28/04/2025
OFA KUBWA_YA_VIWANJA_Aza_NA LAKI_5_tu NA KISHA ULIPE KIDOGO KIDOGO NDANI YA MIEZI SITA . MBAGALA MBANDE MIPEKO
Whtsspp_____________________
Site ya kwanza ni site ya milioni moja na laki tatu anza na laki 5 kisha ulipe kidogo kidogo ndani ya miezi sita
Site ya pili ni ya sh milioni moja na laki tano anza na laki 6 kisha ulipe kidogo kidogo ndani ya miezi mitano
Ukubwa ni fut 50 kwa 40 pia unaweza kuunganisha hata sita
Umeme upo na maji ya DAWASA yapo fika ujionee mwenyewe.
Viwanja unavyoviona kwenye picha ndivyo vilivyo ni tambarale safi kabisa na wala siyo vile vya kujaa maji
Viwanja vipo ,,,, MBAGALA MBANDE MIPEKO,,,,,, Jilani na uwanja wa mpira wa Azam uliopo Dar es salaam wilaya ya Temeke kata ya Chamazi. Umbali kutoka uwanja wa Azam mpaka kwenye viwanja ni kilomita nne tu. Ukitaka kufika mbande panda gari K /Koo,Temeke, Tandika, Posta na Buza nauli 700/=had Mbande magengeni shuka. Chukua bodaboda 🏍 1000 bajaji 🛺 500 hadi saiti
____________________________________
Ukubwa wa kiwanja na Bei zake
Futi 50 kwa 40 =milioni 1,300,000/=
Futi 50 kwa 40 =milioni 1,500,000/=
☝
Fut 50 kwa 40 =milioni 1,600,000/=
Fut 50 kwa 40 =milioni 1,800,000/=
Futi 50 kwa 40 =million 2,000,000/=
Futi 50 kwa 40 =milioni 2,500,000/=
Futi 50 kwa 40 =milioni 3,000,000/=
Bei ya kwa SQM 1=9000 ad 20000
inategemea na saiti utakayo ichaguwa ______________________________________
Maji✓
Shule✓
Umeme✓
Zahanati✓
Balabala✓
mbili asubuhi mpaka saa kumi na mbili jioni. Njoo ofisini twende site ukachagua kiwanja bora kwa makazi bora na salama.
Na unaweza ukaunganisha zaidi ya kimoja
ndio kampun zipo nyingi ira sisi ni mabingwa
Karibuni sana wateja uaminifu ni %%%100%%%
_____________________