28/09/2024
π‘ Miliki Kiwanja Yombo Mpera kwa Bei Nafuu β Lipa Kidogo Kidogo kwa Miezi 3! π‘
Huu ni wakati wako kumiliki ardhi na kujenga nyumba ya ndoto yako! Tunauza kiwanja chenye ukubwa wa futi 40 kwa futi 50 kilichopo katika eneo la kuvutia la Yombo Mpera kwa bei ya kuanzia Tsh 1,000,000 tu. Malipo ni rahisi β unaweza kulipa kidogo kidogo kwa miezi 3!
Sifa za Kiwanja: π Kipo Yombo Mpera β eneo tulivu, lenye maendeleo.
π Umeme na π§ maji vinapatikana karibu, hivyo utaanza ujenzi haraka na kwa urahisi!
Kwa nini uchague kiwanja hiki? β
Bei Nafuu β kuanzia Tsh 1,000,000
β
Malipo kwa miezi 3 bila usumbufu
β
Eneo salama na lenye fursa za ukuaji
β
Huduma za jamii ziko karibu, k**a shule na huduma za kibiashara
Usikose nafasi hii ya kumiliki kiwanja na kuanza ujenzi wa nyumba yako. Tunakupa urahisi wa malipo, bila presha!
π Wasiliana nasi sasa kupitia 0682 512 778 au nitafute what app kwa no 0679 959 623 kwa maelezo zaidi na ujionee kiwanja!