12/08/2026
Mashamba Yaliyopimwa Chalinze Gwata
Ekari Moja ni 2,000,000/=
Muda wa malipo ni miezi 20 Anza. Na 100,000/=
Siku ya kutembelea Mashamba ni Jumamosi
Nauli ni 12,000/=
πΈMashamba yanafaa kwa ufugaji wa kuku mbuzi kondoo ngβombe nguruwe
πΈkwa kilimo unaweza kulima mahindi ufuta alizeti mihogo
πΈPia unaweza kupanda miti ya Matunda K**a maembe mapera machungwa migomba minazi
πΈUnaweza kujenga na kukaaa K**a makazi pia.
Mawasiliano:0718623076
Tunapatikana Mbezi kwa Msuguri
Ujanja ni kumiliki ardhi