24/03/2024
Mashine yenye vinu vitatu..
Inakoboa mpunga
Inakoboa mahindi na nafaka zingine
Inasaga nafaka aina zote...
Inatumia umeme mdogo sana wa majumbani, ni single phase lkn pia unaweza kutumia engine ya mafuta ukafanya kaz sehem yeyote. Ni nzuri sana inasaga kilo 180 kwa lisaa
Price 1,950,000 tuu free delivery popote ulipo Tanzania 🇹🇿
Tupigie simu kwa 0659 228 222 au 0687 921 919. Tunapatikana kariakoo Dar es Salaam