14/10/2020
"Ili tuendelee tunahitaji vitu vinne katika kuchangia maendeleo. Vitu hivyo ni
1. Ardhi
2. Siasa Safi
3. Uongozi
4. Bora na Watu".
~Julius Kambarage Nyerere~
Kwa msingi huu Mwalimu alimaanisha kwamba,
ardhi ni miongoni mwa misingi madhubuti ya Maendeleo.