Property International LTD

Property International LTD Property International Ltd is a full service town master planning, land and property development

Property International Ltd has built its reputation on large scale land development projects in Tanzania with the ability to work harmoniously with the diverse stakeholders including the government institutions. PIL is not confined to the traditional real estate activities such as buying and selling of properties but does innovate new products in the real estate sector in Tanzania from time to tim

e. Recent innovation include the premier Southern Park Industrial Zone, Dar Es Salaam Automobile Zone, urban farms among others. The company professionals are task oriented in terms of new prospects of land acquisition, negotiations, preliminary technical assessments, detailed town planning, surveying and eventually organizing for marketing and actual selling. We value our clients and offer well-coordinated site visits and a strong linkage with financial institutions for our clients. Our after sales services for property transactions and ownership transfer are well thought client-cantered business processes pegged on judicious sound real estate principles. We welcome the opportunity to serve you.....

www.youtube.com/watch?v=1b_IaEIYffU
www.facebook.com/PropertyInternationalLtd
www.instagram.com/propertyinternational/?hl=en
195989858@N02/" rel="ugc" target="_blank">www.flickr.com/photos/195989858@N02/

23/07/2026

Ni heshima kubwa kwa Property International Ltd kupata fursa ya kumkabidhi Mheshimiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, taarifa ya tuzo tatu tulizotunukiwa katika Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Saba Saba) 2026.

Katika mazungumzo hayo, tulipata pia maelekezo na ushauri wenye thamani kuhusu kuendelea kuimarisha sekta ya uwekezaji wa ardhi na makazi kwa kuzingatia ubora, uadilifu na maendeleo endelevu.

Property International inaendelea kujikita katika kuendeleza miradi inayolinda na kuhifadhi mazingira kupitia upangaji bora wa matumizi ya ardhi, utunzaji wa maeneo ya kijani, upandaji wa miti, na kuhakikisha maendeleo tunayoyaleta yanakwenda sambamba na uhifadhi wa mazingira kwa manufaa ya vizazi vya sasa na vijavyo.

Tunamshukuru Mheshimiwa Rais kwa muda wake, maelekezo yake na kututia moyo kuendelea kujenga Tanzania yenye maendeleo jumuishi na endelevu.

RealEstate InvestInTanzania

Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, alipotembelea banda la PROPERTY INTERNATIONAL LTD na kukutana na CEO wa Prope...
15/07/2026

Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, alipotembelea banda la PROPERTY INTERNATIONAL LTD na kukutana na CEO wa Property International Ltd, Ndugu Abdulhaleem Zahran, katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam — Sabasaba 2026.

Ziara hii ni heshima kubwa kwa kampuni yetu na inaonesha umuhimu wa sekta ya ardhi na uwekezaji katika kuchochea maendeleo ya kiuchumi.

Hii ni kubwa kuliko!

Mkurugenzi wa Property International Ltd, Bw. Masoud Khalfan, akipokea Tuzo ya “Outstanding Local DITF Participants Awar...
12/07/2026

Mkurugenzi wa Property International Ltd, Bw. Masoud Khalfan, akipokea Tuzo ya “Outstanding Local DITF Participants Award” kutoka kwa Waziri wa Viwanda na Biashara wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Judith Salvio Kapinga, katika hafla maalum ya Jubilei ya Miaka 50 ya Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (DITF Golden Jubilee), iliyofanyika Mlimani City tarehe 6 Julai 2026.

Tuzo hii ilitolewa kwa kutambua mchango wa kipekee wa Property International Ltd k**a mmoja wa washiriki bora wa ndani wa DITF, kutokana na ushiriki wake endelevu katika kuhamasisha uwekezaji, kukuza sekta ya ardhi na makazi, pamoja na kuchangia maendeleo ya biashara na uchumi wa Tanzania. Tuzo hii inaonesha dhamira ya kampuni katika ubunifu, utoaji wa huduma zenye viwango vya juu na mchango wake katika maendeleo ya taifa..

PROPERTY INTERNATIONAL LTD YATUNUKIWA TUZO YA UTUNZAJI WA MAZINGIRAMkurugenzi wa Property International Ltd, Bw. Hashim ...
12/07/2026

PROPERTY INTERNATIONAL LTD YATUNUKIWA TUZO YA UTUNZAJI WA MAZINGIRA

Mkurugenzi wa Property International Ltd, Bw. Hashim Thabit, akipokea Tuzo ya Utunzaji wa Mazingira kwa niaba ya kampuni kutoka kwa Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Dkt. Richard Stanslaus Muyungi, wakati wa maadhimisho ya Miaka 40 ya Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) NemcTanzania yaliyofanyika sambamba na Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (DITF). Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania

Tuzo hiyo ni utambuzi wa mchango wa Property International Ltd katika kuhamasisha na kutekeleza shughuli zinazozingatia utunzaji wa mazingira na maendeleo endelevu. Kampuni inaamini kuwa maendeleo ya sekta ya ardhi na uwekezaji yanapaswa kwenda sambamba na uhifadhi wa mazingira ili kulinda rasilimali za taifa na kuhakikisha mazingira bora kwa vizazi vya sasa na vijavyo.

