11/08/2026
🏡 VIWANJA BEI POA – MBWAWA, KIBAHA! 🔥
Unatafuta kiwanja kwa ajili ya kujenga nyumba yako, kuwekeza au kuandaa maisha yako ya baadaye? Usipitwe na fursa hii! 🚨
📍 Eneo: Mbwawa, Kibaha
💰 Bei za viwanja vilivyobaki kwasasa: TSH 800,000/=, TSH 1,000,000/=, TSH 1,200,000/= na kuendelea.
Hii ni nafasi nzuri ya kuwekeza kwenye ardhi kwa bei rafiki kabla bei hazijapanda zaidi. Chagua kiwanja chako leo na anza kujenga msingi wa maisha yako ya baadaye! 🏠🌱
📞 Kwa mawasiliano na maelezo zaidi:
0621686409
📍 Ofisi zetu:
• Mlandizi Mjini – Jengo la Amazon Lodge, Ghorofa ya Kwanza
• Bunju Beach – Dar es Salaam
🏢 Larry’s Real Estate Agency
Let’s build your future.
✨ Pia tuna miradi katika maeneo mbalimbali:
📍 Kiromo – Bagamoyo
📍 Fukayosi – Bagamoyo
📍 Kiluvya
📍 Chanika
📍 Pugu
Usisubiri mpaka bei zipande ndipo uanze kutafuta! Wasiliana nasi leo, tupate kiwanja kinachokufaa. 🔑🏡
Karibuni sana Larry’s Real Estate Agency — tunakusaidia kujenga kesho yako leo! ❤️