doctor neema

doctor neema medical & health

20/08/2026
20/08/2026

🦴 USIACHE MAUMIVU YA MIFUPA YAKUTAWALE! 🦴
Je, unasumbuliwa na maumivu ya mgongo, kiuno, magoti, shingo au viungo? Usikate tamaa, afya bora inawezekana.
🌿 Tunakusaidia kupitia tiba lishe na virutubisho lishe kwa ajili ya kusaidia mwili kupata nguvu na kuboresha afya ya mifupa na viungo.
✅ Maumivu ya mifupa
✅ Maumivu ya viungo
✅ Kukak**aa kwa mwili
✅ Maumivu ya mgongo na kiuno
✅ Changamoto za mifupa na misuli
📞 Wasiliana nasi leo kwa ushauri na huduma bora: 0746371652
✨ Afya ya mifupa yako ni msingi wa maisha yenye nguvu na furaha! ✨

20/08/2026

OSTEOARTHRITIS
+255 0746 371 652
Nichangamoto inayoathiri viungo inayotoka na umri kuanzia 40+

🍹Huathiri viungo na mifupa
🍹Hutokea baada ya gegedu (cartilage)kulika kwenye viungo na uteute kuisha
🍹 Huathiri viungo mbalimbali k**a vile
👉 Mgongo
👉 Nyonga
👉Magoti
👉Mabega nk

Kumbuka
👉Viungo ni muunganiko kati ya mifupa miwili (mfupa na mfupa
👉Katika ya viungo kuna gegedu (Cartilage),hii ni plastiki ya asili inayozuia mifupa isigusane kwenye viungo

OSTEOARTHRITIS
Hutokea pale ambapo gegedu (cartilage) imelika na uteute umepungua kwenye viungo

Kwa Ushauri zaidi

Tuwasiliane kupitia namba
+255 746371652

JE,UNASUMBULIWA NA KUTOKA UCHAFU SEHEM ZA SIRI,MIWASHO,FANGASI,U.T.I NA UZAZI KWA MUDA MREFU??Zipo sababu mbalimbali zin...
26/05/2026

JE,UNASUMBULIWA NA KUTOKA UCHAFU SEHEM ZA SIRI,MIWASHO,FANGASI,U.T.I NA UZAZI KWA MUDA MREFU??

Zipo sababu mbalimbali zinazopelekea kuwa na hii changamoto ya (P.I.D) (kutokwa na uchafu sehem za siri)

1). Ulaji wa vyakula vyenye madawa k**a vile chipsi kuku/chipsi mayai,vyakula vya viwandani na aina k**a hizo
2).Matumizi ya njia za uzazi wa mpango
3).Utoaji wa mimba hovyo
4).Kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja
5).Matumizi ya mara kwa mara ya antibiotics
6).U.T.I sugu
7). Vifaa vya kujifungulia kuwa na bakteria(kutooshwa vizuri)

DALILI ZA P.I.D
1).Kutokwa Uchafu k**a maziwa wenye harufu wakati mwingine hauna harufu
2).Mzunguko wako kuvurugika
3).Kutoa harufu mbaya sehemu za Siri
4).Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
5).Maumivu ya tumbo upande wa kulia au kushoto
6).Maumivu wakati wa tendo la ndoa
7)Kuwa na dalili za mimba lakini huna mimba
😎.Uk* kuwa mkavu kupita kiasi
9).Kukosa hamu ya tendo la ndoa
10).Miwasho sehemu za Siri
11).Kupata homa au kuhisi homa

MADHARA YA P.I.D
1).Maumivu ya tumbo au nyonga
2).Ugumba /kushindwa kupata ujauzito
3).Ujauzito kuharibika
4).Mirija ya uzazi kuziba
5).Kupata uvimbe kwenye mirija ya uzazi
6).Kupata Uvimbe kwenye mji wa mimba
7).Kupata Saratani ya shingo ya kizazi
8.kizazi kutolewa
9).Kizazi kuharibika
10).Kupoteza uhai

Tumewasaidia watu wengi kupona changamoto hii baada ya kuhangaika sana kutafuta tiba mbalimbali na kupoteza pesa bila mafanikio.

Wasiliana nami Dr. Irene niweze kukusaidia kwa ushauri na tiba.

📞0746371652

Address

Airport
Dar Es Salaam
MEDICAL

Telephone

+255746371652

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when doctor neema posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share

Category