gulio la ardhi

gulio la ardhi Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from gulio la ardhi, Property developer, Dar es Salaam.

Soko la Kuaminika la Ardhi Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
โš ๏ธ Epuka utapeli/kudanganywa katika sekta ya ardhi
founder _ GULIO LA ARDHI FESTIVAL๐Ÿ’ฅ
Miliki viwanja,mashamba kwa bei rafiki

0746465095

Good morning,Heri ya week mpya.Mwenyezimungu ambariki kila mmoja kulingana na haja ya moyo wake.Week hii yale yote unayo...
11/08/2026

Good morning,

Heri ya week mpya.

Mwenyezimungu ambariki kila mmoja kulingana na haja ya moyo wake.

Week hii yale yote unayoyatamani Mungu akufanikishe yakutokee ama uyatimize.

Karibuni sana
Tuwahudumie.

Tunauza viwanja,mashamba,mawazo bunifu ya miradi mbalimbali ya kiuwekezaji.

Tunajenga na kusimamia ujenzi na projects za kilimo.

Tunauza vifaa vya ujenzi

Tunachora ramani

Tunasaidia wale walio nnje ya nchi kuwekeza katika ardhi ya Tanzania.

Huduma zetu zimenyooka na uaminifu ni 100%

Tunapatikana Posta jengo la PSSF SAMORA NA ELITE TOWER.

TUNA MIRADI YA VIWANJA NA MASHAMBA SEHEM ZIFUATAZO.

KIGAMBONI
BAGAMOYO
CHALINZE
DODOMA
KIBITI
KIBAHA PWANI

Ni viwanja ama shamba eneo gani unahitaji ukipatiwa offer unaweza kulipia leo?

gulio la ardhi
0746465095
0675719930

11/08/2026

MILIKI VIWANJA KIGAMBONI MBUTU,VIWANJA HIVI VIKO MITA 500 KUTOKA BAHARINI.

Njoo umiliki kiwanja kilicho upande wa bahari.
Kigamboni mbutu iko umbali wa kilometa 21 kutoka ferry na eneo hili liko umbali wa kilometa 2 kutoka barabarani

Na ni mita 500 kutoka eneo lilipo hadi baharini.

Viwanja vimepimwa na vina hati
SQM 1 bei ni 32,000

Viwanja vinaanzia sqm 400 na kuendelea na vimebakia viwanja tisa pekee.

MALIPO YA VIWANJA HIVI NI CASH
Eneo hili linafaa kwa ujenzi wa nyumba za makazi.
Kuna watu wanaishi,maji na umeme na huduma zote za msingi ziko karibu.

Gulio la Ardhi | Viwanja, Mashamba, Ujenzi & Uwekezaji
0746465095
0675719930

09/08/2026

Kigamboni cheka

Viwanja viko mita 500 kutoka Barabarani

Hapa Viwanja ni Vikubwa vinaanzia Sqm 1000

Ukiwa na milioni 35,000,000 unamiliki eneo hapa tajiri



0746465095
0675719930

MILIKI MASHAMBA KIBAHA GUMBA GWATAMashamba mazuri kwa kilimo,ufugaji au makazi yanapatikana Kibaha Gumba Gwata.Haya mash...
07/08/2026

MILIKI MASHAMBA KIBAHA GUMBA GWATA

Mashamba mazuri kwa kilimo,ufugaji au makazi yanapatikana Kibaha Gumba Gwata.

Haya mashamba mazuri sana na yamekaa sehemu ya kimkakati.

Gumba ni eneo au kijiji kilichopo ndani ya Kata ya Gwata, iliyoko Wilaya ya Kibaha Vijijini katika Mkoa wa Pwani, Tanzania.

Ardhi ya Gumba ni nzuri na inafaa kwa shughuli za kilimo cha mazao mbalimbali pamoja na ufugaji na makazi.

Kutoka Morogoro road hadi shamba lilipo ni umbali wa kilometa 6

Kutoka shamba lilipo Kuelekea Chalinze mjini umbali ni kilometa 11

Kutoka shamba lilipo kuelekea ilipo reli ya SGR ni kilometa 6

Kutoka shamba lilipo kuelekea hospital na shule zilizopo gumba umbali ni kilometa 3

Wahi offer ya kumiliki ekari 1 kwa 580,000

NB:
Nununua Ardhi mapema punguza Kusnep snep vyakula huko mjini ๐Ÿ˜‚๐Ÿƒ๐Ÿผโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿผโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿผโ€โ™€๏ธ

Hapa unaweza kujenga,kufuga,kulima

gulio la ardhi

0746465095
0675719930

04/08/2026

MILIKI KIWANJA PINGO CHALINZE MITA 700 KUTOKA BARABARA YA MOROGORO ROAD.

Eneo letu lipo chalinze Pingo
Lina viwanja 11 vya ukubwa tofauti.

Eneo ni la kununua na kuanza ujenzi.

Tayari kuna makazi ya watu.

Eneo liko karibu na shule ya sekondari na zahanati za pingo

Karibu kufika barabara ya Morogoro road ni mita 700

Karibu kufika shule ya sekondari na zahanati ni mita 500

Karibu kufika barabara inayoenda kwala

Viwanja viko 6 vya SQM 400 kila Kiwanja ni 750,000

Viwanja viko 5 vya SQM 400 kila kiwanja ni 937,500

Kiko kiwanja kimoja cha SQM 350 bei ni 656,250

Ukubwa wa eneo lote ni SQM 4750 unaweza linunua lote kwa 8,906,250 kisha nitakusaidia mawazo bunifu ya eneo hili.

Chalinze kuna uhitaji wa nyumba za hostel kwa ajili ya wanafunzi
Kuna uhitaji wa vyumba vya kupangisha pia
Huduma za hospitali za kisasa
Huduma za shule za awali za kisasa

Hapa kiwanja cha Sqm 400 bei ni 750,000.
Eneo halijapimwa
Eneo ni halali kwa matumizi ya makazi.

Jinsi ya kufika ni Unashuka kituo kinaitwa Pingo shule ni upande wa kushoto ukitokea Dar es salaam.
Ni upande wa kulia ukitokea chalinze.

Karibu umiliki kiwanja Chalinze Mji wa kibiashara unaokua kwa kasi kwa sasa

0746465095
0675719930

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when gulio la ardhi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share