12/04/2022
Rastafar,inaelezwa kuwa ni harakat za kuuludia utamaduni wetu wa afrika ,ikiwa mavaz,mahusiano,mapenz,michezo na ngoma,ibada ,kupinga na kuutokomeza mfumo wa unyonyaji wakibabeli au babelon systemy na kupinga matabaka waafrika wote ni sawa na anapaswa kuabudiwa ni mmojat! Kalbuni wakush wote kwa upendo kuchangia mada za kurasa hii na kulike ili mchapishaji awe na moyo wa kuendelea kushiriki elimu hii,God bless kush'speople