Viwanja Poa Brokers

Viwanja Poa Brokers Real Estate Agent

🏡 VIWANJA BEI POA – MBWAWA, KIBAHA! 🔥Unatafuta kiwanja kwa ajili ya kujenga nyumba yako, kuwekeza au kuandaa maisha yako...
11/08/2026

🏡 VIWANJA BEI POA – MBWAWA, KIBAHA! 🔥

Unatafuta kiwanja kwa ajili ya kujenga nyumba yako, kuwekeza au kuandaa maisha yako ya baadaye? Usipitwe na fursa hii! 🚨

📍 Eneo: Mbwawa, Kibaha
💰 Bei za viwanja vilivyobaki kwasasa: TSH 800,000/=, TSH 1,000,000/=, TSH 1,200,000/= na kuendelea.

Hii ni nafasi nzuri ya kuwekeza kwenye ardhi kwa bei rafiki kabla bei hazijapanda zaidi. Chagua kiwanja chako leo na anza kujenga msingi wa maisha yako ya baadaye! 🏠🌱

📞 Kwa mawasiliano na maelezo zaidi:
0621686409

📍 Ofisi zetu:
• Mlandizi Mjini – Jengo la Amazon Lodge, Ghorofa ya Kwanza
• Bunju Beach – Dar es Salaam

🏢 Larry’s Real Estate Agency
Let’s build your future.

✨ Pia tuna miradi katika maeneo mbalimbali:
📍 Kiromo – Bagamoyo
📍 Fukayosi – Bagamoyo
📍 Kiluvya
📍 Chanika
📍 Pugu

Usisubiri mpaka bei zipande ndipo uanze kutafuta! Wasiliana nasi leo, tupate kiwanja kinachokufaa. 🔑🏡

Karibuni sana Larry’s Real Estate Agency — tunakusaidia kujenga kesho yako leo! ❤️

11/08/2026
🏡 🔥 VIWANJA PUGU – WILAYA YA ILALA! 🔥MILIONI 3 (3,000,000) TU! OFA YA MUDA MFUPI!Usikose fursa hii ya kipekee ya kumilik...
07/08/2026

🏡 🔥 VIWANJA PUGU – WILAYA YA ILALA! 🔥

MILIONI 3 (3,000,000) TU! OFA YA MUDA MFUPI!

Usikose fursa hii ya kipekee ya kumiliki kiwanja katika eneo lenye thamani kubwa na linalokua kwa kasi. Hii ndiyo nafasi yako ya kuwekeza leo na kujenga kesho yenye mafanikio!

🎉 OFA MAALUM YA CASH!
TSH 20,000 kwa SQM ❌
✅ SASA TSH 10,000 KWA SQM TU!

⏳ Wahi kabla ofa hii haijaisha!

Kwa nini uchague viwanja hivi?

✅ Vimepimwa rasmi na utapatiwa Hatimiliki ya Wizara ya Ardhi.
✅ Vinapatikana kilomita 4 tu kutoka barabara ya lami.
✅ Unaingilia Kituo cha Kwa Rais, kabla ya Reli ya Kigogo Fresh.
✅ Vipo kilimani Juu, kwenye mandhari nzuri ya safu za milima ya Kisarawe.
✅ Eneo tulivu lenye upepo mwanana na mazingira yanayofaa kwa makazi na uwekezaji wa muda mrefu.

💰 BEI ZA OFA

Kuanzia Milioni 3 (TSH 3,000,000) tu kwa kiwanja!

Mfumo wa Malipo (Kwa kiwanja kisichozidi SQM 300)

💵 Cash: TSH 3,000,000
📅 Kidogo Kidogo: TSH 4,500,000
⏱️ Muda wa Malipo: Miezi 6
✅ Kianzio: TSH 1,500,000 tu

🌟 Usisubiri bei zipande! Nunua leo kwa bei ya ofa na uhakikishe unakuwa sehemu ya wawekezaji wenye maono.

📞 Piga simu sasa: 0621 686 409

🏡 Ardhi ni uwekezaji usiopoteza thamani. Chukua hatua leo, jenga maisha bora ya kesho!

