IPLAN Company Limited

IPLAN Company Limited Urban Planning Firm

Happy Farmers Day from
08/08/2024

Happy Farmers Day from

29/05/2024

1. Unahitaji tupange na kupima eneo lako kisha upate hatimiliki ya Ardhi ya miaka 66 au 99.

2. Umenunua kiwanja tayari kina hati unahitaji kuhamisha umiliki (Transfer)

3. Una eneo limeshapimwa unahitaji hatimiliki ya Ardhi.

4. Unahitaji ushauri wa jambo lolote linalohisi sekta ya Ardhi.

Ofisi zetu ziko Goba, Dar es Salaama.

Wasiliana nasi 0716418657 au 0629600673.

29/04/2024

Tukikabidhi hatimiliki za Ardhi za miaka 99. Tulisimamia zoezi la kuandaa michoro ya Mipango Miji na Upimaji, kisha tukasimamia mchakato wa hatimiliki.

📞 0629600673 au 0716418657.

Urban Planning Firm

Zoezi la Upimaji Ardhi likiendelea. 📞 0716418657 au 0629600673.
29/04/2024

Zoezi la Upimaji Ardhi likiendelea.

📞 0716418657 au 0629600673.

Kazi za Uwandani katika utekelezaji wa Miradi.📞 0629600673.
07/03/2024

Kazi za Uwandani katika utekelezaji wa Miradi.

📞 0629600673.

Our Services.📞 0716418657 or 0629600673.
15/02/2024

Our Services.

📞 0716418657 or 0629600673.

Leo  tumekabidhi hatimiliki za Ardhi za miaka 99 kwa wateja wetu kutokea Mitaa ya; Kilimahewa - Salasala, Vikunai - Toan...
02/02/2024

Leo tumekabidhi hatimiliki za Ardhi za miaka 99 kwa wateja wetu kutokea Mitaa ya; Kilimahewa - Salasala, Vikunai - Toangoma, Tabata Kisiwani - Tabata.📞0629600673.

📍Makurunge, Kiluvya - Pwani. Mradi wa Viwanja vilivyopangwa na kupimwa, vinaingia sokoni sokoni wiki hii. Epuka kukaa ma...
23/01/2024

📍Makurunge, Kiluvya - Pwani.

Mradi wa Viwanja vilivyopangwa na kupimwa, vinaingia sokoni sokoni wiki hii. Epuka kukaa makazo holela na sehemu zinazojaa maji. 6km kutoka Morogoro Road.

Mradi una huduma zote za Kijamii; Maji, umeme, shule, vituo vya Afya na barabara za mradi zote zimechongwa, majirani wapo.

Ukikamilisha malipo, tunakukabidhi hatimiliki ya kiwanja chako ya miaka 99. Viwanja ni vya gharama nafuu na utalipa kwa awamu au kwa mkupuo. Kaa Tayari. 📞 0629600673.

Leo  tumekabidhi hatimiliki kwa wateja wetu kutokea Wilaya ya Ilala. Tuliandaa Michoro ya Mipango Miji na tukafanya Upim...
11/01/2024

Leo tumekabidhi hatimiliki kwa wateja wetu kutokea Wilaya ya Ilala.

Tuliandaa Michoro ya Mipango Miji na tukafanya Upimaji wa Ardhi zao.

Kisha tukasimamia mchato wa hatimiliki.

Zoezo limefanyika kwa gharama nafuu na ndani ya muda mfupi.

Karibu tukuhudumie 📞 0629600673.

Wateja wetu wakijaza fomu za maombi ya Hatimiliki. 📞 0629600673.
24/12/2023

Wateja wetu wakijaza fomu za maombi ya Hatimiliki.

📞 0629600673.

Tukiendelea kutoa huduma kwa wateja wetu wa Tabata Segerea.Karibu tukuhudumie 📞 0629600673.
23/12/2023

Tukiendelea kutoa huduma kwa wateja wetu wa Tabata Segerea.

Karibu tukuhudumie 📞 0629600673.

Mteja wetu kutokea Mtaa wa Zingiziwa, Kata ya Zingiziwa - Wilaya ya Ilala amechukua hatimiliki ya eneo lake leo hii. Tum...
15/12/2023

Mteja wetu kutokea Mtaa wa Zingiziwa, Kata ya Zingiziwa - Wilaya ya Ilala amechukua hatimiliki ya eneo lake leo hii.

Tumeandaa Mchoro wa Mipango Miji na tukafanya Upimaji wa eneo lake, kisha tukasimamia mchakato wa Hatimiliki

Ametuamini tukafanya kazi kwenye maeneo yake 2, moja liko Zingiziwa, lingine liko Tabata, hati 1 tayari, bado 1. Karibu tukuhudumie 📞0629600673.

Address

Goba
Dar Es Salaam
16112

Opening Hours

Monday 08:00 - 17:00
Tuesday 08:00 - 17:00
Wednesday 08:00 - 17:00
Thursday 08:00 - 17:00
Friday 08:00 - 17:00
Saturday 08:00 - 14:00

Telephone

+255629600673

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when IPLAN Company Limited posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to IPLAN Company Limited:

Share