11/06/2026
🔥 VIWANJA VYA UHAKIKA KIGAMBONI KWA BEI NAFUU! 🔥
Je, unatafuta kiwanja kwa ajili ya kujenga nyumba, biashara au uwekezaji wa baadaye? Hii ndiyo nafasi yako ya kumiliki ardhi katika maeneo yanayokua kwa kasi Kigamboni.
✅ MWASONGA – Km 1 kutoka Mwasonga Center
💰 Bei: Milioni 7.5 tu
📐 Ukubwa: 20×20
✅ MKAMBA – Km 4 kutoka Mwasonga Center
💰 Bei: Milioni 3.5 tu
✅ KIMBIJI PUNA – Km 3 kutoka Kimbiji Center
💰 Bei: Milioni 3 tu
🌟 Faida za Miradi Yetu: ✔ Maeneo yamezungukwa na makazi ya watu
✔ Huduma muhimu za kijamii zipo karibu
✔ Barabara zinapitika mwaka mzima
✔ Hati na nyaraka za uhakika
✔ Maeneo yanaendelea kukua kwa kasi hivyo thamani ya ardhi inaongezeka kila siku
🚐 Site Visit ni KILA SIKU! Ukifika ofisini, tunakupeleka moja kwa moja site kuona viwanja kabla ya kufanya maamuzi.
📍 Ofisi: Mikwambe, Kituo cha Maliasili
⚠️ Viwanja vizuri huchukuliwa mapema. Wahi kutembelea mradi na uchague eneo lako kabla halijaisha!
📞 0746 771 553
MKOMBOZI REAL ESTATE – Tunakusaidia kumiliki ardhi ya uhakika kwa bei rafiki. 🏡✨