Eneo linauzwa!!Mahali: Ununio 📍Ukubwa : SQM. 1,000 ✅Bei: Milioni 350 ✅Mawasiliano: 0621686409
04/08/2026

Eneo linauzwa!!
Mahali: Ununio 📍
Ukubwa : SQM. 1,000 ✅
Bei: Milioni 350 ✅
Mawasiliano: 0621686409

Kiwanja kinauzwa mbweni maeneo ya kilimani.Ukubwa: SQM. 750 ✅Bei: TSH. 150,000,000/= ✅Kiwanja kimepimwa na kina hati mil...
04/08/2026

Kiwanja kinauzwa mbweni maeneo ya kilimani.
Ukubwa: SQM. 750 ✅
Bei: TSH. 150,000,000/= ✅
Kiwanja kimepimwa na kina hati miliki! ✅
Mawasiliano: 0621686409

Mahali: UnunioUkubwa wa eneo: SQM. 1000HATI MILIKI IPO!Bei: Milioni 350 (Maongezi yapo)Mawasiliano: 0621686409
03/08/2026

Mahali: Ununio
Ukubwa wa eneo: SQM. 1000
HATI MILIKI IPO!
Bei: Milioni 350 (Maongezi yapo)
Mawasiliano: 0621686409

🚨 PUNGUZO KUBWA LA MUDA MFUPI! 🚨Fursa ya Kipekee! Viwanja Vya Pugu, Wilaya ya Ilala – Bei Imeshuka kwa Nusu!Awali bei il...
24/07/2026

🚨 PUNGUZO KUBWA LA MUDA MFUPI! 🚨
Fursa ya Kipekee! Viwanja Vya Pugu, Wilaya ya Ilala – Bei Imeshuka kwa Nusu!
Awali bei ilikuwa TSh. 20,000/= kwa SQM, sasa bei ni TSh. 10,000/= tu kwa SQM!
✅ Umbali: Kilomita 4 tu kutoka barabara kuu�✅ Viwanja vimepimwa na vipo tayari�✅ Baada ya malipo kamili utapata hati miliki kutoka Wizara ya Ardhi moja kwa moja
Bei Maalum kwa Sasa (Kuanzia SQM 300):
* Malipo ya Moja kwa moja (Cash): TSh. 3,000,000/= tu
* Malipo ya Awamu (Kidogo kidogo): TSh. 4,500,000/=
* Kianzio: TSh. 1,500,000/=
* Muda: Miezi 6 tu
Hii ni punguzo la muda mfupi sana! Idadi ya viwanja inayopatikana ni ndogo. Usikose fursa ya kumiliki ardhi katika eneo linalokua kwa kasi.
Tayari kuwekeza?�Piga simu au tuma ujumbe sasa kwa maelezo zaidi, kuona ramani ya viwanja pamoja na kuja kutembelea site:
📞 0621686409�📍 Wilaya ya Ilala – Pugu

24/07/2026

🚨 PUNGUZO KUBWA LA MUDA MFUPI! 🚨
Fursa ya Kipekee! Viwanja Vya Pugu, Wilaya ya Ilala – Bei Imeshuka kwa Nusu!
Awali bei ilikuwa TSh. 20,000/= kwa SQM, sasa bei ni TSh. 10,000/= tu kwa SQM!
✅ Umbali: Kilomita 4 tu kutoka barabara kuu�✅ Viwanja vimepimwa na vipo tayari�✅ Baada ya malipo kamili utapata hati miliki kutoka Wizara ya Ardhi moja kwa moja
Bei Maalum kwa Sasa (Kuanzia SQM 300):
* Malipo ya Moja kwa moja (Cash): TSh. 3,000,000/= tu
* Malipo ya Awamu (Kidogo kidogo): TSh. 4,500,000/=
* Kianzio: TSh. 1,500,000/=
* Muda: Miezi 6 tu
Hii ni punguzo la muda mfupi sana! Idadi ya viwanja inayopatikana ni ndogo. Usikose fursa ya kumiliki ardhi katika eneo linalokua kwa kasi.
Tayari kuwekeza?�Piga simu au tuma ujumbe sasa kwa maelezo zaidi, kuona ramani ya viwanja pamoja na kuja kutembelea site:
📞 0621686409�📍 Wilaya ya Ilala – Pugu
“Usipuuzie fursa hii inaweza kuisha haraka!”
Weka akiba yako ifanye kazi, Anza kujenga mustakabali wako leo!

Kwa Huduma ya haraka kuhusu mahitaji ya viwanja scan QR code hapo chini au bonueza hii link ⬇️⬇️⬇️⬇️⬇️wa.me/255621686409
15/07/2026

Kwa Huduma ya haraka kuhusu mahitaji ya viwanja scan QR code hapo chini au bonueza hii link ⬇️⬇️⬇️⬇️⬇️

wa.me/255621686409

Address

P. O. Box 7012
Dar Es Salaam
11000

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Viwanja Poa Brokers posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share

Category