30/11/2023
Hii ni Ofa Kabambe katika msimu huu wa mwisho wa mwaka. Sasa unaweza kumaliza mwaka kwa kumiliki kiwanja mjini kwa bei nafuu sana yani Tsh mil 3 tu. Unanunua kiwanja sehemu ambapo majirani wapo wanaishi na wamejenga nyumba za Kisasa. 0711677199/0744847199
⏭ VIWANJA HIVI VINAPATIKANA KIGAMBONI MWEMBE MDOGO MBELE KIDOGO YA DEGE ECO VILLAGE. Ni nyuma ya Chuo cha Afya cha KIGAMBONI CITY COLLEGE. Ni umbali wa km 1 toka lami.
⏭ Viwanja ni tambarare, ujenzi wake hausumbui kabisa, vimepimwa viko kwenye mpangilio mzuri wa barabara, Umeme,maji,shule hapohapo, hospital..
⏭ Unaweza kujenga nyumba ya kuishi, nyumba ya biashara k**a kupangisha, maana mahitaji ni makubwa ya nyumba za kupanga mitaa hiyo, hostel za chuo au Fremu za maduka..
⏭ Ukubwa wa viwanja umeanzia ;
Futi 50X40 Kwa milion 3
Futi 50X80 (Sqm 400) Kwa milion 6.
Futi 100X80(Sqm 800) Kwa milion 12
Unaweza kuunganisha viwanja zaidi ya vinne kulinganana na Bajeti yako ni wewe tu.
Malipo ni Cash.
⏭ Umbali kutoka Ferry ni km 19, unapanda gari moja tu tokea Ferry, unapanda gari za Cheka unashukia Kona ya Chuo. Kuona viwanja ni bure, na kila siku tunaonyesha wateja. Karibu sana kwa maelezo zaidi piga/whatsaap 0711677199