12/02/2026
Habari wakuu 👋
Tunatafuta wamiliki wa maduka, mini supermarket, groceries na wholesalers wa kujaribu app mpya tuliyotengeneza inaitwa Mazuu Faida 📱
Mazuu Faida ni app rahisi inayomsaidia mwenye duka:
🧾 Kurekodi mauzo moja kwa moja kwenye simu
💰 Kujua faida ya kila siku / wiki / mwezi
📦 Kufuatilia stoo – kinachobaki na kinachokwisha
📲 Kupokea ripoti za mauzo na faida kwenye WhatsApp bila kuwa dukani
Kwa sasa tupo kwenye hatua za majaribio (early access) na tunawapa waliojiunga:
✅ Miezi 3 bure ya kutumia Mazuu Faida
✅ Support ya karibu kutoka timu yetu
✅ Nafasi ya kutoa maoni na kuboresha app hii kwa wafanyabiashara wa Afrika Mashariki
👉 K**a una duka AU unamfahamu mtu mwenye duka / anayepanga kufungua duka, mualike ajiandikishe hapa:
🔗 https://www.mazuufaida.com/early-access
Tafadhali tag mwenye duka, share kwenye magroup, au copy–paste post hii kwenye group lingine ili ujumbe uwafikie wengi zaidi 🙏
Tusaidiane kuinua biashara zetu kwa kutumia teknolojia ya hapa nyumbani 🇹🇿
Join Mazuu Faida early access and use the app free for 3 months. Track your sales, know your profit, and help us improve this shop management tool for African shop owners.