**a: Familia hulazimika kupitia mchakato mrefu na wa gharama kubwa wa mahak**a ili kupata msimamizi wa mirathi (Barua ya Usimamizi wa Mirathi).

4. Kuchelewa kwa Warithi Kupata Mali: Kwa kuwa taratibu za mahak**a huchukua muda, warithi wanaweza kuchukua muda mrefu kupata haki zao, jambo linaloweza kuwaletea ugumu wa maisha.

5. Usimamizi wa Watoto Wadogo na Mali: Mtu anapokufa bila wosia, mahak**a huteua msimamizi wa watoto na mali zao, jambo ambalo linaweza kusababisha watoto kuwekwa chini ya uangalizi wa mtu asiyependwa na marehemu.

6. Kufungwa kwa Biashara: Biashara za marehemu zinaweza kusimama au kufa kwa sababu ya kukosekana kwa maelekezo ya nani anapaswa kuziendesha.

7. Mali Kuharibika au Kupotea: Kutokuwa na msimamizi wa haraka na aliyeidhinishwa kisheria kunaweza kusababisha mali za marehemu kudhulumiwa au kuharibika.

Umuhimu wa Wosia:
Wosia unapaswa kuandikwa na mtu mwenye akili timamu na unapaswa kueleza wazi warithi na mgawanyo wa mali. Wosia unaweza kuwa wa maandishi au mdomo (kwa vigezo

09/04/2026

Kuacha wosia ni kitendo muhimu cha kisheria ambacho mtu hufanya akiwa hai kuelezea jinsi mali zake zitakavyogawanywa baada ya kufariki dunia. Kutokuacha wosia (kufa bila wosia) huleta madhara mengi ya kisheria, kijamii, na kiuchumi kwa familia na warithi.

Hapa chini ni madhara ya kutokuacha wosia:

1. Migogoro ya Familia: Kukosekana kwa wosia huongeza uwezekano wa migogoro kati ya warithi, ndugu, na wanafamilia kuhusu nani anapaswa kurithi nini.
2. Mali Kugawanywa Kinyume na Matakwa ya Marehemu: Mali za marehemu hugawanywa kwa mujibu wa sheria za mirathi (sheria za nchi, desturi, au sheria za dini) badala ya matakwa ya mtu binafsi, ambayo inaweza kusababisha watu wasiokusudiwa kupata mali.
3. Usumbufu na Gharama za Mahak**a: Familia hulazimika kupitia mchakato mrefu na wa gharama kubwa wa mahak**a ili kupata msimamizi wa mirathi (Barua ya Usimamizi wa Mirathi).
4. Kuchelewa kwa Warithi Kupata Mali: Kwa kuwa taratibu za mahak**a huchukua muda, warithi wanaweza kuchukua muda mrefu kupata haki zao, jambo linaloweza kuwaletea ugumu wa maisha.
5. Usimamizi wa Watoto Wadogo na Mali: Mtu anapokufa bila wosia, mahak**a huteua msimamizi wa watoto na mali zao, jambo ambalo linaweza kusababisha watoto kuwekwa chini ya uangalizi wa mtu asiyependwa na marehemu.
6. Kufungwa kwa Biashara: Biashara za marehemu zinaweza kusimama au kufa kwa sababu ya kukosekana kwa maelekezo ya nani anapaswa kuziendesha.
7. Mali Kuharibika au Kupotea: Kutokuwa na msimamizi wa haraka na aliyeidhinishwa kisheria kunaweza kusababisha mali za marehemu kudhulumiwa au kuharibika.

Umuhimu wa Wosia:
Wosia unapaswa kuandikwa na mtu mwenye akili timamu na unapaswa kueleza wazi warithi na mgawanyo wa mali. Wosia unaweza kuwa wa maandishi au mdomo (kwa vigezo maalum

01/04/2026

💥FURSA KWA WENYE NDOTO ZA KUMILIKI VIWANDA 💥INDUSTRIAL PLOTS

💥KIGAMBONI KISARAWE II NEAR KIBADA DAR_ES_SALAAM ● Area 4.7 Acres
● 1 kilometa from main Road Kibada- Mwasonga
● Price is Tshs 70,000 per square meter

💥KIGAMBONI MWASONGA NEAR DAR_ES_SALAAM ZOO
● Area 42 Acres
● 1.5 kilometa from Main Road Kibada- Mwasonga
● Price Tshs 12,000 per square meter

💥RUVU DARAJANI PWANI
● Area 40 Acres
● 300 meters from Main Road Dar es-Salaam= Morogoro
● Price 22,000 per square meter

💥KIPANG'ANDA MKURANGA PWANI
● Area 25 Acres ● 2 kilometa from Kilwa Main Road
● Price Tshs 12,000 per square meter

MAWASILIANO
+255787301075
+255759452562
Email [email protected]

Address

Sinza
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 08:00 - 15:00
Tuesday 08:00 - 15:00
Wednesday 08:00 - 15:00
Thursday 08:00 - 15:00
Friday 08:00 - 15:00
Saturday 09:00 - 17:00

Telephone

+255787301075

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mwanasheria company ltd posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Mwanasheria company ltd:

Share

Category