12/02/2026
Habari wakuu ๐
Tunatafuta wamiliki wa maduka, mini supermarket, groceries na wholesalers wa kujaribu app mpya tuliyotengeneza inaitwa Mazuu Faida ๐ฑ
Mazuu Faida ni app rahisi inayomsaidia mwenye duka:
๐งพ Kurekodi mauzo moja kwa moja kwenye simu
๐ฐ Kujua faida ya kila siku / wiki / mwezi
๐ฆ Kufuatilia stoo โ kinachobaki na kinachokwisha
๐ฒ Kupokea ripoti za mauzo na faida kwenye WhatsApp bila kuwa dukani
Kwa sasa tupo kwenye hatua za majaribio (early access) na tunawapa waliojiunga:
โ
Miezi 3 bure ya kutumia Mazuu Faida
โ
Support ya karibu kutoka timu yetu
โ
Nafasi ya kutoa maoni na kuboresha app hii kwa wafanyabiashara wa Afrika Mashariki
๐ K**a una duka AU unamfahamu mtu mwenye duka / anayepanga kufungua duka, mualike ajiandikishe hapa:
๐ https://www.mazuufaida.com/early-access
Tafadhali tag mwenye duka, share kwenye magroup, au copyโpaste post hii kwenye group lingine ili ujumbe uwafikie wengi zaidi ๐
Tusaidiane kuinua biashara zetu kwa kutumia teknolojia ya hapa nyumbani ๐น๐ฟ
Join Mazuu Faida early access and use the app free for 3 months. Track your sales, know your profit, and help us improve this shop management tool for African shop owners.