Kauli mbiu:

“Kulinda Mazingira ni Kulinda Maisha na Kujenga Maendeleo Endelevu.”

Katika kuendelea kuwakilisha Maonesho ya 50 ya Biashara na Viwanda — Sabasaba 2026, leo ikiwa ni Siku ya Mazingira, PROP...
11/07/2026

Katika kuendelea kuwakilisha Maonesho ya 50 ya Biashara na Viwanda — Sabasaba 2026, leo ikiwa ni Siku ya Mazingira, PROPERTY INTERNATIONAL LTD tunaendelea kusisitiza umuhimu wa utunzaji wa mazingira katika miradi ya ardhi na maendeleo endelevu.

K**a mdau mkubwa wa mazingira, tumepata heshima ya kutembelewa na Dkt. Richard Stanslaus Muyungi, Katibu Mkuu, Ofisi ya Makamu wa Rais, ambaye ofisi yake inasimamia masuala ya Muungano na Mazingira nchini Tanzania.

Tunaamini maendeleo bora yanaenda sambamba na uhifadhi wa mazingira.
Hii ni kubwa kuliko!

Bado tupo Sabasaba!Mkurugenzi Mtendaji wa PROPERTY INTERNATIONAL LTD (PIL) akitoa maelezo kwa Balozi wa Uturuki nchini T...
08/07/2026

Bado tupo Sabasaba!

Mkurugenzi Mtendaji wa PROPERTY INTERNATIONAL LTD (PIL) akitoa maelezo kwa Balozi wa Uturuki nchini Tanzania, Mhe. Dr. Mehmet Güllüoğlu, alipotembelea banda la PIL katika Maonesho ya Sabasaba 2026.

Ziara hii ni heshima kubwa kwetu na inaonesha nafasi ya ushirikiano katika kukuza fursa za uwekezaji wa ardhi, miradi ya viwanda, na maendeleo ya sekta ya real estate nchini Tanzania.

Hii ni kubwa kuliko!

Mkurugenzi Mtendaji wa PROPERTY INTERNATIONAL LTD (PIL) akimkaribisha Balozi wa PIL, Ndugu Mrisho Mpoto,   alipotembelea...
08/07/2026

Mkurugenzi Mtendaji wa PROPERTY INTERNATIONAL LTD (PIL) akimkaribisha Balozi wa PIL, Ndugu Mrisho Mpoto, alipotembelea banda la kampuni katika Maonesho ya Sabasaba 2026.

Ziara hii ilikuwa fursa ya kuonesha miradi yetu, huduma zetu, pamoja na kuimarisha ushirikiano wetu katika kuendelea kuwafikia Watanzania wengi zaidi kupitia sekta ya ardhi na uwekezaji.

Hii ni kubwa kuliko!

Mkurugenzi wa PROPERTY INTERNATIONAL LTD akimkaribisha Chief Executive Officer wa Yas Tanzania, Bw. Pierre Canton-Bacara...
07/07/2026

Mkurugenzi wa PROPERTY INTERNATIONAL LTD akimkaribisha Chief Executive Officer wa Yas Tanzania, Bw. Pierre Canton-Bacara, alipotembelea banda letu katika viwanja vya Sabasaba 2026.

Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Ardhi, ametembelea banda la PROPERTY INTERNATIONAL LTD katika viwanja vya Sabasaba, kujione...
07/07/2026

Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Ardhi, ametembelea banda la PROPERTY INTERNATIONAL LTD katika viwanja vya Sabasaba, kujionea na kupata maelezo kuhusu huduma zetu, miradi yetu, pamoja na namna tunavyowawezesha wateja kumiliki viwanja kwa uhakika.

Tunashukuru kwa kututembelea na kwa ushirikiano endelevu katika sekta ya ardhi.

Hii ni kubwa kuliko!

06/07/2026

PROPERTY INTERNATIONAL LTD imekabidhi tunzo kwa wadau wetu Wizara ya Ardhi, k**a ishara ya kuthamini ushirikiano wao mkubwa katika kuhakikisha wateja wanapata hati miliki za viwanja kwa ufanisi na kwa kufuata taratibu sahihi.

Tunatambua mchango wa Wizara ya Ardhi k**a mamlaka muhimu katika kusimamia umiliki wa ardhi, utoaji wa hati, na kuwezesha usalama wa uwekezaji wa wateja wetu.

Kwa pamoja tunaendelea kufanya ndoto ya kumiliki ardhi kuwa uhalisia.

Hii ni kubwa kuliko!

Address

Maryam Towers 8th Floor Shaurimoyo Street
Dar Es Salaam
255

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 13:00

Telephone

+255717000003

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Property International LTD posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share

Category