Pangisha Company

Pangisha Company Mfumo wa Kidijitali wa PANGISHA unarahisisha usimamizi wa wapangaji, mikataba, na malipo ya kodi za pango.
📞 0612737172 ✉️ 0657999441

Jiulize sasa hivi, bila kufungua daftari: pesa yako ipo wapi?☐ Benki☐ Kwa mpangaji☐ Bado haijalipwa☐ SijuiK**a umechagua...
11/08/2026

Jiulize sasa hivi, bila kufungua daftari: pesa yako ipo wapi?
☐ Benki
☐ Kwa mpangaji
☐ Bado haijalipwa
☐ Sijui
K**a umechagua “Sijui”, hilo si kosa lako. Ni kosa la daftari.
Daftari linahifadhi, halikuambii.
Kwa kutumia Pangisha unaona wazi: nani amelipa, nani hajalipa, deni ni kiasi gani.
Bila kupiga simu, bila kuhesabu.
Gharama kuanzia Tshs 10,000/= kwa mwezi kwa nyumba 1–10.
Demo ni bure, dakika 15.
Kwa mawasiliano zaidi: 0651 67 55 22 / 23 / 33 / 11
Tembelea https://pangisha.com

Pesa ipo benki? Au bado ipo kwa mpangaji?Kila mwenye nyumba anajiuliza swali hili mwisho wa mwezi. Wengi wanajibu kwa ku...
09/08/2026

Pesa ipo benki? Au bado ipo kwa mpangaji?
Kila mwenye nyumba anajiuliza swali hili mwisho wa mwezi. Wengi wanajibu kwa kubahatisha — “nadhani ameshalipa”, “nakumbuka aliniambia atalipa Ijumaa”.
Ukitumia daftari, unabahatisha. Ukitumia Pangisha, ni kweli na uhakika. Unaona kila mpangaji, kila mwezi, kila shilingi. Imelipwa au bado.
TZS 10,000/= kwa mwezi kwa nyumba 1–10.
Demo ni bure. WhatsApp: 0651 67 55 22
Mali yako, mkononi mwako.

Wapangaji wangapi unawadai sasa hivi? K**a unahitaji kufungua daftari kufahamu hilo, tuna njia rahisi zaidi.Gharama ni T...
03/08/2026

Wapangaji wangapi unawadai sasa hivi? K**a unahitaji kufungua daftari kufahamu hilo, tuna njia rahisi zaidi.

Gharama ni TZS 10,000/= kwa mwezi, nyumba 1–10, unalipa kwa miezi 6 hadi 12. Demo bure.
Mawasiliano: 0651 67 55 22/23/33/11

Maswali yanayotufikia kila siku ni yaleyale matatu: hii ni nini, inafanya nini, na bei ni kiasi gani.Tumeyajibu yote hap...
01/08/2026

Maswali yanayotufikia kila siku ni yaleyale matatu: hii ni nini, inafanya nini, na bei ni kiasi gani.

Tumeyajibu yote hapa. Nenda Kulia/Kushoto👉

Pangisha ni mfumo wa kutunza kumbukumbu za wapangaji wako. Mikataba, bili, malipo na madeni, kila kitu sehemu moja. Unafunguka kwenye browser ya simu au kompyuta, hakuna cha kupakua.

Gharama ni kuanzia Tshs 10,000/= kwa mwezi kwa nyumba 1–10. Bei ni kwa unit kwa idadi ya zaidi ya unit 11.

Demo ni bure, dakika 15 zinatosha. Hulipi kabla ya kuona.

Whatsapp: 0657-999-441
Mawasiliano: 0651 67 55 22/23/33/11

Mali yako, mkononi mwako.

Gharama sawa na bure
01/08/2026

Gharama sawa na bure

Mkataba wa mpangaji wako unaisha lini?K**a jibu ni "sikumbuki," hilo ni pengo linaloweza kukugharimu. Kupitia Pangisha, ...
29/07/2026

Mkataba wa mpangaji wako unaisha lini?

K**a jibu ni "sikumbuki," hilo ni pengo linaloweza kukugharimu. Kupitia Pangisha, mpangaji anakumbushwa siku 30 kabla mkataba haujaisha. Lakini tena, siku 7 na vilevile siku ya mwisho kabisa.

Si wewe unayetakiwa kukumbuka. Mfumo wenyewe ndio unaotuma ukumbusho, hata ukiwa safarini.

Jaribu demo: pangisha.com/jaribu na pia kwa maswali, piga 0651 67 55 22/33

Kila mwenye nyumba husema  "Daftari langu linatosha.", na kwakweli  linatosha mpaka siku linapopotea. Au mpaka ufike mah...
28/07/2026

Kila mwenye nyumba husema "Daftari langu linatosha.", na kwakweli linatosha mpaka siku linapopotea. Au mpaka ufike mahali uko na msongo wa mawazo kwamba, "nadhani alilipa", au "nadhani bado ana mwezi mmoja".

Kwa kutumia Pangisha, kila mpangaji, kila malipo na kila mkataba vinakaa sehemu moja. Unajua nani kalipa na nani anadaiwa, huna haja ya kupekua kurasa za daftari.

Jaribu mwenyewe bila kujisajili: pangisha.com/jaribu
Maswali? 0651 67 55 22/33

Katoro wametuonesha sherehe ya kishindo, hongera kwao kwa mafanikio!Hata hivyo, mafanikio huwa matamu zaidi yakiwa endel...
14/07/2026

Katoro wametuonesha sherehe ya kishindo, hongera kwao kwa mafanikio!
Hata hivyo, mafanikio huwa matamu zaidi yakiwa endelevu. Kupitia Pangisha, unafuatilia malimbikizi ya kodi za pango kwa uhakika, na wapangaji wanapokea vikumbusho vya SMS kiotomatiki. Simama imara, jua kila kitu kuhusu mali yako. Mali zako, mkononi mwako.
Jaribu leo https://pangisha.com
Tupigie 0651 67 55 22/33

Kila mpangaji akikulipa, unafuta na kuandika upya? Usiendelee kujichosha bure. Tumia Pangisha — taarifa zinajihuisha zen...
10/06/2026

Kila mpangaji akikulipa, unafuta na kuandika upya? Usiendelee kujichosha bure. Tumia Pangisha — taarifa zinajihuisha zenyewe.
Tembelea pangisha.com

Mwisho wa mwezi, swali ni moja: nani kakulipa, nani hajalipa? Acha kuumiza kichwa. Pangisha inakuonesha kila deni, kila ...
09/06/2026

Mwisho wa mwezi, swali ni moja: nani kakulipa, nani hajalipa? Acha kuumiza kichwa. Pangisha inakuonesha kila deni, kila mpangaji, papo hapo. Piga 0657 999 441, 0651 67 55 22/33 au tembelea pangisha.com sasa.

Address

12 Mori Street, Sinza A
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Pangisha Company posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Pangisha Company:

Shortcuts

Share